EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, February 26, 2013

Mbowe ahoji Tume ya Pinda kuchunguza chanzo cha matokeo mabaya ya kidato cha nne

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameponda hatua ya serikali kuunda tume ya kuchunguza chanzo cha matokeo mabaya ya kidato cha nne, akisema kufanya hivyo bila uwajibikaji ni matumizi mabaya ya rasilimali za walipa kodi.
Akitoa salaam baada ya kushiriki uzinduzi wa jengo la Chuo cha Walezi wa Watoto cha Kumbukumbu ya Helen, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Neema wilayani Hai, Mbowe alisema mkakati huo ni wa kupunguza hasira ya umma dhidi ya serikali.
Alisema kuwa kutokana na ubovu wa mfumo wa elimu, kinachohitajika si tume ya kuchunguza mambo yanayojulikana, bali kunahitajika hatua za kisera, kibajeti, kitaasisi na kiuongozi.

Mbowe alifafanua kuwa masuala  hayo serikali ya CCM haiko tayari kuyafanyia kazi kwa sababu ya kupuuza sekta hiyo muhimu kwa maendeleo ya nchi.
Alisema kuwa kitendo cha wa Waziri wa Elimu, Dk. Shukuru Kawambwa, na viongozi waandamizi wenzake wizarani kuendelea kuingia ofisini huku asilimia 90 ya wanafunzi wa sekondari wakiwa wamefeli vibaya ni aibu kwa Waziri Mkuu na Rais.
Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, alisisitiza kuwa hatua yoyote inayochukuliwa na serikali katika suala hilo inapaswa kutanguliwa na uwajibikaji kwa watu waliopewa dhamana ya kusimamia elimu ya watoto wa Tanzania.

“Ndugu zangu leo tunashuhuhudia tukio muhimu sana hapa Kalali, kuanzishwa kwa chuo kitakachofundisha walimu au walezi wa watoto hawa yatima walioko hapa ambao kweli ni watoto waliokosa fursa fulani katika maisha yao.
Alisema kuwa wakati wanafikiria kuwatunza hao watoto yatima, ni vyema wakaanza kutafakari kama taifa juu ya elimu ambayo wamewatia giza katika upeo wa macho yao na maisha yao kwa kuwafelisha.
Mbowe alisema kuwa hana haja ya kupinga hatua ya Pinda kuunda tume, lakini hatua yoyote itayochukuliwa na serikali bila kuendana na uwajibikaji ni ghiliba kubwa kwa Watanzania.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate