EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA
Showing posts with label Big Brother Africa. Show all posts
Showing posts with label Big Brother Africa. Show all posts

Monday, October 27, 2014

MTANZANIA ATOLEWA BIG BROTHER


Matumaini ya watu wengi kumuona mshiriki  kutoka Afrika Mashariki ndani ya jumba la Big Brother Africa kuibuka na ushindi, yameshuka kwa kiasi kikubwa baada ya washiriki kutoka nchi mbili za Afrika Mashariki kutolewa nje ya jumba hilo.
Aliekuwa mshiriki wa Tanzania Laveda.
Wiki moja baada ya washiriki Lillian kutoka Nigeria, Esther kutoka Uganda na Sabina kutoka Kenya kutolewa kwenye mjengo huo, Mtanzania Laveda aliyekuwa na mahusiano ya karibu na Permithias pamoja na Mkenya Alusa wamekutana na ‘rungu’ la kura lililowatupa nje ya jumba hilo.

Monday, August 26, 2013

Congratulations to Delicious Dillish from Namibian the winner of Big Brother grand prize 2013/2014.

After expressing her desires to be the first woman to win the Big Brother grand prize since Zambia's Cherise did so seven seasons ago, Dillish has done it for all of Africa's women!
Winner: Dillish does it for the ladies!
The gorgeous Namibian started her Chase race as the proverbial underdog and was labeled everything from lazy, to a pampered princess. As the Chase rolled on however, Dillish quickly emerged as a very strong contender for the Chase title and won her fellow Housemates and Africa over, with her quirky, accented alter ego, aptly titled Princess Dillish.

The Namibian made sure to stay away from trouble and coasted through the Chase by taking her place behind the scenes. While her fellow Housemates got themselves into hot water, fighting and gossiping their way to what they hoped was the top of the mountain, Dillish remained grounded and maintained cordial relations with her fellow Housemates.

Thursday, August 15, 2013

HATIMAYE FEZA KESSY ATUA BONGO KUTOKA BBA,TAZAMA PICHA ZA MAPOKEZI YAKE HAPA


_MG_0056
Mshiriki wa Big brother the Chase Feza Kessy amefika Tanzania leo usiku saa moja akitokea South Africa. Airport kulikuwa na mama yake mzazi,kaka yake,mwanae,team ya Multi choice ikiongozwa na Barbara pamoja na mashabiki wengi. Hizi ni baadhi ya picha jinsi ilivyokuwa, picha nyingine na video zinakujia hivi karibuni. _MG_0012
_MG_0051
_MG_0069
Feza na mwanaye
_MG_0071
_MG_0110

Monday, August 12, 2013

FEZA KESSY AONDOLEWA KATIKA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRCA.

Mtanzania FEZA KESSY  aliyekuwa  akituwakilisha  katika  shindano  la  Big Brother Africa  ameondolewa  rasmi  usiku  wa kuamkia leo. Feza amekuwa mtu wa 20 kutolewa ndani ya jumba la BBA The case.

Na siku ya jana ameweza kudhibitisha kuwa kweli anampenda Onel baada ya kuchapwa swali na IK , Unampenda Onel? na kujibu Ndiyo bila ya kupepesa mdomo na kujiamini.

Kwa  sasa  Tanzania  hatuna  mwakilishi  tena  ndani  ya  jumba  hilo.

Sunday, August 11, 2013

MTANZANIA FEZA KESSY ATOLEWA KATIKA JUMBA LA BBA

Evictions: Farewell Feza
Tanzanian Housemate Feza has become the 20th Housemate to be booted out of The Chase.

As soon as Live Show Presenter IK made the announcment, she hugged her fellow Chasemates. She walked out of the House as they cheered her on. When she stepped on stage, IK jumped into the big question, "Do you love Oneal?" She answered: "Yes I do," without hesitation. She also shared that there is still an element of distrust between them. IK also asked her about Oneal's initial attraction to Cleo. "I will let that slide because I wasn't there," she replied.

Over the past eleven weeks she has established herself as one of the most polarising Housemates in the Big Brother House. You either love her or you hate her; there is no in between when it comes to Feza. But today her journey in The Chase has come to an abrupt end.

Monday, August 5, 2013

FEZA APONEA CHUPUCHUPU KUTOKA KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER THE CHASE, ONEL OUT



Homa iliyokuwa ikiwakabili watanzania kwamba huenda muwakilishi pekee kutoka Tanzania, Feza Kessy siku zake zimeisha kutoka kwenye jumba la Big Brother imepata tiba usiku wa kuamkia leo ambapo muwakilishi huyo, amebaki bali mpenzi wake Oneal kutoka Botswana, ndio ametoka.

Wednesday, July 31, 2013

Selly afurahia Nando kutimulia BBA.

Aliyekuwa mshiriki kutoka Ghana Selly ambaye alitoka wiki kadhaa zilizopita Selly, ameonyesha jinsi gani alivyoshukuru na kufurahi baada ya kuona Nando kawa disqualified katika jumba la BBA. Muda mfupi baada ya Nando kupewa amri ya kuondoka katika jumba hilo kwa kuvunja masharti,kupitia twitter account yake Selly aliandika..

Selly na Nando wameshawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi katika jumba la BBA kabla ya Nando kumbwaga mawanadada huyo.Pia iliwahi kuripotiwa kuwa Selly kamuambukiza Nando gonjwa la zinaa.Inaelekea Selly ana hasira na Nando japo alishawahi kukiri kuwa anamzimia sana.
Selly

Monday, July 29, 2013

MSHIRIKI WA TANZANIA (NANDO ) ATIMULIWA BIG BROTHER BAADA YA KUGOMBANA NA MSHIRIKI MWENZAKE.


Breaking News: Nando Disqualified-Elikem gets a Strike
Tanzania's Nando has been Disqualified from the Big Brother House.

After tonight's Evictions that saw Annabel and Sulu being given the boot, Big Brother then gathered all of the Housemates in the living room.

Today Big Brother reproached Nando for the fight that he had with Elikem on Friday. The heated face-off with Elikem saw the two fellas exchanging fiery words between them. Nando is the one that instigated the fight. Instigation and provocation is a violation of the Big Brother rules.

"Any Housemate who becomes physically violent will be removed from the House immediately. Violence can refer to self-inflicted violence, or violence towards another. Violence includes provocation, goading, bullying and victimisation," said Biggie.

This season Big Brother has imposed a Three Strike Rule, which will be applicable to Housemates who commit serious infringements. For this fight Nando received his second Strike and Elikem was served with his first Strike. Afterwards the Tanzanian was called into the Diary Room. He was given his third Strike for making threats against Elikem's life, saying: "I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die".

Monday, July 22, 2013

Kutoka BBA:Hatimaye Pokello aaga shindano.

Baada ya kuwa nominated mara nyingi katika jumba la Big brother hatimaye mwanadada mrembo raia wa Zimbambwe jana ameaga rasmi shindano hilo jana.Bassey kutoka Siera Lione naye aliungana na Pokelo na kufanya Zimbambwe na Siera Lione kuaga rasmi shindano hilo.
Kama utakumbuka Hakeem kutoka Zimbamwe na Bolt wa Siera Lione walishaondoka siku za nyuma. ina maana zimebaki nchi tatu zenye washiriki waliokamilika Tanzania (Nando & Feza), Zambia (Sulu & Cleo) na Nigeria (Melvin & Beverly) nchi zilizobaki Botswana,Namibia na Afrika kusini kuna mshiriki mmoja mmoja tu.

Nani ataibuka na kitita na kuibuka kidedea? Tuzidi kuwapigia kura washiriki wetu Feza na Nando waendelee kubaki mjengoni.

Monday, July 15, 2013

Kutoka Big BBA Malawi waaga shindano

Jana ulikuwa ni usiku mwingine tena ambao ni wa huzuni baada ya washiriki wawili kuaga shindano la Big Brother The chase. Baada ya kudumu kwa wiki saba mwanadada Selly kutoka Ghana na Natasha kutoka Malawi jana waliaga rasmi shindano na  kufanya Malawi kutokuwa na mshiriki tena baada ya wiki iliyopia Mmalawi mwingine Fatima kutoka.
Selly
Natasha
Wiki iliyopita washiriki kutoka Tanzania walikuwa salama na leo kama kawaida nomination zinaendelea na ikifika usiku majina ya wataokuwa nominated yatatangazwa.

Sunday, July 14, 2013

MTANZANIA MWENZETU YAMEMKUTA BBA,NANDO AAMBUKIZWA GONJWA LA ZINAA.


 Akiongea  kwa  uchungu  na  huzuni  mbele  ya  Bimp,Nando ambaye  ni Mshiriki wa Tanzania  amemlaani  mshiriki wa  Ghana  kwa  kumwambukiza  GONJWA LA  ZINAA...

Nando  amelinyaka  gonjwa  la  zinaa  maarufu  kwa  jina  la  "Chlamydia"  na  hivi  sasa  yuko  katika  dozi.Gonjwa  hilo  amelinasa  baada  ya  kungonoka  na  SELLY   bila  KONDOMU.....  

Monday, July 8, 2013

NANDO APONA KTOKA BIGBROTHER,HAKEEM NA FATIMA WAYAAGA MASHINDANO.

Hakeem kutokea nchini Zimbabwe nae ameyaaga mashindano usiku wa kuamkia leo huku akiwa haamini kabisa kile kilichotokea kutokana na utani aliokuwa akiwatania wenzake kwamba wanatoka.Na cha zaidi amemuacha mchumba wake CLEO katika wakat wa majonzi.

Mwanadada Fatima kutoka Malawi ndiye aliyekuwa wa kwanza kuaga mashindano ya BBA  usiku wa kuamkia leo.Mshiriki mwenzake kutoka Malawi  Natasha hakuamini kilichotea na kuanza kulia huku Fatima akimwambia Natasha  "No drama, no drama. It's not about you, chill out "kasha akaagana na wenziwe na kutoka nje ya jumba la BBA.

Monday, June 24, 2013

KUTOKA BIG BROTHER:TANZANIA YAENDELEA KUTAMBA,NANDO AONGOZA KWA KURA ZA KUBAKI


  Ndani ya jumba la BBA baada ya Nando mshiliki wa Tanzania aliyeingia
 kikaangaoni wiki iliyopita kapigiwa
 kura nyingi za kubaki mjengoni,nainavyoonekana
washiriki wanaoiwakilisha Tanzania wanawashabiki
 wengi toka nchi tofauti Afrika kwani kwa chati
 inayoonesha jinsi kura zilivyopigwa inaonesha Nando
 kapigiwa kura za kubaki kutoka nchi ya Tanzania,Uganda ,Nigeria kenya na
 Namibia..ikumbukwe mwakilishi mwingine toka Tanzania,Feza kessy nae alipigiwa
 kura nyingi za kubaki kutoka nchi tofauti
 tofauti zikiwemo Sierra leon na Ghana..kuendelea kubaki 
kwa watanzania hao kunazidi kutoa matumain ya huenda 
mwaka huu ukawa nin wetu..who knows??pengine 
historia ya Tanzania kufanya vizuri on BBA ikajirudia kikubwa
 tuendelee kutoa sapoti kwa wawakilishi wetu kwa kupiga kura mara
 tu waingiapo kikaangaoni..Mungu ibariki Tanzania..

Monday, June 10, 2013

BIG BROTHER:UGANDA WAAGA RASMI, WAKENYA WAMTOSA FEZA,AOKOLEWA NA KURA ZA WAGANA,SIERRA LEON NA WATANZANIA.

Usiku wa jana ulikuwa ni usiku wa huzuni kwa wenzetu
 waganda baada ya mshiriki pekee aliyekuwa amebaki
 naye kuyaaga mashindano lakini  ilikuwa ni siku ya
 furaha zaid kwa watanzania baada ya Feza aliyekuwa
 hatarini kutoka kutoka na badala yake votes zimemuokoa
 na ataendelea kuwemo mjengoni pamoja na mtanzania
 mwingine Nando, na nchi zilizopiga kura,tungetegemea
 majirani zetu Uganda na Kenya kuvote kwa Feza 
 lakini ilikuwa kinyume,ni Tanzania na nchi za west africa,Ghana &Sierra leon 
kitu kilicholeta mtafaruku mkubwa on social networks,na 
zamu hii Mwakilish wa 
kenya yuko on danger,do u think ni nini kitatokea..lets wait n see.

Sunday, June 9, 2013

BBATheChase: Victoria Kimani wa Kenya Kushusha Show Kali Jumapili ya leo.

 
Set to sizzle the Big Brother Africa Live Show stage this Sunday is none other than Kenyan popstar Victoria Kimani.

Her performance comes hot on the heels of her nomination as the Most Promising Female Act at the 2013 Nigeria Entertainment Awards, taking place in New York city later this year.


The young Kenyan lass has been burning up the African music charts with her singles "Mtoto" and “Oya”. The latter was just recently released and features her fellow Chocolate City label-mate MI Abaga.


The ever busy singer/songwriter splits her time between Kenya, Nigeria, Los Angeles and Atlanta. Her impressive résumé includes collaborations with international artists such as Busta Rhymes, Marlon Winans, Chris Brown, Cassie, A.I (from Japan), DJ Green Lantern and Diggy Simmons among others.

Catch the Live Show this Sunday on DStv channels 197 and 198 at 20:00 CAT.

Monday, May 27, 2013

WASHIRIKI WA BIG BROTHER 2013 (THE CHASE)

Ghana - Selly.
Angola  - Biguesas.
Botswana - Motamma.

Fedha Kessy na Nando waiwakilisha Tanzania kwenye Shindano la Big Brother-The Chase 2013.

IMG_0156
 Pichani  juu na chini ni Kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini likitoa burudani wakati wa uzinduzi wa show ya Big Brother-The Chase iliyorushwa Live na Channel za DStv 197 na 198 jijini Johannesburg usiku huu. Shindano la Big Brother-The Chase limedhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel.
IMG_0154
IMG_0182
MC wa shindano la Big Brother The Chase IK akisherehesha wakati wa uzinduzi huo.
IMG_0140
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali za Afrika kushuhudia Live uzinduzi huo.
IMG_0209
Mwakilishi kutoka Tanzania Nando akihojiwa na Mtangazaji wa  kipindi hicho Ik wakati wa uzinduzi wa show hiyo.Kushoto patna wa Nando Mshiriki kutoka Namibia Cleo.
IMG_0226
Mwakilishi wa Tanzania Fedha Kessy akiwasalimu  mashabiki wake kwa kuwapungia bendera ya Tanzania. Kulia ni mtangazaji wa Shindano la Big Brother The Chase 2013 Ik.

Sunday, February 3, 2013

WEMA SEPETU ACHUKUA FORM YA KUSHIRIKI BIG BROTHER AFRICA

Taarifa kutoka ofisi za DSTV jijini Dar es Salaam zinadai kuwa aliyekuwa Miss Tanzania mwaka 2006 na muigizaji wa filamu Wema Sepetu alikuwa katika ofisi hizo kuchukua fomu za kushiriki shindano la Big Brother Africa mwaka huu.
Wema ni miongoni mwa mastaa nchini wanaopendekezwa zaidi kuiwakilisha Tanzania mwaka huu. Mwingine anayependekezwa zaidi ni Khaleed Mohamed aka TID.

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate