EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, August 31, 2012

Wateja wa Precision Air kukata tiketi za usafiri kupitia huduma ya M-Pesa.


Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara cha kampuni ya Precision Air, Patrick Ndekana(kushoto)akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mkataba na Vodacom Tanzania ambapo wateja wataweza kulipia tiketi za usafiri kupitia huduma ya M-Pesa,kulia ni Mkuu wa kitengo cha huduma za fedha wa Vodacom Tanzania Bw. Innocent Ephraim.
*******
Kampuni ya usafiri wa anga ya Precision air hii leo imeingia kwenye mkataba na Vodacom Tanzania ambapo wateja wataweza kulipia tiketi za usafiri kupitia huduma ya M-Pesa.

Ili kufanya malipo mteja atatakiwa kupiga namba *150*00# na kuchagua malipo ya bili kupitia orodha ya M-pesa na kuingiza namba ya biashara ya Precision Air ambayo ni 333777  ikifuatiwa na namba ya malipo na kiasi cha fedha itakayolipwa.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ushirikiano huo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara cha kampuni ya Precision Air, Patrick Ndekana, amesema kuwa njia hiyo ni ya haraka, rahisi na itaokoa muda kwa wateja.

“Tunafurahi kuingia katika ushirikiano huu na Vodacom Tanzania, Tunawahimiza wateja wetu kutumia huduma hii ili kuokoa muda na kufanya malipo yao katika njia ambayo ni rahisi na ya haraka,” alisema Ndekana.

Kwa upande wake, Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Kifedha cha Vodacom Tanzania, Innocent Ephraim, alibainisha kuwa ushirikiano huo utatoa njia badala katika malipo ya tiketi, na kusisitiza kuwa huduma ya M- pesa ni salama, haraka na niya uhakika, kwa kuwa imeleta mapinduzi katika huduma mbalimbali za kifedha tangu kuanzishwa kwake miaka mimne iliyopita.

“Tunaamini kuwa tutatoa huduma bora kwa wateja wetu. Tunajivunia ushirikiano huu na tunatarajia utakuwa na mafanikio makubwa katika kukidhi mahitaji ya huduma kwa wateja wetu,” alisema Ephraim.

Huduma ya M-Pesa ya Vodacom Tanzania ina mawakala zaidi ya elfu 20,000 nchini kote, na ni pekee ambayo inaongoza, kwa usalama na ubora katika kukidhi mahitaji ya huduma za kifedha kwa Watatanzania walio wengi.

Kampuni ya Precision Air inatoa huduma zake katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, na kufika katika maeneo mengi ya nchi kwa siku.

Sasa kampuni hiyo ina ndege tano zenye uwezo wa kubeba abiria sabini aina ya ATR 72-500, na ATR 42 yenye uwezo wa kubeba abiria arobaini na nane na ndege nyingine tatu aina ya Boeng 737. Na sasa iko katika mpango wa kuongeza ndege nyingine aina ya E- jets na ATR.
Mkuu wa kitengo cha huduma za fedha wa Vodacom Tanzania Bw. Innocent Ephraim,akionesha bango lenye maelekezo muhimu ya kufuatwa ambayo yatawafanya wateja wapate huduma ya kulipia tiketi za usafiri kupitia huduma ya M-Pesa kwa urahisi zaidi,kushoto ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara cha Precision Air, Patrick Ndekana.
Baadhi ya wafanyakazi wa Precision Air wakifatilia kiumakini mkutano wa waandishi wa habari kuhusiana na mkataba wa Vodacom Tanzania na kampuni yao ambapo wateja wa Precision Air wataweza kulipia tiketi za usafiri kupitia huduma ya M-Pesa.
Waandishi wa habari wakiwa kazini wakati wa Precision Air na Vodacom Tanzania walipokuwa wakitangaza mkataba kuhusiana na wateja wa Precision Air kuweza kulipia tiketi za usafiri kupitia huduma ya M-Pesa.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate