EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA
Showing posts with label Irene Uyoya. Show all posts
Showing posts with label Irene Uyoya. Show all posts

Tuesday, March 24, 2015

Irene Uwoya: Chipukizi Njooni Muigize Nami

 Irene Uwoya: Chipukizi Njooni Muigize Nami

Staa na mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya, amewataka wasanii chipukizi wenye ndoto ya kuigiza naye katika filamu yake mpya wawasiliane naye ili awajumuishe katika filamu hiyo.
Uwoya alitoa fursa hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo alisema, anafanya hivyo ili kunyanyua wasanii chipukizi wanaokosa nafasi za kuigiza na mastaa licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa uigizaji.
“Najiandaa kwa ajili ya kazi yangu mpya na natumaini itakuwa nzuri kwani hatua niliyofikia ni kutoa nafasi kwa chipukizi kushiriki filamu hiyo kwa kuwa ni jambo la busara,” alieleza Irene.
Irene ambaye amejijengea umaarufu mkubwa kupitia filamu yake ya ‘Oprah’, aliyoigiza na Kanumba ambaye ni marehemu kwa sasa, ametamba kuendelea kuibua vipaji vipya zaidi vya wasanii wa filamu.

Friday, August 1, 2014

DIAMOND: SITAOA KAMWE, WEMA ANA CHAKE

CHANZO NI GLOBAL PUBLISHERS
Kutoka moyoni? Wakati bimkubwa Wema Isaac Sepetu akijiaminisha na kuhisi kuwa amepata mume ambaye ni baba bora, mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefunguka kuwa kamwe hafikirii kuoa, Ijumaa lina cha kukuhabarisha.
Wema Isaac Sepetu akiwa kwenye pozi la kimahaba na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
Kauli hiyo ya Diamond inakuja wiki kadhaa baada ya Wema kuonekana na pete ya ndoa kidoleni kisha kukiri kuvishwa na ‘kichaa’ huyo wa Bongo Fleva ambaye amerejea kutoka Marekani alikotwaa Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki zilizokwenda kwa jina la African Muzik Magazine (AFRIMMA) 2014.

Wednesday, October 2, 2013

IRENE UWOYA ATANGAZA RASMI KUACHA KUIGIZA MUVI.

Mwigizaji Irene Uwoya ambae alipata tuzo ya Steps kama mwigizaji bora kike 2012/2013 amethibitisha kuacha kuigiza movie kwa sasa ili kufanya kazi ambayo ameianza hivi karibuni.  

Namkariri akisema: “Nimeamua kuacha mambo ya movie na kuwaachia wengine, haya maamuzi nimeyafanya kama miezi sita iliyopita… Mara ya mwisho kuigiza ni zaidi ya miezi sita iliyopita pia.”
 
Irene ambae ni mama wa mtoto mmoja kwa sasa anafanya show ya TV ya kusaidia Watanzania wanaoishi kwenye nyumba ambazo ni mbovu au hazina mahitaji muhimu yanayotakiwa kwenye nyumba.
 
Ni show ambayo haitahusika kujenga nyumba bali kuzirekebisha kwa gharama za mamilioni kwa kutegemea ubovu wa nyumba yenyewe, ambapo Irene amethibitisha hakuna kiwango cha mwisho cha pesa kama bajeti ya kutengeneza nyumba moja bali lengo ni kukarabati nyumba ikamilike.
 
Movie alizocheza mpaka sasa zinafika 40 lakini za kwake ni nne tu na amekiri kwamba kuacha kwake kuigiza hakuta mshushia kipato chake cha siku zote ambapo kwa movie moja ya kwake mwenyewe alikua anaiuza mpaka kwa milioni 35.

Thursday, September 26, 2013

Friday, September 20, 2013

UWOYA AMEIBA SIMU?! SIYO MTU MZURI, SIYO RAIA MWEMA.

BINAFSI nafahamu kwamba Irene Uwoya aliwahi kuwa staa mkubwa nchini lakini akafanya makosa na sasa ameshuka chati. Ameporomoka kwa kiasi kikubwa sana.
Irene Uwoya.
Elizabeth Michael ‘Lulu’, baada ya ‘ajali’ yake na marehemu Steven Kanumba, alikaa mahabusu kwa zaidi ya mwaka mmoja lakini baada ya kutoka ameonekana kuwa na mafanikio makubwa kuliko Uwoya ambaye siku zote yupo mtaani.
 
Pengine kuna aina fulani ya maisha ambayo Uwoya amejichagulia maana akina Rose Ndauka, Aunt Ezekiel, Wema Sepetu na wengineo wamekuwa wakifanya vizuri, wanamfunika sana. Ameshindwa kujisahihisha, ataendelea kusugua.
 
Najua kwamba Uwoya ana hali mbaya kisanii, amechoka, muonekano wake hausisimui tena, amepoteza mashabiki, kwa maana hiyo hauzi. Dili za kucheza filamu zinaota mbawa kila kukicha, maprodyuza wanataka wakali ambao wanafanya biashara sokoni.
 
Naelewa kuwa hivi sasa katika ulimwengu wa masupastaa, Uwoya amebaki msindikizaji lakini sikuwahi kufikiri kwamba anaweza kufikia hatua mbaya kiasi hicho. Kafikishwa mbaroni kwa wizi wa simu? Yaani wizi wa simu ya mkononi! Anatia huruma.
 
Yamemfika yapi? Sitaki kuamini kama Uwoya anashindwa kununua simu halali. Akili nyingine inaniambia kuwa hawa dada zetu wanaharibiwa na uchu wa kupenda vitu vya juu lakini uwezo ni mdogo. Je, huo wizi wenyewe alifanyaje?
 
Atakapofikishwa mahakamani pengine itajulikana kama kweli amehusika na wizi huo, basi itafahamika ameufanyaje. Ni yeye moja kwa moja au kupitia kwa mtu mwingine? Dunia ina mengi, ni vizuri hili jambo likafika kortini, huko tutajua ukweli halisi.
 
Swali langu ni hili, kama kweli ile simu alinunua kwa nini pale kituoni hakutoa risiti? Hata kama ingekuwa nyumbani, alishindwa nini kuagiza aletewe kuthibitisha kama ni mali yake? Maswali hayo mawili yanaongeza uzani kwenye madai kwamba ile simu ni ya wizi.
 
Ni ya wizi sawa, je, ni kweli Uwoya anaweza kuiba simu? Inawezekana kabisa akatega Kariakoo halafu amvizie mtu na kumchomolea? Maana mashtaka dhidi yake ni Wizi wa Maungoni, yaani wizi wa kumchomolea mtu kitu kutoka mwilini.
 
Kesi ipo Msimbazi Polisi na imeandikwa kwenye kitabu cha ripoti za kumbukumbu (report book ‘RB’) kwa nambari MS/RB/8522/2013. Hata hivyo, simu yenyewe iliyoibwa ina thamani kubwa, nahisi Uwoya aliinunua kwa mtu ambaye ndiye mwizi.
 
Mikono ya Uwoya na vidole vyake vilivyo, haoneshi kama anaweza kuwa mkali wa kuchomolea watu. Hata kama kaishiwa na kupigika, siyo rahisi akafanya hivyo. Sura yake haioneshi ushujaa wa ‘kupiga ndole’ lakini ya Mungu mengi.

Tuesday, August 6, 2013

AUNT EZEKIEL AFUNGA DIMBA LA KUFUTURISHA


 
Irene Uwoya ‘Mama Krrish’ akipata msosi wakati wa futari hiyo.
    Aunt Ezekiel akiongea jamba na marafiki zake wakati wa futari.
  Mcheza filamu mahiri Jacob Steven 'JB' akipata futari.
Yvonne Cherry 'Monalisa' akifurahia jambo wakati wa futari.
Chuchu Hans (kushoto) na Devota Mbaga wakipata msosi.
  
Kajala akiwa na mtoto wake Paula wakipata futari.
Aunt Ezekiel akiwa na marafiki zake.
   Beautiful Onyinye Wema Sepetu akiwa na shosti wake Kajala katika futari hiyo.
    Wema, Kajala na Sajenti katia pozi.
  
Kajala akiwa na Chuchu Hancs muda mfupi kabla ya kufuturu.
 
Kajala akiwa na mtoto wake katika picha ya pozi.
STAA mahiri wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel jana alifunga dimba la kufuturisha kwa mastaa baada ya kuwaalika watu mbalimbali nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kupata futari pamoja. Pichani juu ni baadhi ya taswira wakati wa zoezi hilo.
(PICHA NA IMELDA MTEMA / GPL)

WEMA, UWOYA VITA RUNINGANI

VITA mpya imeibuka ikiwahusisha warembo wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Irene Pancras Uwoya kufuatia kuanzisha vipindi vya runinga kwa mpigo.
Irene Pancras Uwoya.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Utafiti na Masoko wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, katika harakati za vipindi hivyo, alianza Wema kwa kuanzisha ‘aidia’ ya kipindi kipya kiitwacho In My Shoes ambacho kitaanza kuoneshwa kuanzia Alhamisi hii, saa tatu na nusu usiku kupitia Clouds TV.
Wema Isaac Sepetu.
Alisema baada ya Wema kutengeneza kipindi hicho na kupata maoni mengi, Uwoya akajibu mapigo kwa kuanzisha cha kwake kinachoitwa Paradise ambacho kitakwenda hewani Jumanne hii (kesho).
 
“Mashabiki wa Clouds TV watapata kuona vita ya kibiashara, Uwoya atakuwa akionekana katika kipindi hicho ambacho kitakuwa kinahusu upakaji rangi katika nyumba za watu mbalimbali huku Wema naye akikimbiza katika In My Shoes,” alisema Ruge.

Monday, August 5, 2013

Hii ndio Benz mpya anayoendesha mwigizaji Irene Uwoya.

OLYMPUS DIGITAL CAMERA Irene Uwoya ambae ni Mrs Ndikumana akiwa pia ni mama Krish hivi karibuni ameingia kwenye headlines na TV show yake mpya kabisa ambayo itaoneka @CloudsTV jumanne wiki hii, pamoja na hilo right now nakukukutanisha na picha za gari lake jipya ambalo analiendesha kwa sasa.

Ni Mercedes Benz S Class 550 Sedan yenye rangi ya Black metalic ambapo japo gharama imebaki kuwa siri ukicheki kwenye mtandao wa Mercedes Benz US ndinga kama hii ikiwa mpya ina-cost $ 95,000.
Credit : Millardayo.com

OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Saturday, August 3, 2013

JOHARI AVAA PETE YA NDOA, UWOYA AMPONGEZA.

MSANII wa filamu za Bongo, Irene Uwoya amempongeza staa mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kwa kutumbukiza picha kwenye Instagram ikimuonesha amevaa pete ya ndoa kwenye kidole husika.
Uwoya, baada ya kuona picha hiyo akatupia ujumbe wake akisema: Hongera mama kwa kupata mwenzako…maaama h.
 
Wadau mbalimbali nao walimpongeza Johari kwa hatua hiyo huku wengine wakihoji imekuwaje kimyakimya?
 
Maswali na pongezi hizo za wadau zilijibiwa na Johari mwenyewe ambaye aliandika:  ‘Thanx ndo maisha yanachange’ (yaani asante ndiyo maisha yanabadilika).
Alipopigiwa simu juzi na kuulizwa kama amefunga ndoa kwa siri, staa huo alicheka na kusema: “Hakuna kitu kama hicho jamani.”

Wednesday, July 31, 2013

IRENE UWOYA ANAKUJA NA SHOW YAKE YA KUTENGENEZA NA KUKARABATI NYUMBA ITAKAYO RUSHWA CLOUDS TV.

Irene Uwoya anakuja na kipindi chake kipya cha Tv kwa ajili ya kutengeneza na kukarabati nyumba mbalimbali za watu atakazotembelea. Kipindi hicho kitarushwa kupitia Clouds Tv na tayari actress huyo ameanza kushoot kipindi hicho kama anavyoonekana pichani hapo juu. 
Irene Uwoya ni muigizaji mwingine aliyeamua kugeukia vipindi vya Tv pia ukiachilia mbali kuigiza filamu wengine ni Rose Ndauka na Wema Sepetu ambaye show yake kuhusu maisha yake halisi pia kitarushwa Clouds Tv kuanzia mwishoni mwa mwezi wa nane mwaka huu.

Friday, July 26, 2013

Irene Uwoya arejea nchini na salamu toka kwa mswati, hichi ndicho alichokiandika

Mwigizaji Irene Uwoya amerejea nchini toka nchini Swaziland alipokuwa kwa takribani wiki tatu.

Irene Uwoya amerejea na salamu toka nchini Swaziland alizoziandika kupitia ukrasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii alisema…

“Mswat anawasalinmu sana! Nahiv karibun atatinga hapa nakanipa kibali chakufanyya move na ful suport...I wl prove u wrong...try me”

Akimaanisha, amerejea nchini na Mswati amnawasalimia sana na amesema atakuja nchini hivi karibuni na amenipa kibali cha kufanya Filamu na atanisaidia kwa kila kitu. Nijaribu nitakuthibitishia kuwa umekosea (Kwa Kiswahili fasaha).

Wednesday, July 24, 2013

UWOYA... AMSHIKA UGONI LUCY KOMBA.

NYOTA wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krrish’ ametoa kali ya mwaka baada ya kudai kwamba amemshika ugoni msanii mwenzake, Lucy Komba mara baada ya kuziona picha za msanii huyo akiwa na mumewe, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ wakiigiza filamu.
Lucy Komba anayedaiwa kushikwa ugoni na Irene Uwoya.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kutokea nchini Swaziland, Uwoya amepinga vikali utetezi unaosemwa kwamba Lucy na Kataut walikuwa wakishuti filamu na anaamini kuwa msanii huyo ameamua kumzunguka na kutaka kuibomoa ndoa yake.

Tuesday, July 23, 2013

Lucy Komba afanya Filamu na Mume wa Irene Uwoya. Inatokana na kisa cha kweli.

Mwigizaji aliyeibua vipaji vingi sana hapa nchini Lucy Komba, ameigiza Filamu yake mpya na mume wa mwigizaji mwenzake Irene Uwoya Hamad Ndikumana maarufu kama Katauti.

 Lucy Komba

Katika habari iliyopo kwenye ukurasa wake wa facebook mwanadada huyo ametoa picha ya cover la Filamu hiyo yake mpya iliyopewa jina la “Kwanini nisimuoe”
                          
Filama hiyo ambayo imetengenezwa kutokana na kisa cha kweli inatarajiwa kutoka hivi karibuni.

Akiizungumzia Filamu hiyo Lucy amesema kuwa itakuwa ya tofauti kidogo kwani kipaji cha Hamad katauti ni ca aina yake. 
Credit:Bongo Movie    

Friday, July 12, 2013

Maskini Irene Uwoya:Soma hapa alichokiandika, daaah!! skendo na Diamond kulala pamoja.

Kufuatia kuripotiwa kwa habari "kali" sana iliyopewa kichwa "DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!" jana kuhusu mwanadada Irene uwoya na Msanii wa kizazi kipya Diamond platnumz siku ya jana mtandao wa Global publishers,


 Hatimaye Irene Uwoya alichukua dakika kadhaa kuandika hichi alichokiandika hapa chini....

“Kuna saa najiuliza kwanin ukimwamin mtu ndio anageuka...kwanin ukiwa muwaz watu wanakuchukulia vbaya? Leo nimeumia sanaaa kuliko skuzote...sijaamini mtu niliye mwamini kumuona kama rafiki yangu anaweza kuongea shit kuhusu mim...au najiuliza siruhusiwi kuwa na rafik wa kiume? Lakin sa nyingine nakaa chin nasema God ...u know me better”

MCHUNGUZI wa mambo anasema maneno hayo ni kutokana na kile alichokiona kama ni usaliti wa namna fulani toka kwa rafiki yake wa karibu (Jina kapuni) kuamua kumuanika hadharani mdada huyo wa bongo movies

Thursday, July 11, 2013

DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA

SIRI nje! Lile skendo la Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kudaiwa kulala na mwigizaji Irene Uwoya ambaye ni mke wa ndoa wa mwanasoka wa Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ limevuja.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
KISA KAMILI
Huku akijua kabisa kuwa ataibua zogo kwa kuwa Uwoya ni mke wa ndoa wa mtu, kwa mara ya kwanza, Diamond ameamua kuanika kisa kilichomfanya kujiweka kwa muda kwa Uwoya.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika cha gazeti hili, kilichomfanya Diamond kufikia hatua ya kumtongoza na kutoka naye kimapenzi, ni kitendo cha Uwoya kutoa  maneno ya kumponda huku akionesha waziwazi hali ya kumchukia kila walipokutana.
 
Irene Uwoya.
UWOYA ALIKUWA HAMPENDI DIAMOND
“Unajua Irene (Uwoya) alikuwa hampendi Diamond hata siku moja na mara nyingi alikuwa kila akimuona lazima amponde. Habari hizo zilikuwa zikimfikia mwanamuziki huyo kupitia mashoga wa mwigizaji huyo ambazo ndiyo zilichochea.
“Kufuatia hali hiyo, Diamond naye kila alipofikishiwa taarifa na mashosti wa Uwoya, alikuwa akijisikia vibaya mno ndiyo maana ‘Sukari ya Warembo’ alilazimika kumvizia Uwoya kwa hali na mali ili kumfanya ampende.

Saturday, June 29, 2013

Baada ya Wema, Wolper, na Irene Uwoya kuzianika tattoo zao, sasa ni zamu ya Chuchu hans.

Baada ya Wema, Wolper, na Irene Uwoya kuzianika tattoo zao, sasa ni zamu ya Chuchu hans. Ipo kiunoni. Iangalie hapaBaada ya Wema, Wolper, na Irene Uwoya kuzianika tattoo zao, sasa ni zamu ya Chuchu hans. Ipo kiunoni. Iangalie hapa 1Baada ya Wema, Wolper, na Irene Uwoya kuzianika tattoo zao, sasa ni zamu ya Chuchu hans. Ipo kiunoni. Iangalie hapa 2Baada ya Wema, Wolper, na Irene Uwoya kuzianika tattoo zao, sasa ni zamu ya Chuchu hans. Ipo kiunoni. Iangalie hapa 3Baada ya Wema, Wolper, na Irene Uwoya kuzianika tattoo zao, sasa ni zamu ya Chuchu hans. Ipo kiunoni. Iangalie hapa 4Baada ya Wema, Wolper, na Irene Uwoya kuzianika tattoo zao, sasa ni zamu ya Chuchu hans. Ipo kiunoni. Iangalie hapa 5

Baada ya waigizaji kadhaa wa bongo movies kuendelea kuzianika tattoo zao mbalimbali zilizopo kwenye miili yao,sasa ni zamu ya mwigizaji Anyefanya vizuri sana kwenye tasnia ya filamu nchini Chuchu Hans Kichunya kuziweka zake hadaharani baada ya jana kuweka picha kadhaa kwenye mtandao zikionesha tattoo hiyo iliyoko maeneo ya kiunoni kwa juu kidogo.

Huyu anakuwa msanii mwingine tena wa bongo movies kuweka wazi tattoo zake baada ya waigizaji waliozoeleka kwenye jamii kwa tattoo zao kama Wema sepetu, Irene Uwoya, Jacquiline Wolper na Mainda.

Thursday, May 9, 2013

UWOYA AJISAFISHA KUPITIA KWA RAIS

Na Joseph Shaluwa
STAA wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya haachi vituko, safari hii ameibuka na kujisafisha kupitia Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza akidai kuwa yeye na tasnia nzima ya sinema za Kibongo hawana tabia za hovyo bali Magazeti Pendwa ndiyo yanasababisha waonekana hivyo.
                                                              Irene Uwoya.
Pamoja na skendo nyingine, Uwoya hivi karibuni alinaswa kwenye mtego baada ya kuingia kwenye kumi na nane za kamera za mapaparazi wa Global Publishers akiwa na kinda la muziki wa Bongo Fleva Nasib Abdul ‘Diamond’ wakiingia katika hoteli moja jijini Dar usiku mnene na kutoka mchana wa siku iliyofuata.
 
 Irene Uwoya.
Akizungumza hivi karibuni kupitia runinga moja jijini Dar es Salaam, Uwoya alijitetea kwamba sanaa ya filamu za Kibongo ni safi na kwamba magazeti ndiyo yanayowaharibia sifa.
                                                    Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza.
“Mfano mimi, kama ningekuwa mchafu ningeitwa na rais wa Burundi kwenda ikulu? Ameniona mimi ni msafi ndiyo maana aliniita mwaka 2011 kupitia sanaa yangu. Tungekuwa wachafu tusingekubalika hadi na viongozi wakubwa wa nchi, tatizo ni magazeti,” alisema Uwoya akijibu swali la mtangazaji wa kipindi hicho, aliyetaka kujua kuhusu madai ya wasanii kuwa na tabia chafu.
Uwoya ni kama alikuwa akikwepa hoja ya msingi na kuyatupia lawama Magazeti Pendwa kwa kuegemea mgongo wa Rais  Nkurunzinza, kwa sababu rekodi za skendo zake zipo na yeye mwenyewe anazijua – Mhariri.

Monday, March 11, 2013

IRENE UWOYA NDANI YA LAST CARD NI NOMA



                                                                 Irene Uwoya
MWANADADA mwenye mvuto katika tasnia ya filamu Bongo Irene Uwoya amerudi tena kwa kuingia na filamu ya Last Card msanii huyo alikuwa kimya kidogo kwa ajili ya maandalizi ya filamu na sasa ameingia na last card kazi anayoaamini kuwa itafanya vizuri katika soko la filamu kutokana na uzuri wa kazi hiyo kuandaliwa kwa umakini zaidi,
 Maneno ya Uwoya“Ninafungua mwaka kwa bonge la filamu, sitaki kuwaambia kilichopo ndani ya filamu ya Last card bali mtu akibahatika kuiona atasema mwenyewe kuwa kazi hiyo kwa nini imeitwa Last Card, ni kazi bora sana kwangu na wote tulioshiriki katika filamu na naweza kuwahakikishia wapenzi wa kazi zangu kuwa hii ni kiboko si ya kuikosa,”anajitamba Irene.

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate