
Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akilia kwa Uchungu Muda huu

Maelfu ya watu wakiongezeka kuja katika Mazishi ya mwandishi wa habari wa Chanel 10 Daudi Mwangosi Muda huu

Mheshimiwa Mark Mwandosya ambaye ni Waziri ofisi ya Rais na pia Mbunge wa Rungwe Mashariki akitoa salam kwa Niaba ya Serikali

Watu wakiwa wengi na wenye utulivu wakisikiliaza watu mbalimbali wakitoa salam zao kwa ndugu wa Marehemu

Mjane Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi aliye jishika, akiwa na uchungu muda huu

Ibada ikiwa inakaribia kuanza

Ibada ya mazishi ndio imeanza muda huu

Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa wenye majonzi Makubwa

Waandishi
wa Habari wakiwa katika msiba wa kwanza kutoka kulia ni Ndugu Joseph
Mwaisango ambaye ni mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Blog, Rais wa UTPC Keny
Simabaya, pamoja na Felix Mwakyembe .
Endelea kufuatilia Moja kwa moja hapa

Wawakilishi Mbalimbali wakitoa salam za Pole kwa ndugu wa Marehemu

Mwakilishi wa Chanel Ten Hamis akitoa pole katika msiba huu muda huu


Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akitoa pole zake kwa wafiwa 

Mwanaharakati Francis Godwin akielezea Jinsi Mauti yalivyo mkuta Mwandishi wa Habari Daudi Mwangos

Rais
wa UTPC Kenny Simbaya ambaye pia ni kiongozi wa msafala wa kuleta Mwili
wa Marehemu Daudi Mwangosi akiwa anatoa salam za Pole kwa wafiwa.

Dr Slaa akitoa pole kwa wafiwa wote Muda huu

Wakina mama wakiwa wenye majonzi makubwa sana na huzuni muda huu
Tukio zima Linaletwa kwenu na Tone Media Live Group... Endelea kufuatilia
PICHA ZOTE NA MBEYA YETU BLOG
No comments:
Post a Comment