EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, July 2, 2014

HOSPITALI YA PALESTINA SIKIO LA KUFA


KATIKA Gazeti la Risasi Jumamosi la Aprili 26, mwaka huu ukurasa wake wa nyuma kulikuwa na habari yenye kichwa;UOZO MAHOSPITALINI...OFM YAIFUNGIA KAZI PALESTINA.Katika habari hiyo, mapaparazi wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ walitinga Hospitali ya Wilaya ya Kinondoni, Dar, Palestina iliyopo Sinza na kufanya ‘upelelezi’ kuhusu kuwepo kwa madai kwamba, huduma za sehemu hiyo ya afya si nzuri.
Ndugu wa mgonjwa wakitafuta tiba bila mafanikio.
OFM walifanya kazi mambo yakajulikana  na kuanikwa hadharani ambapo ilitegemewa kuwa, hali ya huduma ingebadilika.
Hata hivyo, juzi kati, wana-OFM watatu walitinga hospitalini hapo wakifuatilia majibu ya vipimo vya ndugu wa mmoja wao na kukutana na kisanga kipya kabisa.
Kisanga hicho ambacho kilirekodiwa hatua kwa hatua na mapaparazi wetu kilimhusu mgonjwa mmoja (jina tunalo) akiteseka na nduguye wa kike (naye jina tunalo) kupita vyumba vya madaktari kwa lengo la kupata tiba.
Mgonjwa huyo aliyekuwa kwenye kiti cha matairi cha wagonjwa (wheel chair) alionekana kuwa hoi kwa vile alikuwa hawezi kutembea wala kujieleza sawasawa.
Mawasiliano yote ya OFM na mgonjwa huyo yalifanywa kupitia ndugu yake ambaye alisema alikatisha shughuli zake za siku hiyo kwa ajili ya kumpeleka mgonjwa hospitalini hapo.
Malalamiko ya ndugu huyo yalikuwa haya:

“Mimi nashangaa hii hospitali haina chumba cha wagonjwa wa dharura (emergence), tangu nimefika napata usumbufu wa kufuata taratibu zote kama wagonjwa wa kawaida.
“Mtu anaumwa hoi kama hivi, badala  wampeleke chumba cha dharura, wao wamenipa kiti chao eti tufuate taratibu. Sasa mtu akizidiwa akifa je?” alilalama ndugu huyo.

Ndugu huyo alisema kuwa, baada ya kuzurura kwa karibu saa nzima na mgonjwa wake, daktari mmoja alitokea na kuonesha kutofautiana na wauguzi ambapo aliwauliza kisa cha kumwacha mgonjwa huyo kwenye baiskeli badala ya kumpeleka kwa daktari.
“Ilibidi yule dokta, tena Mungu ambariki sana, akamwandikia nimpeleke kupima malaria, lakini kule nako ilibidi nikae kwenye foleni kwa muda mrefu.
...Ndugu wakizidi kuhangaika hospitalini hapo bila mafanikio.
“Lakini daktari wa maabara naye alimlaumu daktari aliyemshauri mgonjwa huyo afike hapo akisema ilipaswa mgonjwa wangu apewe chumba cha mapumziko na kupatiwa huduma akiwa hukohuko badala ya kumsumbua kwenye foleni zisizo na ulazima,” alisema ndugu huyo.
Alizidi kudai kwamba vipimo vilionesha kwamba mgonjwa hakuwa na kitu alichoumwa mwilini hivyo aliandikiwa dawa za kupunguza maumivu (panadol) na kutakiwa kwenda kuzinunua dirishani.
“Lakini pale dirisha la dawa napo nikakutana na tatizo jingine, mhusika alisoma kadi na kudai shilingi 200 kwa ajili ya malipo ya panadol.

“Nilitoa noti ya shilingi 5,000, akaikataa akisema eti hapokei, anapokea shilingi 200 kamili na kama sina nikanunue dawa hiyo nje ya hospitali,” alisema ndugu huyo huku akisikitika.
Hatua kwa hatua ya matukio hayo, OFM ilikuwa ikipiga picha kwa kamera ya kisasa kwa ajili ya ushahidi na kumbukumbu.

CHANZO NI GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate