HABARI ya mjini ni kwamba, lile penzi linalonadiwa
la Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ na mwigizaji Wema
Isaac Sepetu ‘Madam’ limejaa magumashi, ikidaiwa kuwa jamaa huyo kawekwa
kama boya tu, nyuma yake kuna kigogo mzito serikalini ndiye anayekula
vinono, Risasi Jumamosi limetonywa.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, Dimpoz ameagizwa na kigogo huyo
awe mpenzi kivuli wa Wema ili kuzuga watu wasishtukie mchezo kama yeye
ndiye anayesukuma gududumu la malovee kwa Madam.
Showing posts with label OMMY DIMPOZ. Show all posts
Showing posts with label OMMY DIMPOZ. Show all posts
Saturday, February 21, 2015
Friday, February 6, 2015
Friday, January 23, 2015
KIJUNGU CHA ‘DEMU WA DIAMOND’ CHAMCHENGUA DIMPOZ
Umbile la mwanadada
aliyefahamika kwa jina moja la Avril kutoka Kenya ambaye aliwahi kudaiwa
kutoka kimapenzi na Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, hivi karibuni
lilionesha kumchengua msanii wa Bongo Fleva, Omari Faraji ‘Ommy Dimpoz’
baada ya kutupia picha inayomuonesha akikitolea macho kiwowowo cha demu
huyo.

Msanii wa Bongo Fleva, Omari Faraji ‘Ommy Dimpoz’ akiwa na Mwanadada Avril kutoka Kenya.
Ommy alifanya hivyo kupitia ukurasa wake wa Instragram baada kuiweka
picha hiyo kisha kuanza kukisifia kijungu cha Avril kiasi cha kumfanya
mmoja wa mashabiki wake atupie maoni akisema: “Unaonekana kaka wewe ni
mgonjwa wa wanawake waliofungashia, ila huyu demu mkali.”
‘Ommy Dimpoz’ akitupia jicho kijungu cha Avril.
Mbali na maoni hayo mengine yaliendelea kukichambua kiumbile kizuri
alichonacho mwanadada huyo na Ommy alipopigiwa simu ili kuulizwa
kilichomvutia kwa demu huyo na kama anataka kujiweka kwake alikuwa
akikata.
Wednesday, October 9, 2013
Thursday, August 22, 2013
Dimpoz awatamani P Square
MENEJA wa Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Mbarouk Issa ‘Mubenga’
amesema lengo la msanii huyo hivi sasa ni kufanya kazi na wasanii
wakubwa duniani kama P Square na wengine ambao wanafanya vizuri.
Kwa mujibu wa Mubenga, Dimpoz ana malengo ya kuwa msanii mkubwa,
hivyo anaomba sapoti ya kutosha kwa wapenzi wa kazi zake ili aweze
kufikia hapo.
Alisema nia hiyo ya kufanya kazi na wasanii wakubwa duniani, imekuja
baada ya kuona anakubalika kila kona na kupata mialiko mbalimbali
katika nchi za jirani.
“Wakati anaanza, Dimpoz alikuwa haamini kama anaweza akakubalika kama
sasa hivi, kiukweli anafanya vizuri sana sio hapa Tanzania tu, hata
nchi za jirani wanamkubali sana,” alisema.
Mbali na hilo, msanii huyo ana mpango wa kufungua kampuni yake ambayo
itakuwa inahusisha shughuli mbalimbali za muziki na mambo mengine.
Dimpoz kwa sasa anatamba na kibao chake cha ‘Tupogo’, alichoimba na
mkali kutoka Nigeria, J Martin na alishawahi kung’ara na kazi nyingine
kama ‘Nai Nai’, ‘Baadae’ na ‘Me and You’, ambavyo vilimtambulisha vema
na kufanya vizuri katika soko la muziki.
Monday, August 12, 2013
OMMY DIMPOZ AFANYIWA MAPOKEZI MAKUBWA NCHINI BURUNDI.
Ommy
Dimpoz licha ya kukwama kwa muda kidogo kwenye Airport ya Jomo
Kenyatta, hatimaye aliweza kufika nchini Burundi na kufanya show. Baada
ya kufika Burundi, njiani kuelekea kwenye show Ommy Dimpoz alifuatwa na
kundi kubwa la watu wakifuatilia gari lake huku yeye akiwapungia mkono.
Cheki hii pi
Sunday, June 16, 2013
TID AAHIDI KUMPA KIPIGO OMMY DIMPOZ KWA KUMTUSI MAREHEMU ALBERT MANGWEA.
Hawa
watoto wadogo wanakuja na kandambili kuomba kuimba sasa hivi
wanajifanya wao wanazo hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu
Albert wallahi mungu
atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona nakupiga.
"Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook"
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe




