EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, February 6, 2014

IGP apangua vigogo 18 Polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu 
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu, amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani wa mikoa pamoja na watendaji wengine wa vikosi na vitengo mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi.

Taarifa ya Jeshi la Polisi kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Msemaji wa jeshi hilo, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Advera Senso, ilieleza miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni aliyekuwa Kamanda wa Mkoa wa Ruvuma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Deusdedit Nsimeki anayekwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara wakati aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Akili Mpwapwa anakwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma.

Wengine ni aliyekuwa Ofisa Mnadhimu Mkoa wa Lindi, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Renatha Mzinga anakuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, aliyekuwa Ofisa Mnadhimu Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Suzan Kaganda  anakwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora na aliyekuwa Kamanda wa Polisi  Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Peter Ouma amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wengine waliohamishwa ni aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi  Mkoa wa Mtwara, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Eliyakimu Masenga anakwenda kuwa Mkuu wa Upelelezi Kikosi cha Tazara.
Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) David Mnyambuga anakwenda kuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Ilala na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Ilala, 

Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Juma Bwire anakwenda kuwa Ofisa Mnadhimu Mkoa wa Tabora.
Aidha, aliyekuwa Ofisa Mnadhimu Mkoa wa Tabora, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) John Kauga anakuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Tabora, aliyekuwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Rombo,  Mrakibu 
Mwandamizi wa Polisi (SSP) Ralph Meela anakwenda kuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Mtwara na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Kikosi cha Tazara, Mrakibu wa Polisi (SP) Isack Msengi anakwenda kuwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Pwani.

Kwa upande wa wakuu wa Polisi wa mikoa wa Usalama Barabarani  waliohamishwa ni aliyekuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Kinondoni, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Ibrahim Mwamakula anahamia Trafiki Kanda Maalumu Dar es Salaam.

Aliyekuwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Mtwara, Mrakibu wa Polisi (SP) Awadh Haji  anakwenda kuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Kinondoni na Mrakibu wa Polisi (SP) Ezekiel Kiko Mgeni aliyekuwa ofisi ya RPC Temeke, anakuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Temeke.

Wengine ni aliyekuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Lindi, Mrakibu wa Polisi (SP) James Kiteleki anakwenda kuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Njombe, aliyekuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Ilala, Mrakibu wa Polisi (SP) Meloe  Buzema anakwenda kuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Lindi, aliyekuwa Kaimu Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Temeke, Mrakibu Msaidizi wa Polisi  (ASP) Prackson Kibogoyo anakwenda kuwa Mkuu wa Operesheni Mkoa wa Pwani na aliyekuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Njombe,   Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Chacha Nsaho Maro anakwenda kuwa Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Ilala.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa mabadiliko hayo ni ya kawaida kwa mujibu wa kanuni, taratibu na miongozo ya Jeshi la Polisi katika kuhakikisha wananchi wanaendelea kupata huduma bora ya usalama.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate