TAARIFA YA KAMATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA JUU YA TUKIO LA KUZAMA KWA MELI YA SKAGIT ILIYOTOKEA TAREHE 18.07.2012 KATIKA ENEO LA KISIWA CHA CHUMBE NJE KIDOGO YA ZANZIBAR.
UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika, Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kukutana tena mbele ya Baraza lako tukufu tukiwa wazima wa afya ili kujadili mambo mbali mbali yanayohusu mstakbali mzima wa maendeleo ya nchi yetu. Aidha tuishukuru neema hii aliyotupa M/Mungu ya kuendelea kutupa neema ya pumzi zake ili kuweza kutekeleza majukumu yetu ambayo tulikula kiapo kwa kukamata Msahafu kuwatumikia wananchi wetu kwa ukweli, uwazi na uadilifu mkubwa na tunamuomba tene atuzidishie uzima na afya njema ili tuiokoe nchi yetu kutokana na janga la umasiskini na nnaamini kwa ukweli na uadilifu tunaoendelea nao hivi sasa basi naamini si muda mrefu nchi yetu itapiga hatua kubwa za maendeleo .
Mheshimiwa Spika, Aidha kwa niaba ya kamati nakushukuru wewe binafsi kwa kuniruhusu kusimama mbele ya Baraza lako tukufu ili niwasilishe taarifa ya kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa juu ya tukio hilo la maafa. Pia naomba nawashukuru wananchi wangu wa jimbo la K/pura walionileta hapa kuja kuwawakilisha na nnaomba waendelee kuniamini na nnawaahidi kuwatumikia na nitajitahidi kuhakikisha kuwa nitawatumikia kwa uadilifu mkubwa na nitaishauri Serikali yetu kila ambalo nitahisi linaweza kuisaidia Serikali yetu, na wananchi kwa ujumla.
Mheshimiwa Spika,
Mheshimiwa Spika, Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kukutana tena mbele ya Baraza lako tukufu tukiwa wazima wa afya ili kujadili mambo mbali mbali yanayohusu mstakbali mzima wa maendeleo ya nchi yetu. Aidha tuishukuru neema hii aliyotupa M/Mungu ya kuendelea kutupa neema ya pumzi zake ili kuweza kutekeleza majukumu yetu ambayo tulikula kiapo kwa kukamata Msahafu kuwatumikia wananchi wetu kwa ukweli, uwazi na uadilifu mkubwa na tunamuomba tene atuzidishie uzima na afya njema ili tuiokoe nchi yetu kutokana na janga la umasiskini na nnaamini kwa ukweli na uadilifu tunaoendelea nao hivi sasa basi naamini si muda mrefu nchi yetu itapiga hatua kubwa za maendeleo .
Mheshimiwa Spika, Aidha kwa niaba ya kamati nakushukuru wewe binafsi kwa kuniruhusu kusimama mbele ya Baraza lako tukufu ili niwasilishe taarifa ya kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa juu ya tukio hilo la maafa. Pia naomba nawashukuru wananchi wangu wa jimbo la K/pura walionileta hapa kuja kuwawakilisha na nnaomba waendelee kuniamini na nnawaahidi kuwatumikia na nitajitahidi kuhakikisha kuwa nitawatumikia kwa uadilifu mkubwa na nitaishauri Serikali yetu kila ambalo nitahisi linaweza kuisaidia Serikali yetu, na wananchi kwa ujumla.
Mheshimiwa Spika,
No comments:
Post a Comment