Mghani
mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto akizungumza kwa
msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali zinazopatikana katika suala zima
la ujasiliamali mapema siku ya jana kwenye semina ya Fursa iliyofanyika katika
ukumbi wa Student's Center,uliopo katikati ya mji wa mkoa wa Tabora
mapema leo.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa
na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo,Lake Oil.
Baadhi
ya Wasanii wa muziki wa kizazi kipya wakishiriki semina ya Fursa kwa
vijana ililiyofanyika siku ya jana kwenye ukumbi wa Student's Center katikati ya
mji wa mkoa wa Tabora mapema leo,kutoka kulia ni Msanii Godzilla,Baba
Levo,Amin,Stamina na wengineo.
Mkuu
wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya mafuta-Lake Oil,Bwa.Ben Temu
akizungumza kwenye semina ya Fursa,ambapo yeye alielezea mambo
mbalimbali ikiwemo suala la vijana kuwa wenye moyo wa kujituma na
kutokata tamaa,alieleza kwa kuwataka vijana wawe wavumilivu na kutoka
tamaa kwa kila fursa wanayokumbana nayo,badala yake waitumie vizuri
katika suala zima la kujikwamua na kujiendeleza kimaisha. Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo,Lake Oil.
Semina ya Fursa ikiendelea mapema leo ndani ya ukumbi wa Student's Center katikati ya mkoa wa Tabora mapema leo.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo,Lake Oil.





