EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, April 25, 2015

TUME YA TAIFA YASEMA KURA YA MAONI HAITAPIGWA SAMBAMBA NA UCHAGUZI MKUU 2015

Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
TUME ya uchaguzi nchini Tanzania (NEC), imetoa ufafanuzi juu ya suala la upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa kuchanganywa na uchaguzi mkuu na kusema kuwa mambo hayo hayatafanyika kwa pamoja.

Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa mpaka sasa tume haijaamua ni lini kura ya maoni itafanyika ila kwa sasa wanachofanya ni kuendelea na uandikishaji wa Daftari la mpiga kura katika Mikoa iliyobaki.

Jaji Lubuva ameongeza kuwa uchaguzi mkuu wa rais utakuwepo kama kama ulivyopangwa kuwa katika juma la mwisho la mwezi octoboa ambapo tayari uandikishaji wa Daftari la mpiga kura kwa mfumo wa BVR, utakua umekamilika.
Mwenyekiti huyo amesema kuna upotoshaji unaofanywa na baadhi ya vyama vya siasa kwamba tume imesema itachanganya upigaji wa kura ya maoni na uchuguzi mkuu na kusema kuwa suala hilo halina ukweli wowote.

Lubuva amesema kuwa hakuna sheria inayokataza kuchanganywa kwa zoezi hilo kwa wakati mmoja lakini amesema kufanya hivyo kuna changamto nyingi ambazo zitaweza kuharibu chaguzi hizo ikiwa ni pamoja na jinsi ya kufanya kampeni.
Aidha jaji lubuva amekanusha tuhuma za kwamba tume hiyo imeanza uandikishaji katika mikoa ambayo ni ngome ya chama Tawala ili kuhujumu vyama vya upinzani na kusema tuhuma hizo si za kweli na ni upotoshaji na kusema kuwa tume inafanya kazi kwa misingi na taratibu ilizojipangia.

Ameongeza kuwa kwa kuanza mikoa ambayo yamechagua kwa ajili ya zoezi hilo kunatokana na idadi ya watu katika mikoa hiyo kuwa ndogo hivyo na kutokana na vifaa vya kujiandikishia kuwa vichache ndio maana wakaanzia mkoa wa Njombe na sasa wataendelea na mikoa mingine ya Iringa, Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Hatua hiyo inafuatia kutokana na shutuma za vyama vya siasa ikiwemo Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ambapo naibu Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zanzibar Salumu Mwalim, amesema kuwa tume ya taifa Uchaguzi (NEC) isije ikathubutu kuuchezea uchaguzi mkuu kwa kuuchanganya na kura ya maoni ya Katiba Pendekezwa wakithubutu hawata shiriki uchaguzi mkuu Oktoba.

Akizungumza na mamia ya wakazi wa mji wa Njombe Mwalimu amesema kuwa chama hicho hakita shiriki uchaguzi mkuu kama kutatokea uchaguzi mkuu kuchanganywa na kura ya maoni ya Katiba Pendekezwa.

Amesema kuwa kitu hicho kitavunja historia ya nchi na dunia kwani hakijawahi kutokea ulimwenguni pote na kuwa itakuwa ni Tanzania pekee kupiga kura mbili tofauti kwa wakati mmoja.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate