EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, February 4, 2015

Pluijm: Coastal Union kaeni chonjo, tupo fiti

Kocha mpya wa Yanga, Mdachi, Hans van Der Pluijm.
Na Hans Mloli
YANGA inatarajiwa kupambana na Coastal Union leo jijini Tanga kwenye Uwanja wa Mkwakwani, lakini tayari Kocha wa Yanga, Mdachi, Hans van Der Pluijm, ameshaitangazia vita kali mechi hiyo.

Jumapili ya wiki iliyopita, Yanga ilitoka suluhu na Ndanda FC huku timu hiyo ikikosa mabao mengi ya wazi, hali iliyomkasirisha Pluijm na kuahidi kulimaliza tatizo hilo kwa kuonyesha makali ya washambuliaji wake katika mchezo wao huo wa leo.

Wachezaji wa Yanga, wakishangilia ushindi.
Akizungumza na Championi Jumatano, Pluijm alisema hali hiyo ya kushindwa kufunga mabao kwenye nafasi nyingi kama hizo wanazozipata si nzuri na inawarudisha nyuma kwenye mbio za ubingwa, hivyo atahakikisha wanautumia vyema mchezo wa Coastal kufuta makosa hayo.
“Tumekuwa kwenye mazoezi ya kila siku tukipigania suala hili la kufunga mabao mengi, lakini hali inaonekana si nzuri tukifika kwenye mechi, hali hii imekuwa ikijitokeza kwenye mechi zilizopita pia sasa nahitaji kulimaliza tatizo hilo mapema sana na kuanzia katika mechi inayofuata na Coastal, tutajitahidi kuhakikisha tunaanza kufunga mabao mengi kwa ajili ya kupata pointi muhimu.
“Unapocheza siku zote nia ya msingi ni kufunga mabao kwa ajili ya kujiweka sawa na kuibuka na pointi tatu, sasa kama hilo linakuwa haliwezekani, hapo panakuwa hakuna maana kwa kuwa tunarudi nyuma katika mbio za ubingwa lakini tutajitahidi kuifuta hali hiyo na kuanza upya kuanzia mechi ya Coastal,” alisema Pluijm.
Mpaka sasa inaaminika kuwa Yanga ni moja ya timu zenye safu kali ya ushambuliaji inayoundwa na Mliberia, Kpah Sherman, Mrundi, Amissi Tambwe, Danny Mrwanda, Simon Msuva, Mrisho Ngassa, Jerry Tegete na Hussein Javu, lakini bado imekuwa na mwendo wa kusuasua katika ufumaniaji nyavu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara za hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate