Wananchi wakiwa katika 
shamrashamra za kumpokea Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye 
jana kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Ruvuma mjini Songea jana, alipowasli 
kwa ajili ya kuanzisha amsha amsha ya Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM 
ambayo inafanyika Jumapili hii, Kitaifa mjini Songea kwa kuongozwa na 
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
 Mratibu wa Maadhimisho 
ya Miaka 38 ya CCM, Emaanuel John Nchimbi akiwasili kwenye Ofisi hiyo ya
 CCM mkoa wa Ruvuma kumpokea Nape.
 Katibu wa NEC, Itikadi 
na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo
 mbalimbali kuzindua mashina ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia 
mkutano wa hadhara, baada ya kuwasili mjini Songea.
 
 
 
 
 
 
 



 













































