MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lucy Komba ambaye
hivi karibuni alifunga ndoa na Janus Stanley, raia wa Denmark, amesema
kuwa ameamua kunyoa rasta zake alizozifuga kwa muda mrefu kwa kile
alichodai matakwa ya ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu, Lucy alisema kuwa ameamua kunyoa
nywele zake hizo kwa kuwa anaona ni mke wa mtu anatakiwa kubadilika na
kuwa tofauti kidogo na alivyokuwa huko nyuma.
“Unajua lazima kuwe na tofauti kidogo, zamani na sasa, hivyo nimeamua kunyoa kuleta utofauti,” alisema Lucy.
Showing posts with label Lucy Francis Komba. Show all posts
Showing posts with label Lucy Francis Komba. Show all posts
Monday, February 16, 2015
Friday, August 9, 2013
LUCY KOMBA, ROSE NDAUKA WAMNUNIA MONA, KISA...
MASTAA wa filamu Bongo, Lucy Komba na Rose Ndauka wanadaiwa kumchunia
msanii mwenzao, Yvonne Cheryl ‘Monalisa’ kisa kikitajwa kuwa ni
Prodyuza Mghana aitwaye Prince.
Chanzo chetu cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai
kuwa, awali Mona na Prince walikuwa washikaji na baadaye Mona
akamtambulisha Lucy kwa jamaa huyo, hapo ndipo tatizo lilipoanzia.
“Lucy alipojuana na Prince, akamchukua Rose kisha wote watatu
wakaenda Ghana eti kushuti filamu. Wakiwa huko sijui walimwaga sumu gani
na hapo ndipo uhusiano wa Mona na Prince ulipoanza kufifia.
“Mona akashangaa ila akapotezea na hata Lucy na Rose waliporudi
hawakuwa wakimchangamkia mwenzao, wakaanza kumchunia mpaka sasa,”
kilidai chanzo hicho.
Baada ya kuzipata nyeti hizo, mwandishi wetu alimtafuta Mona ambaye
alipopatikana alikiri kuwepo kwa ‘mnuno’ kutoka kwa wasanii wenzake hao,
akasema chanzo ni Prince.
“Niliamua kuachana na Prince kwa kuwa niliona ana tamaa na wasanii na
nashangaa Rose na Lucy nao wanavyonichunia, ingawa kiukweli sikupenda
kabisa kuongelea suala hili kwani sipendi shari,” alisema Mona.
Rose alipoulizwa alikuja juu na kudai hajawahi kuwa na ukaribu na Mona. Lucy hakuweza kupatikana kufungukia madai hayo.
Credit:GLP
Friday, July 26, 2013
NDIKUMANA, LUCY KOMBA LAIVU.
LILE sakata la staa wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya kutuhumu
kumshika ugoni staa mwenzake aliyemtoa kwenye gemu, Lucy Francis Komba
limeingia sura nyingine kuafutia picha za filamu inayodaiwa kuchezwa na
wawili hao kunaswa na Ijumaa, twende hatua kwa hatua.
Katika
baadhi ya matoleo ya Magazeti ya Global Publishers zilichapishwa habari
za mastaa hao kuzua bifu zito kufuatia Lucy kumchukua mwanasoka wa
Rwanda ambaye ni mume wa ndoa wa Uwoya, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ na
kucheza naye filamu jambo ambalo Uwoya alilipinga.
Wednesday, July 24, 2013
UWOYA... AMSHIKA UGONI LUCY KOMBA.
NYOTA wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krrish’ ametoa
kali ya mwaka baada ya kudai kwamba amemshika ugoni msanii mwenzake,
Lucy Komba mara baada ya kuziona picha za msanii huyo akiwa na mumewe,
Hamad Ndikumana ‘Kataut’ wakiigiza filamu.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kutokea
nchini Swaziland, Uwoya amepinga vikali utetezi unaosemwa kwamba Lucy na
Kataut walikuwa wakishuti filamu na anaamini kuwa msanii huyo ameamua
kumzunguka na kutaka kuibomoa ndoa yake.
Tuesday, July 23, 2013
Lucy Komba afanya Filamu na Mume wa Irene Uwoya. Inatokana na kisa cha kweli.
Mwigizaji aliyeibua vipaji vingi sana hapa nchini Lucy Komba,
ameigiza Filamu yake mpya na mume wa mwigizaji mwenzake Irene Uwoya
Hamad Ndikumana maarufu kama Katauti.
Katika habari iliyopo kwenye ukurasa wake wa facebook mwanadada
huyo ametoa picha ya cover la Filamu hiyo yake mpya iliyopewa jina la
“Kwanini nisimuoe”
Filama hiyo ambayo imetengenezwa kutokana na kisa cha kweli inatarajiwa kutoka hivi karibuni.
Akiizungumzia Filamu hiyo Lucy amesema kuwa itakuwa ya tofauti kidogo kwani kipaji cha Hamad katauti ni ca aina yake.
Credit:Bongo Movie
Sunday, June 9, 2013
Msanii bongo movie aliyeanza kucheza filamu Ulaya - Lucy Francis Komba.
Lucy Francis
Komba (amezaliwa tar. 24 Oktoba, 1980) ni mwigizaji wa filamu,
mwongozaji na mtayarishaji kutoka nchini Tanzania. Huenda akawa
anafahamika zaidi kwa kutayarisha filamu ya Yolanda 1-2 na Utata. Lucy
pia ni mmoja kati ya waliokuwa waigizaji wa kundi la sanaa la Kaole
Sanaa Group.
Maisha ya awali
Maisha ya awali
Lucy Francis Komba alizaliwa mnamo tarehe 24 Oktoba ya mwaka wa 1980, katika Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Alipata elimu yake ya awali (chekechea) katika shule ya St. Peters Nusery School na msingi alisoma katika shule ya Oysterbay Primary School. Elimu ya sekondari alisoma Moshi katika mkoa wa Kilimanjaro, kwa kidato cha 1 - 4 na 5 - 6 alisoma katika shule ya Kibosho Secondary School.
Kwa elimu ya vyuo, alisoma katika Chuo cha Utumishi wa Serikali na alisomea maswala ya IT (Information Technology) na alipata Diploma katika elimu hiyo.
Sanaa ya awali
Alipata elimu yake ya awali (chekechea) katika shule ya St. Peters Nusery School na msingi alisoma katika shule ya Oysterbay Primary School. Elimu ya sekondari alisoma Moshi katika mkoa wa Kilimanjaro, kwa kidato cha 1 - 4 na 5 - 6 alisoma katika shule ya Kibosho Secondary School.
Kwa elimu ya vyuo, alisoma katika Chuo cha Utumishi wa Serikali na alisomea maswala ya IT (Information Technology) na alipata Diploma katika elimu hiyo.
Sanaa ya awali
Lucy Komba alianza maswala ya sanaa katika
kundi la sanaa la Fukuto Arts Professional. Akiwa huko alishiriki katika
baadhi ya mifululizo ya vipindi vya televisheni kama vile "Valentine
Day" na "Rangi ya Chungwa".
Baada ya hapo akaelekea zake katika kikundi cha Dar Talent, akiwa huko alipata kushiriki katika filamu moja ya vichekesho. Baada ya hapo alilekea zake katika kikundi cha sanaa cha Kaole Sanaa Group, akiwa huko alipata kushiriki katika mifululizo minne ya vipindi vya televisheni (tamthilia).
[hariri]Kazi binafsi
Baada ya hapo akaelekea zake katika kikundi cha Dar Talent, akiwa huko alipata kushiriki katika filamu moja ya vichekesho. Baada ya hapo alilekea zake katika kikundi cha sanaa cha Kaole Sanaa Group, akiwa huko alipata kushiriki katika mifululizo minne ya vipindi vya televisheni (tamthilia).
[hariri]Kazi binafsi
Baada
ya kushiriki katika shughuli mbalimbali za uigizaji, Lucy akaamua
kufanya kazi zake mwenyewe, yaani kutayarisha, kutunga, kuongoza inakuwa
chini yake.
Akiwa anamiliki kazi zake mwenyewe, Lucy alianza kutayarisha filamu ya kwanza kabisa ni ile ya "Utata na ya pili ni "Yolanda" sehemu ya kwanza na ya pili, Vice Versa na Ama Zako Ama Zangu. Mbali na kucheza filamu zake, Lucy pia ameshiriki katika baadhi ya filamu nyingi tu za Tanzania.
Akiwa anamiliki kazi zake mwenyewe, Lucy alianza kutayarisha filamu ya kwanza kabisa ni ile ya "Utata na ya pili ni "Yolanda" sehemu ya kwanza na ya pili, Vice Versa na Ama Zako Ama Zangu. Mbali na kucheza filamu zake, Lucy pia ameshiriki katika baadhi ya filamu nyingi tu za Tanzania.
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe




