EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, August 6, 2013

Nyumba za halmashauri zageuzwa gesti.

HALMASHAURI ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya imepata hasara ya mamilioni ya fedha kutokana na kukosa kumbukumbu za vyanzo vyake vya mapato, zikiwamo nyumba inazomiliki kwa zaidi ya miaka 20 bila kuwatambua wapangaji wake kisheria.

Nyumba hizo tatu ambazo ziko katikati ya mji wa Vwawa wilayani hapa kwa sasa zinatumika kama nyumba za biashara ya kupangisha wageni ‘guest house’, baa na ofisi, ambapo moja ni ofisi ya Ushirika wa Umoja wa Wanawake na nyingine ni ya Tanganyika Farmers Association ( TFA).

Hoja ya upotevu huo wa mapato iliibuliwa na Diwani wa Ihanda, Joel Kasebele na baadaye kuungwa mkono na madiwani wengine kwenye kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa Halamshauri ya Wilaya ya Mbozi.

Diwani Kasebele alimuuliza Mkurugenzi Mtendaji wa halmshauri hiyo ambaye ndiye katibu wa kikao hicho juu ya mustakabali wa nyumba hizo zinazojulikana kwa majina ya TFA, Selfina na MDC (Mbozi District Council) ambazo zinadaiwa kumilikiwa na halmashauri hiyo tangu mwanzoni mwa miaka ya 1980 ulipoanzishwa mfumo wa serikali za mitaa.

Akijibu hoja hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Levison Chilewa, alikiri kuwapo kwa nyumba hizo pamoja na nyingine zilizokuwa zikimilikiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na baadaye kuiuzia halmashauri hiyo.

Pia alikiri kuwapo kwa wapangaji, lakini haijulikani walikodishwa na nani na ni kwa kipindi gani (miaka mingapi) hadi sasa.

hata hivyo, alijitetea kuwa yeye na wataalamu wengi wa halmashauri hiyo ni wageni, hivyo hawakukuta kumbukumbu zozote ofisini kutoka kwa waliowarithi.
Kutokana na hali hiyo, aliliomba baraza hilo kumpatia muda kulifuatilia jambo hilo na kuahidi kulitolea maelezo katika kikao kijacho.

Habari na na Kenneth Ngelesi, Mbozi ,Tanzania daima.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate