EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA
Showing posts with label Taifa Stars. Show all posts
Showing posts with label Taifa Stars. Show all posts

Friday, March 13, 2015

ALIYEMREKODI EDZEN VIDEO YA UTUPU YAMKUTA

JESHI la polisi jijini Dar limemkamata binti anayefahamika kwa jina la Moza kwa kosa la kudaiwa kumdhalilisha Mtangazaji wa Runinga ya TV1, Ezden Jumanne ambapo anatarajiwa kuburuzwa mahakamani muda wowote baada ya uchunguzi kukamilika.
Moza anayedaiwa kumrekodi Ezden video ya utupu.
Moza ambaye alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji huyo kisha kuachwa, anadaiwa kumrekodi video ya utupu Ezden kipindi walipokuwa kwenye uhusiano mzuri kisha kuisambaza mitandaoni walipogombana.

Wednesday, November 5, 2014

SITTI MTEMVU ATOWEKA

WAKATI suala la kudaiwa kudanganya umri likiwa bado ‘bichii’, taarifa zinadai kuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ametoweka na hajulikani alipo, Risasi Mchanganyiko limechimbua stori kamili.
Mshindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
Shughuli ya kumsaka mrembo huyo ili kujua undani wa sakata lake ilianzia Temeke ambako ilielezwa kuwa ndiko anakoishi.
Mapaparazi wetu walipofika katika nyumba waliyoelekezwa, walikuta imebadilishwa na kuwa Ofisi ya Vikoba ambapo mmoja wa wahudumu wa ofisi hiyo kwa sharti la kutoanika jina lake gazetini, aliwataka waandishi wetu kwenda Mbezi-Makonde akidai ndiko anakoishi kwa sasa.
“Hapa ilikuwa nyumba ya zamani lakini kwa sasa ni ofisi na Sitti hakai hapa, kama mnamtaka nendeni Mbezi-Makonde huko nasikia ndiko anakoishi,” alisema mtumishi huyo.
Mapaparazi wetu hawakuchoka, walifunga safari hadi Mbezi-Makonde ambapo walikuta nyumba yenye maduka yaliyoandikwa Mtemvu Foundation, wakaenda moja kwa moja katika saluni mojawapo iliyokuwa na bango lililosomeka Malisa huku likiwa na picha ya Sitti sambamba na namba za simu.
Sitti Mtemvu wakati wa kutwaa taji la Miss Tanzania 2014.

Monday, October 27, 2014

BOB JUNIOR LIVE NA ‘MCHEPUKO’


Mchepuko? Baada ya kuachana na mkewe, Halima Ally, staa wa Nyota ya Chipsi Mayai na Prodyuza wa Sharobaro Records, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’ amenaswa live na mrembo anayejulikana kwa jina la Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ ambaye ni msanii wa filamu, wakiwa katika mahaba nipoteze kama ndege ya Malaysia.
Staa wa Nyota ya Chipsi Mayai , ‘Bob Junior’ akiangusha busu shavuni mwa mrembo anayejulikana kwa jina la Sabrina Omary ‘Sabby Angel’
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Sabby ambaye ndiye aliyevujisha picha za tukio hilo, Sabby na Bob Junior kwa sasa wako katika mahaba mazito na ni watu wanaopendana kwa sababu kila unapomuona Sabby yupo karibu na mwanamuziki huyo.
Bebi huyo, ‘Sabby Angel’ akimkubatia 'Bob Junior' kimahaba.
“Sasa hivi Sabby na Raheem ndiyo habari ya mjini kwani kila sehemu wapo pamoja na wanapendana sana,” alidai rafiki huyo wa Sabby.Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kwamba wawili hao wanaweza kuvalishana pete ya uchumba muda wowote kuanzia sasa.

Wednesday, March 5, 2014

Ray C amtaka Lord Eyez kubadilika

 
Staa nguli wa muziki wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’amemtaka aliyekuwa mpenzi wake, Lord Eyez kubadilika kutokana na changamoto za maisha zinazomkuta hasa ya kutuhumiwa mara kwa mara kuiba mali za watu. 
Msanii huyo wa hip hop kutoka kundi la Weusi,Lord Eyez anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa kuvunja gari na kuiba laptop huko Arusha,ambapo Kundi lake la Weusi limetoa tamko kuhusu msanii huyo kutoka na natukio hilo.Kupitia account yake ya Instagram aliandika hivi…Badilika babaa......Nakuombea sana ujitambue na ubadili mwendo wa Maisha yako...Wewe bado ni kijana mdogo sana na una kipaji cha pekee.....Kila Mtu Ana changamoto yake ya maisha,angalia wapi ulipokosea,litambue tatizo halafu kubali kwamba una tatizo then rekebisha Hilo tatizo.

Thursday, July 11, 2013

MSIBA: Joyce kiria wa East Africa Television amefiwa na baba yake mzazi.

Mtangazaji wa kipindi cha wanawake live Joyce Kiria amepatwa na msiba baada ya baba yake mzazi aliyefariki jana mkoani Tanga alipokuwa akiishi.
Katika taarifa tulizozipata kupitia ukurasa wa facebook wa kituo cha television cha EATV Joyce aliandika
“Leo ni siku nyingine ya historia kwenye maisha yangu baada ya baba yangu Michael Francis Iwambo Kiria wa Kibosho Dakau Nganyeni kufariki huko mkoani Tanga ambako alikuwa akiishi. Kesho (leo) ni safari ya kuelekea Moshi kwa ajili ya taratibu za mazishi.
Im speechless... R.I.P MY DAD"
Joyce kiria ni mmoja wa wadau wakubwa sana wa filamu nchini, na ni mtu aliyetoa na mchango wa pekee katika kukuza tasnia ya filamu nchini kupitia kipindi chake cha bongo movies kabla hajaanza kutangaza kipindi cha wanawake live kupitia kituo hicho hicho cha EATV
Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu.

Friday, May 24, 2013

STARS YAJAZWA MANOTI KUSAIDIA KUIUWA MOROCCO.

Wajumbe wa Kamati ya Saidia Taifa Stars Ishinde, wakiwakabidhi nahodha wa Stars, Juma Kaseja na Meneja Leopold Taso Mukebezi, (kushoto), kitita cha sh milioni 30 kama moja ya hamasa kwa timu hiyo kufanya vema katika kinyang’anyiro cha kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil. Kutoka kulia ni Dk. Ramadhani Dau, Zitto Kabwe, Mohamed Dewji ‘Mo’ ambaye ndiye Mwenyekiti, Leodegar Tenga na Teddy Mapunda. 

WACHEZAJI wa timu ya Taifa,  Taifa Stars jana walikabidhiwa Milioni 30, ikiwa ni pongezi ya kufanya vizuri dhidi ya Zambia na Morocco, huku wakiwatakiwa kuhakikisha wanashinda mechi ya marudiano dhidi ya Morocco.

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate