Stori: Musa mateja/Risasi STAA
aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani
Ramadhani ‘Matonya’ ameibuka na kumvaa mwanadada Judith Wambura ‘Jide
au Lady Jaydee’ akidai amemdhalilisha kwa mashabiki wake.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Matonya alisema anamtafuta Jide
popote alipo ili amuulize kinaga ubaga kwa nini aliamua kuposti picha
kwenye mitandao yake ya kijamii ikimuonesha akiwa hajitambui pasipo
kumtaarifu.
“Nimeumizwa sana na Jide kwa kitendo chake cha kuamua kunidhalilisha
kwa kiasi hicho tena akijua mimi ni mwanamuziki mwenzake na kama kuna
kitu aliona simfurahishi kwenye mwenendo wa maisha yangu basi alikuwa
wazi kuniita na kunikalisha chini na siyo kama uamuzi alioutumia wa
kunianika kwenye mitandao,” alisema Matonya.
Showing posts with label Matonya. Show all posts
Showing posts with label Matonya. Show all posts
Saturday, January 17, 2015
Monday, June 10, 2013
MATONYA AFIKISHWA MAHAKAMA YA MWANZAO MJINI SONGEA-RUVUMA KWA TUHUMA ZA UTAPELI.
MSANII wa kizazi kipya Matonya amekamatiliwa kutokana na kufanya utapeli katika show aliyotakiwa
kufanya katika ukumbi wa Jambolee uliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.
Baada ya kuja ukumbini akiwa amelewa hali iliyompelekea
kushindwa kufanya show na kusababisha hasara katika ukumbi baada ya
kufanya fujo ya kuvunja vitu ukumbi hapo, Ndipo waandaaji wa show hiyo
walipo amua ifanyike kesho yake na kiingilo kiwe ni kununua bia .
Wakati
huo msanii huyo alitakiwa akafanye show ingine wilaya ya Mbinga ambayo
ilikuwa ni sehemu ya mkataba wao lakini hakufanya hivo na matokeo yake
akaamua kukata Tiketi kurudi Dar es Salaam , Baada ya kuvuja taarifa
hizo walimfata hadi alipo kuwa amefikia nakukuta amehamia sehemu
ingine.
Hatua
iliyochukuliwa nikumvizia katika bus ndipo alipokamatwa , Hadi sasa
yupo mahakama ya mwanzo , Taarifa zaidi zinakuijia endelea kufatilia
katika mtandao wetu zitakuhijia kwani mwandishi wetu yupo eneo la tukio ,
Endelea kutembelea blog hii tutakujuza zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe