EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, September 24, 2013

Adaiwa kutapeli akijifanya Ofisa Usalama wa Taifa.

MKAZI wa Mbagala, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, Rashidi Mwinyimkuu, anadaiwa kutapeli watu fedha na vitu mbalimbali kwa kujifanya ni Ofisa Usalama wa Taifa.

Mwinyimkuu anayedaiwa kuwa karibu na baadhi ya askari amekuwa akifanya vitendo hivyo kwa muda mrefu sasa bila vyombo vya dola kumtia hatiani huku taarifa zake zikidaiwa kufikishwa kwenye Kituo Kidogo cha Polisi Charambe.

Wakizungumza kwa wakati tofauti na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, baadhi ya wakazi hao walisema watu kama hao wamekuwa wakichafua heshima ya serikali.

Walisema Mwinyimkuu alifanikiwa katika baadhi ya vitendo vyake vya utapeli kwa sababu alikuwa ana kitambulisho kilichokuwa kikimtambulisha kuwa ni Ofisa Usalama wa Taifa.

Katika tukio la hivi karibuni, Mwinyimkuu alimtapeli Ibrahimu Kipande sh 200,000, akidai kuwa angempatia kazi ya udereva kwenye moja ya Ofisi za Uslama wa Taifa jijini Dar es Salaam.

“Tulianza kumtilia shaka kutokana na tabia yake ya kupenda kujifaragua mbele za watu kwa kujitambulisha kila anapokutana na watu akisema mimi ni Ofisa Usalama hata bila kuulizwa,” alisema Kipande.

Hata hvyo baada ya kushindwa kutekeleza ahadi yake, Kipande alilifikisha suala hilo kwenye Kituo Kidogo cha Polisi Charambe ambako mkuu wa kituo hicho alilimaliza kimya kimya, kwa mdai kulipwa fedha zake.

Kwa upande wake Mwinyimkuu, alisema taarifa hizo hazina ukweli wowote.
“Sijafanya kazi ya Usalama wa Taifa na wala sijajifanya hivyo, mimi watu wote huku kwetu wananijua kazi yangu kuwa ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hadi kupachikwa jina la Mwinyimkuu CCM,” alisema Mwinyimkuu.

Mkuu wa Kituo hicho cha Polisi, Jonas, alisema anamfahamu mtu huyo kama mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Chalambe, lakini hajafikishwa kwenye kituo hicho kwa tuhuma hizo za utapeli.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate