EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA
Showing posts with label Lucy Francis Komba. Show all posts
Showing posts with label Lucy Francis Komba. Show all posts

Monday, February 16, 2015

LUCY KOMBA ANYOA RASTA KISA NDOA

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lucy Komba ambaye hivi karibuni alifunga ndoa na Janus Stanley, raia wa Denmark, amesema kuwa ameamua kunyoa rasta zake alizozifuga kwa muda mrefu kwa kile alichodai matakwa ya ndoa.
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lucy Komba.
Akizungumza na mwandishi wetu, Lucy alisema kuwa ameamua kunyoa nywele zake hizo kwa kuwa anaona ni mke wa mtu anatakiwa kubadilika na kuwa tofauti kidogo na alivyokuwa huko nyuma.
“Unajua lazima kuwe na tofauti kidogo, zamani na sasa, hivyo nimeamua kunyoa kuleta utofauti,” alisema Lucy.

Friday, August 9, 2013

LUCY KOMBA, ROSE NDAUKA WAMNUNIA MONA, KISA...

MASTAA wa filamu Bongo, Lucy Komba na Rose Ndauka wanadaiwa kumchunia msanii mwenzao, Yvonne Cheryl ‘Monalisa’ kisa kikitajwa kuwa ni Prodyuza Mghana aitwaye Prince.
Lucy Komba.
Chanzo chetu cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, awali Mona na Prince walikuwa washikaji na baadaye Mona akamtambulisha Lucy kwa jamaa huyo, hapo ndipo tatizo lilipoanzia.

“Lucy alipojuana na Prince, akamchukua Rose kisha wote watatu wakaenda Ghana eti kushuti filamu. Wakiwa huko sijui walimwaga sumu gani na hapo ndipo uhusiano wa Mona na Prince ulipoanza kufifia.

“Mona akashangaa ila akapotezea na hata Lucy na Rose waliporudi hawakuwa wakimchangamkia mwenzao, wakaanza kumchunia mpaka sasa,” kilidai chanzo hicho.
Baada ya kuzipata nyeti hizo, mwandishi wetu alimtafuta Mona ambaye alipopatikana alikiri kuwepo kwa ‘mnuno’ kutoka kwa wasanii wenzake hao, akasema chanzo ni Prince.  

“Niliamua kuachana na Prince kwa kuwa niliona ana tamaa na wasanii na nashangaa Rose na Lucy nao wanavyonichunia, ingawa kiukweli sikupenda kabisa kuongelea suala hili kwani sipendi shari,” alisema Mona.

Rose alipoulizwa alikuja juu na kudai hajawahi kuwa na ukaribu na Mona. Lucy hakuweza kupatikana kufungukia madai hayo.
Credit:GLP

Friday, July 26, 2013

NDIKUMANA, LUCY KOMBA LAIVU.

LILE sakata la staa wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya kutuhumu kumshika ugoni staa mwenzake aliyemtoa kwenye gemu, Lucy Francis Komba limeingia sura nyingine kuafutia picha za filamu inayodaiwa kuchezwa na wawili hao kunaswa na Ijumaa, twende hatua kwa hatua.
Katika baadhi ya matoleo ya Magazeti ya Global Publishers zilichapishwa habari za mastaa hao kuzua bifu zito kufuatia Lucy kumchukua mwanasoka wa Rwanda ambaye ni mume wa ndoa wa Uwoya, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ na kucheza naye filamu jambo ambalo Uwoya alilipinga.

Wednesday, July 24, 2013

UWOYA... AMSHIKA UGONI LUCY KOMBA.

NYOTA wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krrish’ ametoa kali ya mwaka baada ya kudai kwamba amemshika ugoni msanii mwenzake, Lucy Komba mara baada ya kuziona picha za msanii huyo akiwa na mumewe, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ wakiigiza filamu.
Lucy Komba anayedaiwa kushikwa ugoni na Irene Uwoya.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kutokea nchini Swaziland, Uwoya amepinga vikali utetezi unaosemwa kwamba Lucy na Kataut walikuwa wakishuti filamu na anaamini kuwa msanii huyo ameamua kumzunguka na kutaka kuibomoa ndoa yake.

Tuesday, July 23, 2013

Lucy Komba afanya Filamu na Mume wa Irene Uwoya. Inatokana na kisa cha kweli.

Mwigizaji aliyeibua vipaji vingi sana hapa nchini Lucy Komba, ameigiza Filamu yake mpya na mume wa mwigizaji mwenzake Irene Uwoya Hamad Ndikumana maarufu kama Katauti.

 Lucy Komba

Katika habari iliyopo kwenye ukurasa wake wa facebook mwanadada huyo ametoa picha ya cover la Filamu hiyo yake mpya iliyopewa jina la “Kwanini nisimuoe”
                          
Filama hiyo ambayo imetengenezwa kutokana na kisa cha kweli inatarajiwa kutoka hivi karibuni.

Akiizungumzia Filamu hiyo Lucy amesema kuwa itakuwa ya tofauti kidogo kwani kipaji cha Hamad katauti ni ca aina yake. 
Credit:Bongo Movie    

Sunday, June 9, 2013

Msanii bongo movie aliyeanza kucheza filamu Ulaya - Lucy Francis Komba.

Lucy Francis Komba (amezaliwa tar. 24 Oktoba, 1980) ni mwigizaji wa filamu, mwongozaji na mtayarishaji kutoka nchini Tanzania. Huenda akawa anafahamika zaidi kwa kutayarisha filamu ya Yolanda 1-2 na Utata. Lucy pia ni mmoja kati ya waliokuwa waigizaji wa kundi la sanaa la Kaole Sanaa Group.
Maisha ya awali
 

Lucy Francis Komba alizaliwa mnamo tarehe 24 Oktoba ya mwaka wa 1980, katika Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Alipata elimu yake ya awali (chekechea) katika shule ya St. Peters Nusery School na msingi alisoma katika shule ya Oysterbay Primary School. Elimu ya sekondari alisoma Moshi katika mkoa wa Kilimanjaro, kwa kidato cha 1 - 4 na 5 - 6 alisoma katika shule ya Kibosho Secondary School.
Kwa elimu ya vyuo, alisoma katika Chuo cha Utumishi wa Serikali na alisomea maswala ya IT (Information Technology) na alipata Diploma katika elimu hiyo.
Sanaa ya awali
 
Lucy Komba alianza maswala ya sanaa katika kundi la sanaa la Fukuto Arts Professional. Akiwa huko alishiriki katika baadhi ya mifululizo ya vipindi vya televisheni kama vile "Valentine Day" na "Rangi ya Chungwa".
Baada ya hapo akaelekea zake katika kikundi cha Dar Talent, akiwa huko alipata kushiriki katika filamu moja ya vichekesho. Baada ya hapo alilekea zake katika kikundi cha sanaa cha Kaole Sanaa Group, akiwa huko alipata kushiriki katika mifululizo minne ya vipindi vya televisheni (tamthilia).
[hariri]Kazi binafsi
 
Baada ya kushiriki katika shughuli mbalimbali za uigizaji, Lucy akaamua kufanya kazi zake mwenyewe, yaani kutayarisha, kutunga, kuongoza inakuwa chini yake.
Akiwa anamiliki kazi zake mwenyewe, Lucy alianza kutayarisha filamu ya kwanza kabisa ni ile ya "Utata na ya pili ni "Yolanda" sehemu ya kwanza na ya pili, Vice Versa na Ama Zako Ama Zangu. Mbali na kucheza filamu zake, Lucy pia ameshiriki katika baadhi ya filamu nyingi tu za Tanzania.

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate