Mshindi wa Redd's Dar City Center, Alice Isack (katikati) akiwa na mshindi wa pili, Clarah Paul (kulia) na mshindi wa tatu, Fatma Hussein (kushoto). (Picha na Habari Mseto Blog)
Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kushoto) akiwa na wadau wa urembo.
Warembo walioingia katika hatua ya tano bora.
Jaji Mkuu wa shindano hilo Wema Sepetu akiwa na majaji wenzake wakifuatilia shindano la Redd's Miss Dar City Center.
Hoyce Temu akitoa utaratibu wa kujibu maswali.