EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA
Showing posts with label Dida. Show all posts
Showing posts with label Dida. Show all posts

Wednesday, January 21, 2015

DIDA, EZDEN WAMEBAKI MARAFIKI

Stori: Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko WATANGAZAJI ambao walikuwa wanandoa kabla ya kuachana, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wamemaliza tofauti zao na sasa wamekuwa marafiki sana kiasi cha kuzua minong’ono kwamba wamerudiana.
Watangazaji, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wakati wakiwa wanandoa.
Baada ya minong’ono hiyo kuzidi, Risasi Vibes ilimtafuta Dida ili kueleza ukweli ambapo alisema ni kweli amemaliza bifu na Ezden na sasa ni marafiki lakini suala la kurudiana siyo kweli na halipo kabisa kwani tayari yeye ana mtu wake na Ezden pia ana mtu wake.
“Tumemaliza vinyongo tulivyokuwa navyo na sasa tuko kama watu wa kawaida lakini hakuna mapenzi tena na hatuwezi kurudiana. Pia kila mtu ana uhusiano mwingine, sisi ni marafiki tu watu waelewe hivyo,” alisema Dida.

Saturday, October 25, 2014

DIDA NDOA TENA!

Stori: Waandishi wetu
SIKU
chache baada ya kudai hawezi kuolewa kwa sasa, mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’, ameonesha matumaini mapya ya kuolewa baada ya kumwanika mchumba’ke mpya.
Mtangazaji wa Kipindi wa Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida' akimlisha keki Shemeji yake, Feisal.
Dalili za matumaini hayo mapya zilionekana usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita katika sherehe yake ya kuzaliwa (bethidei) iliyofanyaka nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa kibao Bongo.

Monday, August 4, 2014

JEURI NYINGINE YA DIDA!

CHANZO: Global Publishers
Zimemtembelea! Prizenta wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa na Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ ameonesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua magari mengine mawili kwa mpigo.
Hadija Shaibu ‘Dida’ akiikagua gari yake.
Dida amefanya kufuru hiyo ikiwa imepita miezi kadhaa tangu atangaze kuwa ana nyumba mbili maeneo ya Goba na Kigamboni pamoja na kuyaanika magari manne anayomiliki (Toyota Verossa mbili, Toyota Noah nyeusi na Toyota Vitz.)
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, rafiki wa karibu wa Dida aliyeomba hifadhi ya jina alisema ameshtushwa na kitendo cha shosti wake huyo kununua magari mawili kwa mpigo kiasi cha kumfanya ahisi kuna biashara nyingine anaifanya tofauti na utangazaji.

Wednesday, October 23, 2013

DIDA AFUNGUKIA ISHU YA KUPIGWA MIMBA

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani wa Redio  yaTimes, Khadija Shaibu ‘Dida’ hivi karibuni amefungukia madai ya kwamba ana mimba ya mumewe wa sasa, Edzen  Jumanne na kwamba mfumo wake wa kimaisha hasa kwenye ulaji umebadilika.

  Khadija Shaibu ‘Dida’ Katika picha kapakatwa.
Juzikati, chanzo ambacho ni rafiki wa Dida kilichoomba hifadhi ya jina lake kilisema: “Unajua mwanamke mwenye mimba hajifichi, Dida atakuwa kishapachikwa, nyie fuatilieni.”
 
Katika kujua ukweli wa jambo hili la kheri, mwandishi wetu alimtafuta Dida na katika maelezo yake alidai kuwa taarifa hizo hazina ukweli kwani bado hawajapanga suala la kuzaa kutokana na mumewe kuwa na mtoto mdogo aliyemkuta naye ambapo wanataka afikishe miaka mitano ndipo wazae.

Monday, July 8, 2013

KAMA ULIKOSA PICHA ZA HARUSI YA DIDA WA TIMES FM PICHA ZOTE HIZI HAPA TAZAMA

Namshukuru sana Mungu kwa tukio hili na ninaipenda sana ndoa yangu. Mlio-post picha za simu nyingi hazikutoka vizuri, haya sasa mzigo huu hapa..... na dj sekINSHAALAH!!!! Rasmi sasa Dida wa Ezden

Bi Hindu akiongea maneno yake ya msingi kwa maharusi.... Bwana mdogo na dj sek hapo chini ni Deen The Next Big Thing (The Next Rocker)

 Baba mzazi wa Ezden upande wake na Upande wa Dida ni uncle wa bi harusi...


 Maharusi na brother wa Bi Harusi Mr. Athumani...

 Kabla ya ndoa stori zilikuepo za hapa na pale....

 Ndoa maalum ya KIISLAM hapo kikisainiwa cheti cha ndoa....

Thursday, June 20, 2013

DIDA AELEZA ALIVYOCHUNGULIA KABURI.

MTANGAZAJI wa Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amefungua kinywa chake na kusema ugonjwa wa malaria uliompata hivi karibuni ulimfanya alichungulie kaburi kwani alihisi mauti yanamkuta.
                                                          Khadija Shaibu ‘Dida’.
Akizungumza na paparazi wetu mapema wiki hii katika Hospitali ya Muhimbili, jijini Dar, Dida alisema kitendo cha kukutwa na malaria 250 katika mwili wake kilikuwa hatari sana kwani ingeweza kumuondoa uhai kabisa.
 
“Nilichungulia kaburi mwenzenu maana hali niliyokuwa naisikia siku ile ya kwanza ilikuwa ni nusu duniani, nusu akhera. Nilikuwa wa leo au wa kesho ila namshukuru Mungu kwa sasa naendelea vizuri,” alisema Dida.
 
Mwishoni mwa wiki iliyopita, Dida alipandwa na malaria kali, akakimbizwa katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar kisha kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Friday, June 7, 2013

KHA! DIDA amewashangaza watu baada ya kutundika mtandaoni picha zinazomuonesha akioga bafuni.

MTANGAZAJI wa Kituo cha Redio cha Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amewashangaza watu baada ya kutundika mtandaoni picha zinazomuonesha akioga bafuni huku nyingine akiwa maliwatoni.
Picha hizo zinapatikana kwenye mtandao wake na hakueleza ilikuwa wapi ila akasema ilikuwa ni siku alipoamua kuitumia wikiendi yake ipasavyo katika hoteli ambayo hakuitaja jina.
Baadhi ya watu waliyoziona picha hizo walimponda wakidai eti ni ulimbukeni lakini wapo waliomtetea kwa kusema, ni staili tu ya maisha aliyoamua kuishi.
“Ushamba tu, ndo nini sasa? Angetuwekea ‘akikata gogo’ pia,” alisema mmoja wa wadau huku mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Dick akisema: “Msimuonee wivu mwenzenu, anakula bata zake na nyie hamjakatazwa.”

Dida alipoulizwa kuhusu kujianika hivyo alisema, hizo ni ishu zake binafsi na wapenzi wake wanapenda kuona kila anachokifanya, ndiyo maana anawawekea kwenye blogu yake.

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate