EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, August 8, 2015

Simba yashusha kipa Mbrazili straika wa Mali

ricardo andradeKipa, Ricardo Andrade
Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam
UKIWEKA mguu watu wanaweka kichwa, saa chache baada ya Yanga kumleta kiungo Thabani Kamusoko, Simba imewaleta kipa Ricardo Andrade na straika Makan Dembele kutoka Brazil na Mali.
Kipa Andrade alitarajiwa kuwasili leo alfariji kutoka Brazil na straika Dembele atawasili kesho Jumapili kutoka Mali.
makan-dembele-makanMakan Dembele
Andrade, 38, ambaye jina lake halisi ni Ricardo Ribeiro de Andrade, mara ya mwisho aliichezea Klabu ya Moreirense ya Ureno lakini mwenye ni Mbrazili aliyezaliwa katika Jiji la Rio de Janeiro.
Kipa huyo mwenye uzito wa Kilogramu 79, katika klabu yake alikuwa anavaa jezi namba 25 na ana nguvu nyingi za kuzuia mipira kwa kutumia mguu wa kulia pia ana urefu wa futi sita na inchi mbili.
Moja ya sifa zake ni uwezo mkubwa wa kucheza krosi na mipira ya karibu kuelekea langoni kwake.
Kwa upande wake, straika Dembele aliyezaliwa Desemba 25, 1986, anatokea Klabu ya JS Kabylie ya Algeria na sifa yake kubwa ni kufunga kwani ameifungia timu yake mabao tisa katika mechi 16.
Dembele aliyezaliwa Bamako, Mali anavaa jezi namba tisa na ana urefu wa futi sita na inchi tatu. Straika huyu amewahi kuichezea Raja De Casablanca ya Morocco kati ya mwaka 2007 hadi 2008 na kufunga mabao manane katika mechi 14.

Simba imeshamalizana kimaslahi na kipa wake, Ivo Mapunda japokuwa bado hajasaini mkataba kwani hayupo kikosini kwa maelezo kuwa ni majeruhi.
Kwa mujibu wa Rais wa Simba, Evans Aveva, kipa na straika huyo watawasili lakini kabla ya kupewa mkataba, Kocha Dylan Kerr na Kocha wa Makipa, Idd Salim watapima uwezo wa kila mmoja wao.
 “Bado tunaendelea na zoezi la usajili ili kuhakikisha kikosi chetu kinakuwa bora zaidi kwa ajili ya kukabiliana na timu nyingine, kuna kipa anakuja kesho (leo) alfajiri kutoka Brazil. Pia kuna straika anaitwa Dembele atakuja kesho (leo) usiku kutoka Mali.
 “Kipa huyu tumekuwa tukimfuatilia kwa muda mrefu na sisi viongozi tumeona anatufaa lakini makocha nao lazima wajiridhishe,” alisema Aveva.
Hata hivyo, katika hali ya kushangaza Aveva alisema kipa huyo atatambulishwa leo Jumamosi kwa mashabiki wa Simba katika Tamasha la Simba Day kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kuhusu usajili wa Mapunda, Aveva alisema: “Huyo ni mchezaji wetu jamani sema kwa sasa ni majeruhi tu.”

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate