Wiki moja baada ya washiriki Lillian kutoka Nigeria, Esther kutoka Uganda na Sabina kutoka Kenya kutolewa kwenye mjengo huo, Mtanzania Laveda aliyekuwa na mahusiano ya karibu na Permithias pamoja na Mkenya Alusa wamekutana na ‘rungu’ la kura lililowatupa nje ya jumba hilo.
Showing posts with label Big Brother Africa. Show all posts
Showing posts with label Big Brother Africa. Show all posts
Monday, October 27, 2014
MTANZANIA ATOLEWA BIG BROTHER
Wiki moja baada ya washiriki Lillian kutoka Nigeria, Esther kutoka Uganda na Sabina kutoka Kenya kutolewa kwenye mjengo huo, Mtanzania Laveda aliyekuwa na mahusiano ya karibu na Permithias pamoja na Mkenya Alusa wamekutana na ‘rungu’ la kura lililowatupa nje ya jumba hilo.
Monday, August 26, 2013
Congratulations to Delicious Dillish from Namibian the winner of Big Brother grand prize 2013/2014.
After expressing her desires to be the first
woman to win the Big Brother grand prize since Zambia's Cherise did so
seven seasons ago, Dillish has done it for all of Africa's women!
The gorgeous Namibian started her Chase race as the proverbial underdog and was labeled everything from lazy, to a pampered princess.
As the Chase rolled on however, Dillish quickly emerged as a very
strong contender for the Chase title and won her fellow Housemates and
Africa over, with her quirky, accented alter ego, aptly titled Princess Dillish.
The Namibian made sure to stay away from trouble and coasted through the Chase by taking her place behind the scenes. While her fellow Housemates got themselves into hot water, fighting and gossiping their way to what they hoped was the top of the mountain, Dillish remained grounded and maintained cordial relations with her fellow Housemates.
The Namibian made sure to stay away from trouble and coasted through the Chase by taking her place behind the scenes. While her fellow Housemates got themselves into hot water, fighting and gossiping their way to what they hoped was the top of the mountain, Dillish remained grounded and maintained cordial relations with her fellow Housemates.
Thursday, August 15, 2013
HATIMAYE FEZA KESSY ATUA BONGO KUTOKA BBA,TAZAMA PICHA ZA MAPOKEZI YAKE HAPA
Mshiriki wa Big brother the Chase Feza Kessy amefika Tanzania leo usiku saa moja akitokea South Africa. Airport kulikuwa na mama yake mzazi,kaka yake,mwanae,team ya Multi choice ikiongozwa na Barbara pamoja na mashabiki wengi. Hizi ni baadhi ya picha jinsi ilivyokuwa, picha nyingine na video zinakujia hivi karibuni.
Monday, August 12, 2013
FEZA KESSY AONDOLEWA KATIKA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRCA.

Mtanzania FEZA KESSY aliyekuwa akituwakilisha katika shindano la Big Brother Africa ameondolewa rasmi usiku wa kuamkia leo. Feza amekuwa mtu wa 20 kutolewa ndani ya jumba la BBA The case.
Na siku ya jana ameweza kudhibitisha kuwa kweli anampenda Onel baada ya kuchapwa swali na IK , Unampenda Onel? na kujibu Ndiyo bila ya kupepesa mdomo na kujiamini.
Kwa sasa Tanzania hatuna mwakilishi tena ndani ya jumba hilo.
Na siku ya jana ameweza kudhibitisha kuwa kweli anampenda Onel baada ya kuchapwa swali na IK , Unampenda Onel? na kujibu Ndiyo bila ya kupepesa mdomo na kujiamini.
Kwa sasa Tanzania hatuna mwakilishi tena ndani ya jumba hilo.
Sunday, August 11, 2013
MTANZANIA FEZA KESSY ATOLEWA KATIKA JUMBA LA BBA
Tanzanian Housemate Feza has become the 20th Housemate to be booted out of The Chase.
As soon as Live Show Presenter IK made the announcment, she hugged her fellow Chasemates. She walked out of the House as they cheered her on. When she stepped on stage, IK jumped into the big question, "Do you love Oneal?" She answered: "Yes I do," without hesitation. She also shared that there is still an element of distrust between them. IK also asked her about Oneal's initial attraction to Cleo. "I will let that slide because I wasn't there," she replied.
Over the past eleven weeks she has established herself as one of the most polarising Housemates in the Big Brother House. You either love her or you hate her; there is no in between when it comes to Feza. But today her journey in The Chase has come to an abrupt end.
As soon as Live Show Presenter IK made the announcment, she hugged her fellow Chasemates. She walked out of the House as they cheered her on. When she stepped on stage, IK jumped into the big question, "Do you love Oneal?" She answered: "Yes I do," without hesitation. She also shared that there is still an element of distrust between them. IK also asked her about Oneal's initial attraction to Cleo. "I will let that slide because I wasn't there," she replied.
Over the past eleven weeks she has established herself as one of the most polarising Housemates in the Big Brother House. You either love her or you hate her; there is no in between when it comes to Feza. But today her journey in The Chase has come to an abrupt end.
Monday, August 5, 2013
FEZA APONEA CHUPUCHUPU KUTOKA KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER THE CHASE, ONEL OUT

Homa
iliyokuwa ikiwakabili watanzania kwamba huenda muwakilishi pekee kutoka
Tanzania, Feza Kessy siku zake zimeisha kutoka kwenye jumba la Big
Brother imepata tiba usiku wa kuamkia leo ambapo muwakilishi huyo, amebaki bali
mpenzi wake Oneal kutoka Botswana, ndio ametoka.
Wednesday, July 31, 2013
Selly afurahia Nando kutimulia BBA.
Aliyekuwa mshiriki kutoka Ghana Selly ambaye alitoka wiki kadhaa
zilizopita Selly, ameonyesha jinsi gani alivyoshukuru na kufurahi baada
ya kuona Nando kawa disqualified katika jumba la BBA. Muda mfupi baada
ya Nando kupewa amri ya kuondoka katika jumba hilo kwa kuvunja
masharti,kupitia twitter account yake Selly aliandika..
Selly na Nando wameshawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi katika jumba la BBA kabla ya Nando kumbwaga mawanadada huyo.Pia iliwahi kuripotiwa kuwa Selly kamuambukiza Nando gonjwa la zinaa.Inaelekea Selly ana hasira na Nando japo alishawahi kukiri kuwa anamzimia sana.
![]() |
| Selly |
Monday, July 29, 2013
MSHIRIKI WA TANZANIA (NANDO ) ATIMULIWA BIG BROTHER BAADA YA KUGOMBANA NA MSHIRIKI MWENZAKE.
Tanzania's Nando has been Disqualified from the Big Brother House.
After tonight's Evictions that saw Annabel and Sulu being given the boot, Big Brother then gathered all of the Housemates in the living room.
Today Big Brother reproached Nando for the fight that he had with Elikem on Friday. The heated face-off with Elikem saw the two fellas exchanging fiery words between them. Nando is the one that instigated the fight. Instigation and provocation is a violation of the Big Brother rules.
"Any Housemate who becomes physically violent will be removed from the House immediately. Violence can refer to self-inflicted violence, or violence towards another. Violence includes provocation, goading, bullying and victimisation," said Biggie.
This season Big Brother has imposed a Three Strike Rule, which will be applicable to Housemates who commit serious infringements. For this fight Nando received his second Strike and Elikem was served with his first Strike. Afterwards the Tanzanian was called into the Diary Room. He was given his third Strike for making threats against Elikem's life, saying: "I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die".
After tonight's Evictions that saw Annabel and Sulu being given the boot, Big Brother then gathered all of the Housemates in the living room.
Today Big Brother reproached Nando for the fight that he had with Elikem on Friday. The heated face-off with Elikem saw the two fellas exchanging fiery words between them. Nando is the one that instigated the fight. Instigation and provocation is a violation of the Big Brother rules.
"Any Housemate who becomes physically violent will be removed from the House immediately. Violence can refer to self-inflicted violence, or violence towards another. Violence includes provocation, goading, bullying and victimisation," said Biggie.
This season Big Brother has imposed a Three Strike Rule, which will be applicable to Housemates who commit serious infringements. For this fight Nando received his second Strike and Elikem was served with his first Strike. Afterwards the Tanzanian was called into the Diary Room. He was given his third Strike for making threats against Elikem's life, saying: "I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die".
Monday, July 22, 2013
Kutoka BBA:Hatimaye Pokello aaga shindano.
Baada ya kuwa nominated mara nyingi katika jumba la Big brother hatimaye
mwanadada mrembo raia wa Zimbambwe jana ameaga rasmi shindano hilo
jana.Bassey kutoka Siera Lione naye aliungana na Pokelo na kufanya
Zimbambwe na Siera Lione kuaga rasmi shindano hilo.
Kama utakumbuka Hakeem kutoka Zimbamwe na Bolt wa Siera Lione
walishaondoka siku za nyuma. ina maana zimebaki nchi tatu zenye
washiriki waliokamilika Tanzania (Nando & Feza), Zambia (Sulu &
Cleo) na Nigeria (Melvin & Beverly) nchi zilizobaki Botswana,Namibia
na Afrika kusini kuna mshiriki mmoja mmoja tu.
Nani ataibuka na kitita na kuibuka kidedea? Tuzidi kuwapigia kura washiriki wetu Feza na Nando waendelee kubaki mjengoni.
Nani ataibuka na kitita na kuibuka kidedea? Tuzidi kuwapigia kura washiriki wetu Feza na Nando waendelee kubaki mjengoni.
Monday, July 15, 2013
Kutoka Big BBA Malawi waaga shindano
Jana ulikuwa ni usiku mwingine tena ambao ni wa huzuni baada ya
washiriki wawili kuaga shindano la Big Brother The chase. Baada ya
kudumu kwa wiki saba mwanadada Selly kutoka Ghana na Natasha kutoka
Malawi jana waliaga rasmi shindano na kufanya Malawi kutokuwa na
mshiriki tena baada ya wiki iliyopia Mmalawi mwingine Fatima kutoka.
![]() | |
| Selly |
![]() |
| Natasha |
Wiki iliyopita washiriki kutoka Tanzania walikuwa salama na leo kama
kawaida nomination zinaendelea na ikifika usiku majina ya wataokuwa
nominated yatatangazwa.
Sunday, July 14, 2013
MTANZANIA MWENZETU YAMEMKUTA BBA,NANDO AAMBUKIZWA GONJWA LA ZINAA.
Akiongea kwa uchungu na huzuni mbele ya Bimp,Nando ambaye ni Mshiriki wa Tanzania amemlaani mshiriki wa Ghana kwa kumwambukiza GONJWA LA ZINAA...
Nando amelinyaka gonjwa la zinaa maarufu kwa jina la "Chlamydia" na hivi sasa yuko katika dozi.Gonjwa hilo amelinasa baada ya kungonoka na SELLY bila KONDOMU.....
Monday, July 8, 2013
NANDO APONA KTOKA BIGBROTHER,HAKEEM NA FATIMA WAYAAGA MASHINDANO.
Hakeem kutokea nchini Zimbabwe nae ameyaaga mashindano usiku wa kuamkia leo
huku akiwa haamini kabisa kile kilichotokea kutokana na utani aliokuwa
akiwatania wenzake kwamba wanatoka.Na cha zaidi amemuacha mchumba
wake CLEO katika wakat wa majonzi.

Mwanadada Fatima kutoka Malawi ndiye aliyekuwa wa kwanza kuaga mashindano ya BBA usiku wa kuamkia leo.Mshiriki mwenzake kutoka Malawi Natasha hakuamini kilichotea na kuanza kulia huku Fatima akimwambia Natasha "No drama, no drama. It's not about you, chill out "kasha akaagana na wenziwe na kutoka nje ya jumba la BBA.
Mwanadada Fatima kutoka Malawi ndiye aliyekuwa wa kwanza kuaga mashindano ya BBA usiku wa kuamkia leo.Mshiriki mwenzake kutoka Malawi Natasha hakuamini kilichotea na kuanza kulia huku Fatima akimwambia Natasha "No drama, no drama. It's not about you, chill out "kasha akaagana na wenziwe na kutoka nje ya jumba la BBA.
Monday, June 24, 2013
KUTOKA BIG BROTHER:TANZANIA YAENDELEA KUTAMBA,NANDO AONGOZA KWA KURA ZA KUBAKI
Ndani ya jumba la BBA baada ya Nando mshiliki wa Tanzania aliyeingia
kura nyingi za kubaki mjengoni,nainavyoonekana
washiriki wanaoiwakilisha Tanzania wanawashabiki
wengi toka nchi tofauti Afrika kwani kwa chati
inayoonesha jinsi kura zilivyopigwa inaonesha Nando
kapigiwa kura za kubaki kutoka nchi ya Tanzania,Uganda ,Nigeria kenya na
Namibia..ikumbukwe mwakilishi mwingine toka Tanzania,Feza kessy nae alipigiwa
kura nyingi za kubaki kutoka nchi tofauti
tofauti zikiwemo Sierra leon na Ghana..kuendelea kubaki
kwa watanzania hao kunazidi kutoa matumain ya huenda
mwaka huu ukawa nin wetu..who knows??pengine
historia ya Tanzania kufanya vizuri on BBA ikajirudia kikubwa
tuendelee kutoa sapoti kwa wawakilishi wetu kwa kupiga kura mara
tu waingiapo kikaangaoni..Mungu ibariki Tanzania..
Monday, June 10, 2013
BIG BROTHER:UGANDA WAAGA RASMI, WAKENYA WAMTOSA FEZA,AOKOLEWA NA KURA ZA WAGANA,SIERRA LEON NA WATANZANIA.
Usiku wa jana ulikuwa ni usiku wa huzuni kwa wenzetu
waganda baada ya mshiriki pekee aliyekuwa amebaki
naye kuyaaga mashindano lakini ilikuwa ni siku ya
hatarini kutoka kutoka na badala yake votes zimemuokoa
na ataendelea kuwemo mjengoni pamoja na mtanzania
mwingine Nando, na nchi zilizopiga kura,tungetegemea
majirani zetu Uganda na Kenya kuvote kwa Feza
lakini ilikuwa kinyume,ni Tanzania na nchi za west africa,Ghana &Sierra leon
kitu kilicholeta mtafaruku mkubwa on social networks,na
zamu hii Mwakilish wa
kenya yuko on danger,do u think ni nini kitatokea..lets wait n see.
Sunday, June 9, 2013
BBATheChase: Victoria Kimani wa Kenya Kushusha Show Kali Jumapili ya leo.
Set to sizzle the Big Brother Africa Live Show stage this Sunday is none other than Kenyan popstar Victoria Kimani.
Her performance comes
hot on the heels of her nomination as the Most Promising Female Act at
the 2013 Nigeria Entertainment Awards, taking place in New York city
later this year.

The young Kenyan lass
has been burning up the African music charts with her singles "Mtoto"
and “Oya”. The latter was just recently released and features her fellow
Chocolate City label-mate MI Abaga.
The ever busy
singer/songwriter splits her time between Kenya, Nigeria, Los Angeles
and Atlanta. Her impressive résumé includes collaborations with
international artists such as Busta Rhymes, Marlon Winans, Chris Brown,
Cassie, A.I (from Japan), DJ Green Lantern and Diggy Simmons among
others.
Catch the Live Show this Sunday on DStv channels 197 and 198 at 20:00 CAT.
Monday, May 27, 2013
Fedha Kessy na Nando waiwakilisha Tanzania kwenye Shindano la Big Brother-The Chase 2013.
Pichani juu na chini ni Kundi
la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini likitoa burudani wakati wa
uzinduzi wa show ya Big Brother-The Chase iliyorushwa Live na Channel
za DStv 197 na 198 jijini Johannesburg usiku huu. Shindano la Big
Brother-The Chase limedhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel.
MC wa shindano la Big Brother The Chase IK akisherehesha wakati wa uzinduzi huo.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali za Afrika kushuhudia Live uzinduzi huo.
Mwakilishi
kutoka Tanzania Nando akihojiwa na Mtangazaji wa kipindi hicho Ik
wakati wa uzinduzi wa show hiyo.Kushoto patna wa Nando Mshiriki kutoka
Namibia Cleo.
Mwakilishi
wa Tanzania Fedha Kessy akiwasalimu mashabiki wake kwa kuwapungia
bendera ya Tanzania. Kulia ni mtangazaji wa Shindano la Big Brother The
Chase 2013 Ik.
Sunday, May 26, 2013
Sunday, February 3, 2013
WEMA SEPETU ACHUKUA FORM YA KUSHIRIKI BIG BROTHER AFRICA
Taarifa kutoka ofisi za DSTV jijini Dar es Salaam zinadai kuwa
aliyekuwa Miss Tanzania mwaka 2006 na muigizaji wa filamu Wema Sepetu
alikuwa katika ofisi hizo kuchukua fomu za kushiriki shindano la Big
Brother Africa mwaka huu.
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe






