EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, November 10, 2014

MWALIMU MKUU AKIONA CHA MOTO

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Machala, Christopher Rutuku, aliyewahi kufaulisha wanafunzi wote, anadaiwa kuhamishwa shuleni hapo baada ya kutuhumiwa kuruhusu waandishi wa habari kupiga picha shule iliyojengwa kwa udongo na makuti huku ikiwa taabani.(Martha Magessa)
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Rutuku alisema alipewa barua ya uhamisho bila kulipwa posho ya uhamisho.
Alidai kuwa uhamisho huo unatokana na tuhuma zinazotolewa na Mratibu wa Elimu Kata, Saidi Mnaguzi, kuwa aliruhusu waandishi wa habari kuandika taarifa za shule hiyo bila kupata kibali chake.
Aidha, alisema kitendo cha kutoka taarifa hizo, kilisababisha mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya kufika shuleni hapo kujionea wenyewe hali ya shule hiyo.

"Mratibu ananituhumu kuwa ziara za wakuu hao zingepaswa kuratibiwa na yeye lakini kutokana na habari zilizotoka magazetini, ziliwafanya viongozi hao kufanya ziara ya ghafla,"alisema.
Mwandishi alipotaka kujua ukweli wa tuhuma hizo kutoka kwa mratibu huyo, alisema hatua ya kumhamisha mwalimu huyo inatokana na kutohudhuria kazini kwa muda unaotakiwa na pia hata kitabu cha kusaini muda wa kuingia na kutoka.
Alikanusha madai kuwa amehamishwa kwa sababu ya kuruhusu waandishi kuandika habari za shule hiyo.
Aidha, alisema mwalimu huyo amekuwa akitumia vibaya fedha zilizotolewa kwa ajili ya ukarabati wa shule hiyo.
Wakati mwalimu huyo akihamishwa, wazazi wa wanafunzi wanaosoma shule hiyo wamepinga kitendo hicho na kutaka mwalimu huyo asihamishwe.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza, alitembelea shule hiyo baada ya kupata taarifa kuwa iko katika hali mbaya huku ikiwa na mwalimu mmoja tu.
Mahiza alitoa msaada wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya ukarabati na pikipiki itakayomwezesha mwalimu kufika shuleni kwa urahisi.
Naye Afisa Elimu wa Wilaya ya Bagamoyo Abdul Buhety, alisema mwalimu huyo alihamishwa kutokana na kutokuelewana na mratibu.
Alisema mwalimu Rutuku alijitahidi kufundisha katika mazingira magumu na kufanikisha kufaulisha watoto wote.
Shule ya Msingi Machala ilianzishwa mwaka 2007 ikiwa na wanafunzi 200 ambapo mwaka jana wanafunzi wa darasa la saba 12 waliweza kufaulu wote kuingia kidato cha kwanza.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate