EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, March 18, 2014

UWEZO WA AJABU WA JUISI YA KITUNGUU

Kuna magonjwa mengine yakikupata hujui hata namna ya kujitibu. Lakini kwa kutumia vyakula na matunda unaweza ukashangaa namna ambavyo unaweza kuliondoa tatizo ambalo pengine ulidhani halina tiba.
Katika makala haya ya leo, nakuletea uwezo wa ajabu unaopatikana kwenye juisi ya kitunguu maji (Onion) kama tiba. Kuna maradhi mengi yanayoweza kutibika kirahisi kabisa kwa kunywa juisi ya kitunguu, vilevile kuna maradhi mengi unaweza kujikinga nayo kwa kunywa juisi hii.

Yapo magonjwa mengi yanayoweza kutibiwa kwa juisi ya kitunguu, lakini katika mfululizo wa makala haya ya leo, nawaletea machache yafuatayo:

TATIZO LA KUTOKA DAMU
Kuna ugonjwa wa kutokwa damu wakati wa kutoa haja kubwa, tatizo ambalo huwapata watu wengi hasa wale ambao huwa na matatizo ya kukosa choo kwa muda mrefu kutokana na ulaji mbovu walionao. Lakini pia tatizo hili huweza kuwapata pia hata wale wanaokula vyakula sahihi lakini hukaa muda mwingi bila kufanya mazoezi.

Kwa kitaalamu ugonjwa huu hujulikana pia kama ‘Hemorrhoids’. Wako ambao husikia maumivu makali na wako ambao hawasikii maumivu ingawa hutokwa na damu.

Kwa utafiti na ushuhuda mbalimbali uliokwisha tolewa juu ya tatizo hili, mtu unaweza kupona kabisa tatizo hili iwapo utaliwahi, kwa kunywa juisi ya kitunguu kwa utaratibu maalum.
 
JINSI YA KUANDAA
Awali ya yote, hakikisha unapata kitunguu halisi kilichotokana na kilimo cha kawaida kabisa (Organic Faming). Natoa tahadhari hii kwa sababu siku hizi kuna vitunguu kutoka China, ambavyo ni vikubwa na vyeupe kuliko kawaida. Hivi ni feki, havina virutubisho asilia.

Chukua kitunguu kimoja, ondoa maganda ya juu kama unavyofanya wakati wa kuandaa kwenye mboga. Kama una ‘blender’ au ‘Juicer’, katakata na weka kwenye kifaa chako, weka maji robo kikombe na saga ili kupata juisi. Kama huna vifaa hivyo, usikonde, chukua kinu, changanya maji kidogo na twanga hadi kupata juisi.

Bila shaka juisi yako itakuwa ni mchanganyiko wa maji maji na vipande vya vitunguu vilivyosagika, usichuje bali kunywa hivyo hivyo kiasi cha glasi moja. Hakikisha unatengeneza juisi na kuinywa wakati huohuo, haitakiwi kuwekwa kwa muda mrefu kwani itapoteza ubora.

Inashauriwa kunywa juisi hiyo asubuhi kabla hujala kitu chochote na baada ya kunywa, unaruhusiwa kula mlo wako baada ya saa moja mpaka saa mbili. Kama huna nafasi ya kunywa wakati wa asubuhi, unaweza kutengeneza juisi hiyo usiku na kuinywa kabla ya kupanda kitandani kulala.
Itaendelea wiki ijayo.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate