EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA
Showing posts with label JACQUELINE WOLPER. Show all posts
Showing posts with label JACQUELINE WOLPER. Show all posts

Wednesday, March 4, 2015

SERENGETI BOY: NIMELIFAIDI PENZI LA WOLPER!

Na Musa mateja/mchanganyiko11
Siri imefichuka! Bwa’mdogo a.k.a Serengeti Boy kutoka Kundi la Makomando, Fredy Felix amesimulia namna alivyofaidi penzi la staa wa Bongo Movies, Jacqueline Walper Massawe ‘Wolper’.
Fredy Felix kutoka Makomando.
Akizungumza na GlobalTV Online kwenye mahojiano maalum juzikati, dogo huyo alisema kuwa katika maisha yake ya kimapenzi hakuna mwanamke ambaye aliwahi kutoka naye na kujiachia kwa furaha kama ilivyo kwa Wolper.

Thursday, January 29, 2015

WAZAZI WA MANAIKI WAMTOLEA NJE WOLPER

Msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga,amesema kuwa yuko katika wakati mgumu sana kwa sababu wazazi wake wamemtolee nje ishu ya kwenda kumposa staa wa kike Bongo, Jacqueline Wolper.
Msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga akiwa na Jacqueline Wolper.

Thursday, January 22, 2015

WOLPER: BORA NIWE FUNDI NGUO

STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ ameamua kuanika ukweli kuwa sasa hivi anataka kuwa fundi wa kushona nguo ili kuepukana na ‘masnichi’ waliopo kwenye tasnia ya uigizaji.
Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ akipozi.
Akizungumza na Amani, Wolper alisema ameamua kujikita huko kwa sababu ameona Bongo Movie hakuna maendeleo zaidi ya umbeya na hata soko la filamu linazidi kushuka.“Mimi ni msanii wa muda mrefu sana na kwa kazi ambazo tayari nimeshazifanya tangu kipindi hicho mpaka sasa naona tasnia haina maendeleo bali wamejaa masnichi tu yaani umbeyaumbeya tu.”
“Ni bora niwe fundi nguo ili kuepukana na manenomaneno yanayoendelea na mpaka sasa hivi tayari nimeshaanza kujifunza kushona nguo na nina imani nitakuwa fundi mzuri tu kuliko kutegemea kazi ambayo haina masilahi,” alisema

Thursday, January 15, 2015

WOLPER HATIMAYE AKUBALI KUPOSWA


Stori: Imelda Mtema
BAADA ya msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga kutangaza nia ya kutaka kumposa mwigizaji Jacqueline Wolper, staa huyo ameibuka na kumjibu kuwa na yeye yupo tayari kama ataweza kutimiza masharti.
Mwigizaji wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper akipozi na Manaiki.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper alisema katika mila za Kiafrika, posa haikataliwi, inatolewa na kisha inajadiliwa kwa hiyo kama Manaiki kajipanga, apeleke posa ikajadiliwe na wazee wake.
“Nimesikia habari za Manaiki kutaka kuniposa nikacheka sana kwa sababu yeye kama yupo tayari apeleke posa itapokelewa kwani siku zote vigezo na masharti huzingatiwa, afuate utaratibu tu,” alisema Wolper.

Saturday, October 11, 2014

WOLPER AMLIPUA PEDESHEE MAARUFU

Stori: Erick Evarist MTOTO mzuri Bongo Movies, Jacqueline Massawe Wolper, amemtolea uvimu pedeshee maarufu, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mwami Rajabu na kumwambia aache kumfuatafuata.
Mtoto mzuri Bongo Movies, Jacqueline Massawe Wolper.
Mwishoni mwa wiki iliyopita, Mkongo huyo ambaye anajitapa kuwa ameshatembea na baadhi ya mastaa Bongo akiwemo Wolper, alikaririwa katika gazeti hilihili akidai ametembea na Wolper kisha kumwaga na sasa anammendea mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa gharama yoyote.

Saturday, August 23, 2014

WOLPER ALIA KUTOPATA MTOTO

SUPER lady kunako tasnia ya sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe (26), anadaiwa kuangua kilio kisa kutopata mtoto, Risasi Jumamosi limeinyaka.
Super lady kunako tasnia ya sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe.
KUMBE!
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wake wa karibu, staa huyo amekuwa akihaha kusaka mtoto huku shinikizo likitoka kwa bibi yake, mzaa baba ambaye amekuwa akimuuliza juu ya yeye kumpata mtoto kwani umri unazidi kuyoyoma.
MADAKTARI WANASEMAJE?
Habari zilidai kwamba mwanadashosti huyo alishakwenda kwa madaktari mbalimbali ambao walimtaka kutokuwa na pupa kuhusiana na suala hilo na zaidi azidi kumuomba Mungu.
CHANZO CHATIRIRIKA
“Unajua umri ukishasogea, wanawake wengi huwa na wasiwasi juu ya suala hilo la kupata mtoto kama ilivyo ishu ya kusaka ndoa maana ni kati ya vitu vinavyowatesa.
Jacqueline Wolper Massawe.
“Wolper ana wataalam wake lakini hawajamwambia kama ana tatizo la kutopata mtoto.
“Kuna maelekezo ambayo wamekuwa wakimpa ambayo humrejeshea furaha anapowaza ishu hiyo.”

Friday, August 22, 2014

SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA

Limekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya mastaa wa Kibongo kuonesha au kupiga picha anaponunua gari jipya huku suala la kuonesha kadi ya gari likiwa gumu na ahadi zisizokwisha lakini mwigizaji ‘sexy’ mwenye mvuto kwenye tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika historia ya tofauti.
Mwigizaji ‘sexy’ mwenye mvuto kwenye tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
KADI YA GARI
Ijumaa limenasa kadi ya gari jipya la Lulu aina ya Toyota Rav4 New Model lenye rangi ya silva hivyo kuthibitisha kuwa yeye si kama wale wanaohongwa magari bila kupewa kadi.
Habari zilidai kwamba Lulu ameamua kufanya hivyo ili kuwaziba midomo baadhi ya mastaa waliozoea kutembelea magari ya kuhongwa na wanaume.
DONGO KWA WEMA?
Ilisemekana kwamba ni dongo kwa mastaa wakubwa kama Wema Isaac Sepetu ambaye aliwahi kuhongwa gari la kifahari aina ya Audi Q7 na yule kigogo wake maarufu kwa jina la CK, kabla ya kunyang’anywa na kurudishwa kwa mwenyewe kwani lilikopwa.
Mfano wa Gari analomiliki Elizabeth Michael ‘Lulu’.
AU JACK WOLPER?
Kuna madai kwamba pia kijembe hicho kilitupwa kwa Jacqueline Wolper Massawe ambaye naye aliwahi kuhongwa gari la kifahari aina ya BMW X6 na yule aliyekuwa bwana’ke, Abdallah Mtoro ‘Dallas’ ambalo hadi leo linaozea Majembe Auction kwa kuwa liliingizwa Bongo kimagumashi.
JE, NI AUNT AU KAJALA?
Kwa mujibu wa watu wake wa karibu, pia dongo hilo huenda lilielekezwa kwa mastaa wengine kama Aunt Ezekiel Grayson na Kajala Masanja ‘K’ waliowahi kuripotiwa kwa skandali ya kuhongwa magari huku wengine wakitamba na magari ya kukodisha wakidai ni yao.
Muonekano wa kadi ya Gari hilo.
LULU ATIRIRIKA
Baada ya kuinyaka ishu hiyo kutoka kwa chanzo makini, gazeti hili lilizungumza na staa huyo ambapo alisema kwamba amechoka kila kukicha kutangaziwa sijui pedeshee gani kamhonga gari, mara anakodisha magari atanulie mjini, jambo ambalo halina ukweli wowote.
Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel.
LULU ANA HOJA
Lulu alitoa hoja kwamba ili kuvunja kasumba hiyo, ameamua kuweka kadi ya gari hilo hadharani ili na hao wenye kujitamba katika mitandao ya kijamii na magari yao ya kifahari, waweke hadharani kadi zao zinazoonesha umiliki wao wa halali.
Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper Massawe.
“Mimi siyo Mswahili kama wengine ndiyo maana nimeonesha kadi yangu kutokana na maneno ya ajabu ya kila siku wanayonitangazia.
“Sasa nasema hivi, mimi nimeonesha kadi yangu na wao waweke hadharani kadi zao za hayo magari yao ya kifahari wanayoringia mjini tuone umiliki wao wa halali,” alisema Lulu ambaye ni staa wa kwanza Bongo kuonesha kadi yake ya gari inayomuonesha kuwa ni mmiliki halali.
Staa katika tasnia ya filamu Bongo,Kajala Masanja.
Mbali na gari hilo ambalo mwenyewe anadai amelinunua dola 27,000 (takriban shilingi milioni 44), pia Lulu anamiliki nyumba anayoendelea kuijenga iliyopo maeneo ya Mbezi Shamba jijini Dar hivyo kuwafunika mastaa wengi wakubwa wa tasnia ya filamu Bongo.
CHANZO NI GPL

Friday, August 1, 2014

DIAMOND: SITAOA KAMWE, WEMA ANA CHAKE

CHANZO NI GLOBAL PUBLISHERS
Kutoka moyoni? Wakati bimkubwa Wema Isaac Sepetu akijiaminisha na kuhisi kuwa amepata mume ambaye ni baba bora, mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefunguka kuwa kamwe hafikirii kuoa, Ijumaa lina cha kukuhabarisha.
Wema Isaac Sepetu akiwa kwenye pozi la kimahaba na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
Kauli hiyo ya Diamond inakuja wiki kadhaa baada ya Wema kuonekana na pete ya ndoa kidoleni kisha kukiri kuvishwa na ‘kichaa’ huyo wa Bongo Fleva ambaye amerejea kutoka Marekani alikotwaa Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki zilizokwenda kwa jina la African Muzik Magazine (AFRIMMA) 2014.

Thursday, May 15, 2014

JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA


STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa tangu aanze kujihusisha na masuala ya mapenzi hajawahi kulia.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper ambaye ana muonekano wa ‘kigumu’, alisema siku zote anaamini katika kupambana hivyo hawezi kumlilia mwanaume hata iweje.
“Sijawahi kulia pale nilipoachwa wala kuachana na mwanaume, akili yangu yote inaamini katika kutafuta maisha hivyo siwezi kujirahisisha nikamwaga machozi kwa ishu za mapenzi,” alisema Wolper.

Tuesday, March 25, 2014

WOLPER, HUSNA WAMGOMBEA MKONGO

KUCHAMBANA, kutoleana lugha chafu ndiyo ishu iliyopo kwa sasa kati ya nyota wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2011 iliyomtoa mlimbwende Salha Israel, Husna Maulid kufuatia madai kwamba, wanamgombea mwanamume Mkongo aliyejulikana kwa jina moja la Mwami.
Nyota wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper katika pozi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Husna ndiye aliyeanza kuwa na uhusiano na Mkongo huyo mwaka jana na kila anapofika nchini hutanua naye kwenye ‘viwanja’ mbalimbali.

“Husna ndiye mwenye mwanaume, akija Bongo wako wote, lakini hivi karibuni ghafla tu, jamaa kaja na kuwa na Wolper, Husna kapigwa chini, sijui Wolper alimpatia wapi?” kilisema chanzo hicho.
Jumamosi iliyopita, Uwazi lilimtafuta Husna na kumuuliza kuhusu madai hayo ambapo alifunguka kwa kusema:

“Ni kweli kabisa, Wolper amenichukulia mwanaume wangu. Mi nimemshangaa sana. Halafu eti ananitumia meseji za ajabu ajabu mimi, eti anasema hajanichukulia bali ni bwana ‘ake siku nyingi (huku akionesha meseji hizo).
 
Mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2011, 'mlimbwende' Husna Maulid.
Baadhi ya meseji hizo zinaonesha Husna akijibu mapigo upande wa pili huku akishambulia kwa maneno makali kufuatia madai kwamba anatembea na Mkongo wake.

Tuesday, March 18, 2014

WOLPER: LAZIMA NIOLEWE NJE YA NCHI



STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ameibuka na kudai kuwa, atafanya kila njia ili aolewe na mwanaume wa nje ya nchi na siyo Wabongo ambao hawathamini mastaa.
Akizungumza na Uwazi, Wolper alisema, amefikia uamuzi huo kwa sababu ana uchungu moyoni unaotokana na dhana waliyonayo wanaume wa Kitanzania juu yao, wakiamini kuwa ni wahuni tu hivyo kuwashusha thamani.
“Unajua Mtanzania anamchukulia staa kama chombo cha starehe tu na hawezi kumuoa kamwe na hata akimuoa basi hatamthamini kama wanavyothaminiwa wasanii wa huko nje.

Friday, January 17, 2014

WOLPER AMTAMBULISHA MCHUMBA MPYA

STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kumuweka bayana mchumba wake wa sasa anayejulikana kwa jina la G. Modo baada ya kukaa kimya muda mrefu tangu alipoachana na Abdallah Mtoro ‘Dallas.
 
Jacqueline Wolper akiwa na mchumba wake wa sasa G. Modo.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Wolper alisema alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa ajili ya kutafakari kwanza maana asingeweza kukurupuka wakati bado hawajachunguzana tabia vizuri na mpenzi wake huyo.
Wolper.

Monday, December 9, 2013

WOLPER MAJANGA!

Jacqueline Wolper Massawe.
Stori:  Gladness Mallya
SEXY lady katika tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amepata majanga baada ya gari lake kugonga gari lingine na vitu kibao kwenye siku ya ‘bethidei’ yake.
Pichani (chini kushoto) ni gari aina ya Toyota Prado lililogonga gari lingine kulia pamoja na matenki ya maji na mabomba.

Thursday, November 28, 2013

VIDEO:JACK WOLPER AKIFUNGUKA KUHUSU SIRI ZAKE TANO

EXCLUSIVE: SIRI 5 ZA WOLPER ZAVUJA

MOYO huhifadhi mengi mazito hasa ya kuumiza! Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amejikuta akimwaga machozi wakati akianika siri tano nzito kuhusu mapenzi katika mahojiano (exclusive interview) na Amani kwa takriban saa mbili.
Wolper akifunguka ndani ya Ofisi za Global Publishers, Bamaga-Mwenge jijini Dar.
Akizungumza kwa masikitiko, uchungu na majuto, Wolper alisema hawezi kumsahau mwanaume huyo ambaye ni Abdallah Mtoro ‘Dallas’ kwa namna alivyomwingia kijanja na kutaka kumvunjia heshima aliyoijenga karibia miaka kumi nyuma.

Thursday, November 14, 2013

SIKUFUATA MKWANJA KWA DALLAS-WOLPER

STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa suala la yeye kuachana na aliyekuwa mpenzi wake, Abdallah Mtoro ‘Dallas’ halikusababishwa na ukata kwani yeye hakufuata fedha kwa mwanaume huyo.
 Akijibu swali la paparazi wetu lililomtaka afunguke kama alifuata mkwanja kwa Dallas, Wolper alisema moyo wake huwa hauna tamaa ya fedha na aliingia katika penzi la Dallas kwa mapenzi aliyokuwa nayo wakati huo na kwa kuwa yaliisha, maisha yanaendelea.
“Sikufuata pesa kwa Dallas, pesa ni pesa na mapenzi ni mapenzi. Kama ni pesa nilikuwa nazo na hata kabla sijawa naye na sasa pia ninazo, waniache,” alisema Wolper.
Source GPL

Wednesday, October 9, 2013

JACKLINE WOLPER KUJA NA MOVIE MPYA

MWIGIZAJI wa kike anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu Swahiliwood Jaqueline Wolper aka Wolper Gambe ameingia mzigoni na kuibuka na staili kama ya gwiji la muziki na filamu ulimwenguni hayati Whitney Houston pale aliposhuka na bonge la movie la Bodyguard na sasa Jack naye kaigiza kama mtoto wa Mh. Rais ni mzigo kutoka kampuni ya RJ Company chini ya Director Ray.

jack wolper 600

.
jacck 600 b


jack wolper

Friday, September 6, 2013

BEHIND THE SCENES.RAY AND JACKLINE WOLPER STARS IN A NEW MOVIE

Vicent Kigosi(Ray) and Swahili movies' sexy diva Jackline Wolper will be seen in a new flick. The two megastars in Swahiliwood have already shared screen space together in some movies including Surprise and currently they are shooting their new project by Rj Company. Look behind the scenes of the movie..............

                                    Ray and Wolper on set

Friday, August 16, 2013

WOLPER AFUNGUKIA KIPAJI CHA KUHONGA

STAA katika tasnia ya filamu Bongo, Jackline Wolper amefungukia kipaji cha wanaume kuhonga na kusema kuwa, si kila mwenye pesa nyingi anafanya hivyo bali inategemea na hulka ya mtu.
Jackline Wolper.
Akifafanua juu ya madai kuwa wauza unga wengi Bongo wanaongoza kwa kuwahonga mastaa, Wolper alisema siyo kweli kwani mtu unaweza kuwa na mpenzi mfanyabiashara mwenye pesa nyingi lakini akawa mbahili.
 
“Si kweli kuwa wauza unga ndiyo wanahonga sana wanawake au sisi mastaa, unaweza kuwa na bwana mfanyabiashara na mwingine kaajiriwa lakini huyo aliyeajiriwa akawa ana kipaji cha kuhonga, akakupa hata asilimia 75 ya mshahara wake na yule mwenye pesa nyingi akawa mbahili sana, ni kipaji tu,” alisema Wolper.
Credit: GLP.

Thursday, July 18, 2013

BABY MADAHA AOMBA PAMBANO NA WOLPER

STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ ameomba pambano la ndondi dhidi ya Jacqueline Wolper ili waweze kumaliza ubishi wa bifu lao.
Jacqueline Wolper.
Akipiga stori na paparazi wetu mapema wiki hii, Baby alisema amechoshwa kusikia tambo za mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke, wakutane ulingoni ili amuoneshe cha mtema kuni.

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate