EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, November 28, 2012

Sumatra kusitisha huduma za daladala Jiji la Dar es Salaam.

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), itasitisha utoaji wa leseni mpya za usafirishaji wa abiria katika Jiji la Dar es Salaam kwa mmiliki mmoja mmoja kuanzia Desemba Mosi mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Ahmad Kilima, ilisema hatua hiyo inatokana na kushauriana kati ya Sumatra, wamiliki wa Daladala, Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi (Dart) na wadau wengine.
 
Wakati wa mkutano wa kukusanya maoni uliofanyika mwanzoni mwa mwaka 2010 ,baadhi ya wamiliki wa daladala walipinga utaratibu huo kutokana na uwezo wao kifedha kuwa mdogo wakihofia kuwa kuwaathiri.Walisema huduma ya usafirishaji kupitia kampuni, inalenga katika kuwaondoa kabisa katika biashara hiyo.

Baadhi ya wamiliki waliomba kuwepo kwa elimu ya kutosha kwa wamiliki juu ya mfumo huo mpya kabla ya kuanza kuutekeleza.
Katika taarifa yake, Kilima alisema safari ambazo zitasitishiwa utoaji wa leseni ni za Barabara ya Kilwa kuanzia Mbagala kwenda katikati ya Jiji na maeneo mengine.
Barabara nyingine ni ile ya Ali Hasani Mwinyi kuanzia Mwenge kwenda maeneo ya katikati ya jiji.
“Kuanzia Juni 30, mwaka kesho, mamlaka itasitisha uendeshaji wa leseni kwa mmiliki mmoja mmoja anayetoa huduma katika barabara zilitotajwa” alisema Kilima.

Alisema kwa wale ambao leseni zao zinaisha kabla ya Juni 30 mwaka kesho, mamlaka itaendeleza leseni zao kwa kuwapa leseni za muda mfupi zinazoishia Juni 30 mwakani.
“Katika kipindi cha kuanzia Desemba mosi mwaka huu hadi Juni 30 mwaka kesho, wasafirishaji wanaotoa huduma katika njia hizo, wanashauriwa kujiunga na kuanzisha makampuni au ushirika ili waweze kupewa leseni za kutoa huduma kuanzia Julai Mosi mwaka kesho,” alisema.
Alisema vigezo na masharti ya leseni za usafirishaji yatazingatiwa katika utoaji wa leseni hizo mpya.
Katika mkutano huo, Sumatra ilisema hali ya utoaji huduma katika jiji hairidhishi kutokana na kutokuwepo kwa utaratibu wa wamiliki kuwasimamia madereva na makondakta.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate