Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Baby Madaha.
Stori: Gladness Mallya MWANADADA
asiyeishiwa matukio Bongo, Baby Madaha ameibuka na kutoa kali ya mwaka
kwamba anapenda mapenzi kuliko kitu kingine chochote duniani.
Showing posts with label Baby Madaha. Show all posts
Showing posts with label Baby Madaha. Show all posts
Saturday, December 27, 2014
Friday, October 31, 2014
MADAHA ATILIA SHAKA AFYA YA ‘MKONGO WA WOLPER’
Msanii wa filamu na muziki, Baby Joseph Madaha amesema ana wasiwasi na afya ya mwanaume Mkongo anayefahamika kwa jina la Mwani aliyewahi kuwa mpenzi wa Jacqueline Wolper.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Baby Madaha alisema, hofu yake hiyo inatokana na namna mwanaume huyo anavyotapanya pesa huku akitangaza dau kubwa ili kuwapata mastaa wa kike.
Saturday, September 27, 2014
BABY MADAHA ATAMANI PENZI LA WEMA, DIAMOND
Thursday, January 2, 2014
BABY MADAHA AMSHIKA UCHAWI DIAMOND
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph
Madaha ‘amemshika uchawi’ msanii mwenzake, Nasibu Abdul ‘Diamond’
kufuatia madai kuwa, kuna msanii maarufu Bongo alikwenda kwa mganga wa
kienyeji Tanga akitaka kumfanyizia ‘madongoloji’ mrembo huyo ili mambo
yake yaende ndivyo sivyo.
ILIKUWAJE KWANI?
Desemba 22, mwaka jana, mtu mmoja aliyedai ni sangoma aishiye Tanga mjini alituma ujumbe mfupi wa maneno (SMS) kupitia simu ya chumba cha habari Global akiomba namba ya Baby Madaha.
Desemba 22, mwaka jana, mtu mmoja aliyedai ni sangoma aishiye Tanga mjini alituma ujumbe mfupi wa maneno (SMS) kupitia simu ya chumba cha habari Global akiomba namba ya Baby Madaha.
Mtu huyo alisema anaomba namba hiyo kwa sababu kuna mtu alikwenda
kwake (Tanga) akitaka amfanyizie Baby Madaha mambo yaende kombo.
NAMBA YA BABY MADAHA YARUSHWA
Baada ya meseji hiyo kusomwa, mtu huyo alirushiwa namba ya Baby Madaha kisha ujumbe wake ukafowadiwa kwa mrembo huyo.
Baada ya meseji hiyo kusomwa, mtu huyo alirushiwa namba ya Baby Madaha kisha ujumbe wake ukafowadiwa kwa mrembo huyo.
Thursday, December 19, 2013
BABY MADAHA: DIAMOND HANIWEZI, AWATISHIE WATOTO TANDALE
MWIGIZAJI na mwanamuziki Bongo, Baby Joseph Madaha amemchana Nasibu
Abdul ‘Diamond’ kwa kumwambia awatishie watoto wa Tandale kwani hana
ubavu wa kuchuana naye.
Akizungumza na paparazi wetu, Baby alifunguka kuwa anamshangaa
Diamond kujibu kuhusu jinsi alivyomchana wiki kadhaa zilizopita gazetini
na kusema yeye hamuwezi kwani alimtangulia kuchomoka kistaa.
“….akiwa bado ana-struggle kupata mkwanja awatishie watoto wenzake wa
Tandale, mimi nishazindua brand yangu ya manukato na mikoba ya zawadi,
bidhaa ambazo zinaingia sokoni rasmi Desemba 31, awatishe haohao watoto
wenzake, mimi siyo saizi yake,” alisema Baby.
Diamond alipotafutwa, simu yake iliita bila kupokelewa.
Thursday, December 5, 2013
BABY MADAHA APASUA JIPU: DIAMOND FUSKA!
ACHANA na mabifu yaliyotangulia, hili ni jipya kabisaa! Msanii wa
sinema na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ameingia kwenye bifu zito na
Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ na kudai staa huyo wa Wimbo wa
Number One ni mzinzi ‘fuska’, Amani lina mkanda mzima.
Bila kumung’unya maneno, mapema wiki hii, Baby Madaha alimvaa Diamond ambaye ni Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB) akimtuhumu kuwa na tabia za kifuska.
Baby Madaha alidai hata muziki anaoufanya Diamond kamwe hauwezi kulingana na mafanikio makubwa ya jina lake zaidi ya kubebwa na skendo tu.
Kupitia mitandao ya kijamii, ilivuja posti ambayo ilidaiwa kutoka kwa Baby Madaha ikimpaka Diamond kuwa siyo mwanamuziki kama ilivyo kwa wasanii wengine wenye uwezo mkubwa, akitolea mfano Elias Barnaba wa THT.
Bila kumung’unya maneno, mapema wiki hii, Baby Madaha alimvaa Diamond ambaye ni Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB) akimtuhumu kuwa na tabia za kifuska.
Baby Madaha alidai hata muziki anaoufanya Diamond kamwe hauwezi kulingana na mafanikio makubwa ya jina lake zaidi ya kubebwa na skendo tu.
Diamond na Wema.
CHOKOCHOKO ZILIVYOANZAKupitia mitandao ya kijamii, ilivuja posti ambayo ilidaiwa kutoka kwa Baby Madaha ikimpaka Diamond kuwa siyo mwanamuziki kama ilivyo kwa wasanii wengine wenye uwezo mkubwa, akitolea mfano Elias Barnaba wa THT.
Thursday, October 31, 2013
‘KUTEMBEA’ NA BOSI WAKE KWAMLETEA BALAA BABY MADAHA
Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’.
Mwanamuziki na mwigizaji
Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’, amemshukia mwanamuziki memba
mwenzake wa Candy n’ Candy, Top C na kumtaka asimuingilie katika maisha
yake.
Wednesday, October 23, 2013
Baby Madaha afanya mazito Kenya, jionee hapa!
Mwanadada aliyerudi kwa kasi kwenye gemu la muziki nchini na kuachia ngoma zake mbili kali sana mwaka huu “Squeeze it” na “Summer Holiday”,
Baby madaha, ameendelea kudhihirisha kuwa mwaka huu kajipanga Zaidi
kusaka hela baada ya hivi karibuni kuachia Perfume na Mifuko yenye jina
lake (Brand) huko nchini Kenya.
Akizungumza kwa simu tokea nchini humo ambako yupo akijiindaa
kufanya tour yake ya kwanza baada ya kupata Mkataba na Kampuni ya Candy n
Candy records ya nchini humo, Baby Madaha amsema perfume hizo
zimeshaanza kuuzwa na kupatikana katika mitaa na maeneo mbalimbali ya
nchi hiyo na amesema kuwa mzigo wa pili utatua Tanzania hivi karibuni.
“Nimeona bora nianze na Kenya kwanza kwasababu nimegundua kuwa
huku nina mashabiki wengi sana Zaidi hata ya bongo, hata siamini
kinachotokea” Alisema baby Madaha.
Saturday, October 12, 2013
Thursday, September 12, 2013
BABY MADAHA - KWA SASA SINA MPENZI KABISA, MWENYE MAHABA NA MIMI ANITAFUTE KWA MUDA WAKE..
Siku ya jana katika interview na baby Madaha ambaye hivi karibuni amesaini mkataba mnono na kampuni ya Candy n’ Candy Records ya jijini Nairobi nchini Kenya , Bongomovie.com wameweza kupata mambo matano ambayo mashabiki wa mwanadada huyu watakuwa hawajui kumhusu yeye.
Katika interview hiyo, baby Madaha ametaja mambo matano ambayo anasema mashabiki wake wanahitaji kuyafahamu kumhusu yeye. Mambo hayo ni haya yafuatayo:
1. I’m single ( Sina mpenzi)
Mwanadada huyu amesema kuwa kwa sasa yupo single na yuko bize na PESA. Ila kama kuna mwanaume mwenye nia ya dhati anaweza kumtafuta.
2. Anasoma degree ya sanaa kwenye sayansi ya siasa na historia (B.A- Political science and History) - chuo kikuu huria jijini Dar es Salaam..
3. Mama yake mzazi ndio rafiki yake mkubwa maishani
4. Ni mpenzi wa soka na ni mshabiki wa Chelsea na anavutiwa na Kevin-Prince Boateng wa club Schalke 04 ambaye ndiye alisababisha akanyoa nywele staili aliyonayo baby madaha kwa sasa.
Thursday, July 18, 2013
BABY MADAHA AOMBA PAMBANO NA WOLPER
STAA
wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ ameomba pambano la
ndondi dhidi ya Jacqueline Wolper ili waweze kumaliza ubishi wa bifu
lao.
Akipiga stori na paparazi wetu mapema wiki hii, Baby alisema amechoshwa kusikia tambo za mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke, wakutane ulingoni ili amuoneshe cha mtema kuni.
Akipiga stori na paparazi wetu mapema wiki hii, Baby alisema amechoshwa kusikia tambo za mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke, wakutane ulingoni ili amuoneshe cha mtema kuni.
Sunday, June 2, 2013
BABY MADAHA NA WOLPER WAMALIZA BIFU LAO.
WASANII wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’
na Jacqueline Wolper Massawe ‘Wolper’ wamemaliza bifu lao lililokuwa
likifukuta kama moto wa kifuu mwishoni mwa wiki mbili zilizopita.
Akizungumza na mwandishi wetu katikati ya wiki hii, Baby alisema
alikuwa Mkoani Geita kwa ziara ya kikazi lakini alipigiwa simu na Wolper
akimuomba msamaha kutokana na tofauti zao zilizosababishwa na nyumba ya
kupanga.
“Nimeona bora yaishe kwa sababu Wolper amekubali kosa na
mimi siwezi kuendeleza bifu lakini kama asingeniomba msamaha
tungefikishana mbali,’’ alisema Baby Madaha na kuongeza:
“Nimemalizana na Wolper ila kesi itabaki kwa mwenye nyumba,
nitapambana naye hadi atakaporejesha mkwanja wangu japokuwa nimepata
nyumba nyingine maeneo ya Mikocheni.”
Monday, April 22, 2013
MAWAZO MGANDO YA BABY MADAA:NTAWACHANGANYA WANAUME KAMA DIAMOND.
STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema
mwaka huu atawachanganya wanaume kama afanyavyo Nasibu Abdul ‘Diamond’
ili kwenda sawa.
Akifafanua kauli yake kwa paparazi wa Stori 3, Baby Madaha aliweka
bayana kuwa haoni tatizo kunaswa na Mwisho Mwampamba kama ilivyoripotiwa
hivi karibuni wakati huohuo anatoka kisela na mkali wa Bongo Fleva,
Juma Kassim ‘Nature’.
“Watakoma mwaka huu, lazima niwachanganye sana, mbona wao wanatuchanganya sana kama Diamond vile anavyofanya!” alisema Baby.
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe




