
“Kama City wana hofu na fedha zao basi wanaweza kuzitunza kwenye pochi yao, kwa sababu najua kwamba timu nyingine zinaweza kumlipa Yaya kile anachopata sasa,” alisema wakala huyo, Dimitri Seluk. Hata hivyo, Yaya akizungumza na gazeti la Evening News baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya West Ham mwishoni mwa wiki, alisema anaumizwa na shutuma juu ya kiwango chake msimu huu, lakini ataendelea kupigana hadi mwisho na anapenda kuichezea Man City.
No comments:
Post a Comment