EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA
Showing posts with label Tamasha la matumaini. Show all posts
Showing posts with label Tamasha la matumaini. Show all posts

Saturday, July 20, 2013

TAMASHA LA MATUMAINI 2013: TUNAWASHUKURU WATANZANIA.

TAMASHA la Matumaini 2013 limefanyika kwa mara ya pili Julai 7, mwaka huu kwa mafanikio makubwa ukilinganisha na lile la mwaka jana. Kwa mwaka huu limekuwa na mafanikio zaidi kwa sababu kiongozi wa juu kabisa wa nchi amepata nafasi ya kuzungumza na wananchi kuhusu amani na matumaini kwa nchi yetu.
Sehemu ya wananchi waliohudhuria Tamasha la la Matumaini 2013.
Moja kati ya madhumuni mawili makubwa ya tamasha hilo ni kukumbushana umuhimu wa uzalendo wa dhati wa kudumisha amani, kurejesha matumaini kwa Watanzania waliopoteza matumaini, kuipenda na kujivunia Tanzania. 

Tunaamini kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kuhutubia Watanzania, ameweza kutimiza malengo hayo kwa kiasi kikubwa.

Tunapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mhe. Rais kwa kukubali kuacha shughuli zingine na kujumuika nasi katika tamasha hilo na pia kukubali kuzungumza na wananchi na hatimaye kuandika historia mpya ya kuwa rais wa kwanza kuingia uwanjani kuanzisha mechi ya mpira wa miguu, kati ya Yanga na Simba za wabunge kwa kupuliza filimbi!

Monday, July 8, 2013

WOLPER, MDEE NGOMA DROO


Mhe. Halima Mdee akiingia uwanjani.
Wolper akiwa ulingoni tayari kwa pambano.
Mdee na Wolper wakizipiga.
Ngoma droo.
Mdee akitolewa uwanjani kwa mbwembwe.

YANGA WAILAZA SIMBA KWA PENATI 4-3, WATWAA KOMBE

Wachezaji wa Yanga (wabunge) wakishangilia na kombe lao.
Wachezaji wa Yanga (wabunge) wakishangilia baada ya kuwalaza watani wao Simba (Wabunge) kwa penati 4-3.

BONGO FLEVA WAICHAPA BONGO MUVI KWA PENALTI 2-1

Nahodha wa Bongo Fleva, Hamis Baba 'H Baba' akipokea kombe kutoka kwa Mhe. William Ngeleja.
Bongo Fleva wakisherehekea ushindi wao.
Bongo Muvi baada ya kichapo.
Timu ya Bongo Fleva imeibuka kidedea kwa kuichapa Bongo Muvi mabao 3-2 katika mchezo wao wa leo kwenye Tamasha la Matumaini 2013. Mpaka filimbi ya mwisho inapulizwa mabao yalikuwa 1-1 ndipo zikaamriwa penalti na Bongo Fleva kuibuka kifua mbele kwa penalti 2-1.

ESTER BULAYA VS AUNT EZEKIEL HAKUNA MBABE


Aunt Ezekiel na Ester Bulaya wakizichapa ulingoni.
Mhe. Ester Bulaya ndani ya ulingo.

Sunday, July 7, 2013

MECHI YA SIMBA NA YANGA (WABUNGE) YANGA YAIBUKA WASHINDI KWA PENATI 4-3.


Rais Kikwete akielekea kukagua timu.
Rais Kikwete akisaini mpira utakaotumika.
...Akiwakagua Yanga.
..Akiwakagua Simba.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Eric Shigongo, Waziri Fenella Mukangara, marefarii na manahodha wa Simba na Yanga.
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete kabla ya kupuliza kipenga kuashiria kuanza kwa mechi ya wabunge Simba na Yanga.

USIKU WA MATUMAINI 2013 KUWEKA HISTORIA UWANJA WA TAIFA LEO - JK KUPULIZA KIPYENGA!.



Saturday, July 6, 2013

AUNT, WOLPER: TUTAWAUA WABUNGE WENU

Aunt Ezekiel.
Na Mwandishi Wetu
NI mshikemshike kwa ajili ya Tamasha la Matumaini, Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo mastaa wa filamu za Kibongo wanaoshiriki ndondi na wabunge, Aunt Ezekiel na Jacqueline Wolper wametamba kuwamaliza waheshimiwa hao.
 
                                                                   Jacqueline Wolper.
AUNT VS ESTER BULAYA
Aunt ambaye atazichapa na Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Mara (CCM), Ester Bulaya ameapa kuwa lazima siku hiyo ‘amuue’ mheshimiwa huyo kwa madai kuwa kwa sasa yupo fiti baada ya kurejea kutoka kambini, Dubai.
Alisema kuwa amepata mazoezi ya nguvu ya kurusha na kupangua ngumi kutoka kwa mwalimu wake, Abdul Al-Mohd ambaye amempa mbinu zote za kummaliza mbunge huyo katika raundi za mwanzo.
 
                                                                          Ester Bulaya.
“Nipo fiti sana, najua mheshimiwa Ester ni mtu wa Mara kwa wakorofi na ana hasira lakini hilo halinipi shida, cha msingi mashabiki wangu waje kushuhudia nikimmaliza mtu,” alisema Aunt na kuongeza:
“Ester ni mwanasiasa mzuri na ana mazoea na majukwaa ya siasa lakini mimi nataka niwathibitishie watu kuwa naweza kumiliki ulingo vilivyo kama ninavyokuwa stejini.
 
                                                                    Halima Mdee.
“Kazi ni moja tu keshokutwa (Jumapili) kwenye Uwanja wa Taifa, natoa tahadhari kuwa ‘nitamuua’ mbunge wenu. Nawaahidi mashabiki wangu na watu wote ushindi ‘so’ wote tukusanyike tupate burudani na kuchangia elimu yetu.”

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate