EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Sunday, September 29, 2013

YANGA YAICHAPA 1-0 RUVU SHOOTING SIKU YA JANA.


Hamis Kiiza (20) akishangilia bao alilofunga dhidi ya Ruvu Shooting leo pamoja na Kavumbagu, Niyonzima, Msuva na Chuji






















Young Africans Siku ya jana imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Young Africans ambayo katika mchezo wake wa mwisho ilipoteza kwa kufungwa na Azam FC mabao 3-2 iliingia uwanjani kwa lengo la kuhakikisha inapata ushindi katika mchezo huo na ndivyo ilivyokua.

Ikiwatumia washambuliaji wake Hamis Kiiza, Didier Kavumbagu, Saimon Msuva na Mrisho Ngassa, Young Africans ilifanya mashambulizi kadhaa langoni mwa timu ya Ruvu Shooting lakini kutokua makini kwa washambuliaji wake kuliiinyima bao la mapema.

Dakika ya 27, Saimon Msuva alipoteza nafasi ya wazi ya kufunga akiwa yeye na mlinda mlango Abdu Juma Seif huku Hamis Kiiza pia akishindwa kutumia nafasi kama hiyo dakika ya 33 ya mchezo.

Washambuliaji wa Ruvu Shooting  walifanya mashambulizi langoni mwa goli la Yanga kupitia kwa Cosmas Lewis, Jerome Lembele na Elias Maguli lakini umakini wa walinzi wa Yanga ulikuwa kikwazo kwao kuweza kuziona nyavu za Ally Mustapha 'Barthez'.
Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza, Young Africans 1-0 Ruvu Shooting.

Kipindi cha pili kilianza kwa Yanga kufanya mabadiliko kwa kumuingiza Athuman Idd 'Chuji aliyechukua nafasi ya Frank Domayo mabadiliko yaliyopeleka watoto wa Jangwani kuutawala mchezo katika sehemu ya kiungo.

Dakika ya 63 mshambuliaji Hamis Kiiza aliipatia Yanga bao la kwanza na la ushindi baada ya kuitumia vizuri krosi ya Mrisho Ngassa aliyemtoka mlinzi Stephano Mwasika na kupiga krosi iliyomkuta mfugaji aliyefunga bao hilo maridadi na la msimu. 

Mara baada ya bao hilo Yanga iliendelea kufanya mashambulizi langoni mwa Ruvu Shooting lakini mpira uliopigwa na Didier Kavumbagu uliokolewa na golikipa Abdul Juma Seif na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda.

Mpaka dakika 90 za mchezo zinamalizika, Young Africans 1- 0 Ruvu Shooting.
Mara baada ya mchezo kocha mkuu Ernie Brandts amesema anashukuru vijana wake wamepigana kuhakikisha wanapata ushindi katiika mchezo wa jana, ukizingatia timu ilikua imetoka kupoteza mchezo wake wa mwisho.

Ushindi huu wana Yanga wote, tunaendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo unaofuata dhidi ya Mtibwa Sugar siku ya jumamosi ijayo. 

Young Africans: Mustapha, Twite, Luhende, Yondani, Nadir, Domayo/Chuji, Msuva.Nizar, Niyonzima, Kavumbagu, Kiiza, Ngassa

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate