EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, January 7, 2014

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA


Kaimu Waziri wa Fedha Mhe Saada Mkuya akimpa mkono wa pole Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa mkono wa pole Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa jana.
Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, akiongea kwa niaba ya familia wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa.
Sehemu ya Wabunge waliohudhuria mazishi hayo.
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiongea kwa niaba ya Serikali.
Sehemu ya Wabunge na Mawaziri waliokuwa katika mazishi hayo.
Kaimu Waziri wa Fedha Mhe Saada Mkuya akiongea msibani hapo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe Anne Makinda akiongea.
Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe Omar Yusuf Mzee akiongea katika mazishi hayo.

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula akisema machache.
Waombolezaji wakiwa msibani hapo.
Sehemu ya wananchi wa Kalenga wakiwa msibani.
Vijana kwa wazee walifurika mazikono.
Sehemu ya umati wa wananchi wakiwa mazikoni hapo.
Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akiongea kwa niaba ya kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni.
Mwenyekiti wa CCM Iringa akiongea.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt Servacius B. Likwelile akisoma wasifu wa marehemu.
Mbunge wa Namtumbo na Jirani ya marehemu Mhe Vita Kawawa akiweka shada la maua.
Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Mhe Philemon Luhanji akiweka shada la maua.
Wakuu wa Wilaya mbalimbali wakiweka shada lao la maua.
Wazee Joseph Mungai na Mzee John Lamba wakiweka shada la maua kwa niaba ya Wazee wa Iringa.
Waombolezaji wakiweka shada lao la maua.
Wakurugenzi wa vitengo mbalimbali wizara ya fedha wakiweka mashada yao.
Wakuu wa vyombo vya fedha wakiweka mashada yao.
Wakuu wa Vyombo vya fedha wakiweka mashada yao kaburini.
Manaibu Waziri wa Fedha Mhe Janeth Mbene (kulia) na Mhe Saada Mkuya wakiweka shada lao.
Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio na maofisa waandamizi wa Benki Kuu wakiweka mashada yao.
Makamishna wa fedha wakiweka shada lao.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bw. Servacius B. Likwelile wakiweka shada lao.
Wabunge wa Iringa wakiweka shada lao.
Machifu wa Uringa wakiweka shada lao.
Wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge wakiweka shada lao.
Makamishna wa Bunge wakiweka shada lao.
Mawaziri Profesa Anna Tibaijuka na Dkt Mary Nagu wakiweka mashada.
Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula akiweka shada.
Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akiweka shada la maua.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Anne Makinda na Naibu wake Mhe Job Ndugai wakiweka shada lao la maua.
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiweka shada la maua.
Msaidizi maalum wa marehemu akiweka shada la maua.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada lao la maua.
Watoto wa marehemu wakiweka mashada yao ya maua
Mama Mzazi wa marehemu akiweka shada ya maua.
Monsinyori Julian Kingalawe akiweka shada la maua.
Mjane wa marehemu akiweka shada la maua.
Machifu wakiweka udongo kaburini.
Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini.
Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini.
Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini.
Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini.
Katibu Mkuu wa CCM, Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini.
Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini.
Spika Anne makinda akiweka udongo kaburini.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula akiweka mchanga.
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiweka mchanga.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete akiweka mchanga kaburini.


















Rais Kikwete akitoa pole kwa wana kalenga.
Rais Kikwete akitoa mkono wa pole kwa Chifu.
Rais Kikwete akimfariji mjane wa marehemu.
Poleni sana.
Heshima za mwisho.
Rais Kikwete akimfariji Godfrey Mgimwa.
Rais Kikwete akimfariji mama mzazi wa marehemu.
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiweka shada lao la maua.
HABARI/PICHA NA MUHIDIN MICHUZI

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate