EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, December 27, 2012

MANCHESTER UNITED UGONJWA WA MOYO, YAFUFUKA MARA 3 KWA NEWCASTLE, LIVERPOOL HAINA JIPYA.


KWA wapenzi wa Manchester United hali ilikuwa ni ya kihoro katika mchezo wa Ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Newcastle uliochezwa kwenye uwanja wa Old Trafford.
Manchester United ililazimika kusawazisha mara 3 na hatimaye kupata bao la nne dakika ya tisini lililoipa ushindi wa mbinde wa 4-3.
Hernendes akipiga bao la nne na la ushindi
Imekuwa ni kama jadi sasa kwa United kutoka nyuma na kuibuka na ushindi, hali ambayo imekuwa ikiwaweka roho juu mashabiki wake katika kila mchezo.
Newcastle walianza kuongoza dakika ya 4 ya mchezo kwa goli la James Perch, John Evans akasawazisha dakika ya 25.

NET GAINS ... Perch breaks the deadlock
Newcastle wanaadika bao la kwanza
JONNY BE GOOD ... Evans wheels away after making it 1-1
John Evans anaiswazishia Manchester United
Dakika tatu baadae, juhudi za Evans zikawa ni kama kazi bure, dakika 28 akaipa Newcastle bao la zawadi pale alipojifunga katika juhudi zake za kuokoa, goli ambalo lilizua utata mkubwa miongoni mwa waamuzi.
OH EVANS ... United defender goes from hero to zero
Evans anajifunga, bao la pili kwa Newcastle
CONTROVERSY ... assistant ref Jake Collin initially rules out Evans' own goal
Mshika kibendera anasema sio goli
CHEER WE GO ... Toon go wild as goal is given
Refarii anasema ni goli, Newcastle wanashangilia 2-1
Kipindi cha pili dakika ya 58 Evra akaisawazishia Manchester United, lakini Newcaslte wakawa mbele tena dakika ya 68 kwa bao safi la Cisse.
Robin Van Persie akairudisha mchezoni Manchester United kwa goli la dakika ya 71, hili likiwa ni goli lake la 13 kwa United katika Ligi kuu ya Uingereza tangu alipojiunga nayo mwanzoni mwa msimu huu.
Shujaa wa mchezo akawa ni Javier Hernandes pale alipoitumia vema pasi ya kiungo Michael Carrick na kufunga bao maridadi dakika ya 9o.
Katika mchezo mwingine, Liverpool ilichapwa na Stoke City 3-1, huku Totenham Spurs ikivuna ushindi wa 4-0 kwa Aston Villa.
Matokeo ya mechi zote zilizochezwa jana ni kama ifuatavyo:
Everton 2 – 1 Wigan
Fulham 1 – 1 Southampton
Manchester United 4 – 3 Newcastle United
Norwich 0 – 1 Chelsea
Reading 0 – 0 Swansea
Sunderland 1 - 0 Manchester City
Queens Park Rangers 1 – 2 West Bromwich Albion
Aston Villa 0 – 4 Tottenham
Stoke City 3 – 1 Liverpool

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate