JESHI la polisi jijini Dar limemkamata binti anayefahamika kwa jina
la Moza kwa kosa la kudaiwa kumdhalilisha Mtangazaji wa Runinga ya TV1,
Ezden Jumanne ambapo anatarajiwa kuburuzwa mahakamani muda wowote baada
ya uchunguzi kukamilika.
Moza ambaye alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji huyo kisha
kuachwa, anadaiwa kumrekodi video ya utupu Ezden kipindi walipokuwa
kwenye uhusiano mzuri kisha kuisambaza mitandaoni walipogombana.
Showing posts with label Taifa Stars. Show all posts
Showing posts with label Taifa Stars. Show all posts
Friday, March 13, 2015
Wednesday, November 5, 2014
SITTI MTEMVU ATOWEKA
WAKATI suala la kudaiwa
kudanganya umri likiwa bado ‘bichii’, taarifa zinadai kuwa mshindi wa
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ametoweka na hajulikani alipo, Risasi
Mchanganyiko limechimbua stori kamili.
Shughuli ya kumsaka mrembo huyo ili kujua undani wa sakata lake ilianzia Temeke ambako ilielezwa kuwa ndiko anakoishi.
Mapaparazi wetu walipofika katika nyumba waliyoelekezwa, walikuta imebadilishwa na kuwa Ofisi ya Vikoba ambapo mmoja wa wahudumu wa ofisi hiyo kwa sharti la kutoanika jina lake gazetini, aliwataka waandishi wetu kwenda Mbezi-Makonde akidai ndiko anakoishi kwa sasa.
“Hapa ilikuwa nyumba ya zamani lakini kwa sasa ni ofisi na Sitti hakai hapa, kama mnamtaka nendeni Mbezi-Makonde huko nasikia ndiko anakoishi,” alisema mtumishi huyo.
Shughuli ya kumsaka mrembo huyo ili kujua undani wa sakata lake ilianzia Temeke ambako ilielezwa kuwa ndiko anakoishi.
Mapaparazi wetu walipofika katika nyumba waliyoelekezwa, walikuta imebadilishwa na kuwa Ofisi ya Vikoba ambapo mmoja wa wahudumu wa ofisi hiyo kwa sharti la kutoanika jina lake gazetini, aliwataka waandishi wetu kwenda Mbezi-Makonde akidai ndiko anakoishi kwa sasa.
“Hapa ilikuwa nyumba ya zamani lakini kwa sasa ni ofisi na Sitti hakai hapa, kama mnamtaka nendeni Mbezi-Makonde huko nasikia ndiko anakoishi,” alisema mtumishi huyo.
Mapaparazi wetu hawakuchoka, walifunga
safari hadi Mbezi-Makonde ambapo walikuta nyumba yenye maduka
yaliyoandikwa Mtemvu Foundation, wakaenda moja kwa moja katika saluni
mojawapo iliyokuwa na bango lililosomeka Malisa huku likiwa na picha ya
Sitti sambamba na namba za simu.
Monday, October 27, 2014
BOB JUNIOR LIVE NA ‘MCHEPUKO’
Mchepuko? Baada ya kuachana na mkewe, Halima Ally, staa wa Nyota ya Chipsi Mayai na Prodyuza wa Sharobaro Records, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’ amenaswa live na mrembo anayejulikana kwa jina la Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ ambaye ni msanii wa filamu, wakiwa katika mahaba nipoteze kama ndege ya Malaysia.
Staa
wa Nyota ya Chipsi Mayai , ‘Bob Junior’ akiangusha busu shavuni mwa
mrembo anayejulikana kwa jina la Sabrina Omary ‘Sabby Angel’
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Sabby
ambaye ndiye aliyevujisha picha za tukio hilo, Sabby na Bob Junior kwa
sasa wako katika mahaba mazito na ni watu wanaopendana kwa sababu kila
unapomuona Sabby yupo karibu na mwanamuziki huyo.
“Sasa hivi Sabby na Raheem ndiyo habari ya
mjini kwani kila sehemu wapo pamoja na wanapendana sana,” alidai rafiki
huyo wa Sabby.Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kwamba wawili hao
wanaweza kuvalishana pete ya uchumba muda wowote kuanzia sasa.
Wednesday, March 5, 2014
Ray C amtaka Lord Eyez kubadilika
Staa
nguli wa muziki wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’amemtaka
aliyekuwa mpenzi wake, Lord Eyez kubadilika kutokana na changamoto za
maisha zinazomkuta hasa ya kutuhumiwa mara kwa mara kuiba mali za watu.
Msanii
huyo wa hip hop kutoka kundi la Weusi,Lord Eyez anashikiliwa na jeshi
la polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa kuvunja gari na kuiba laptop
huko Arusha,ambapo Kundi lake la Weusi limetoa tamko kuhusu msanii huyo
kutoka na natukio hilo.Kupitia
account yake ya Instagram aliandika hivi…Badilika babaa......Nakuombea
sana ujitambue na ubadili mwendo wa Maisha yako...Wewe bado ni kijana
mdogo sana na una kipaji cha pekee.....Kila Mtu Ana changamoto yake ya
maisha,angalia wapi ulipokosea,litambue tatizo halafu kubali kwamba una
tatizo then rekebisha Hilo tatizo.Thursday, July 11, 2013
MSIBA: Joyce kiria wa East Africa Television amefiwa na baba yake mzazi.
Mtangazaji wa kipindi cha wanawake live Joyce Kiria
amepatwa na msiba baada ya baba yake mzazi aliyefariki jana mkoani Tanga
alipokuwa akiishi.
Katika taarifa tulizozipata kupitia ukurasa wa facebook wa kituo cha television cha EATV Joyce aliandika
“Leo ni siku nyingine ya historia kwenye maisha yangu baada ya baba yangu Michael Francis Iwambo Kiria wa Kibosho Dakau Nganyeni kufariki huko mkoani Tanga ambako alikuwa akiishi. Kesho (leo) ni safari ya kuelekea Moshi kwa ajili ya taratibu za mazishi.
Im speechless... R.I.P MY DAD"
Joyce kiria ni mmoja wa wadau wakubwa sana wa filamu nchini, na ni mtu aliyetoa na mchango wa pekee katika kukuza tasnia ya filamu nchini kupitia kipindi chake cha bongo movies kabla hajaanza kutangaza kipindi cha wanawake live kupitia kituo hicho hicho cha EATV
Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Katika taarifa tulizozipata kupitia ukurasa wa facebook wa kituo cha television cha EATV Joyce aliandika
“Leo ni siku nyingine ya historia kwenye maisha yangu baada ya baba yangu Michael Francis Iwambo Kiria wa Kibosho Dakau Nganyeni kufariki huko mkoani Tanga ambako alikuwa akiishi. Kesho (leo) ni safari ya kuelekea Moshi kwa ajili ya taratibu za mazishi.
Im speechless... R.I.P MY DAD"
Joyce kiria ni mmoja wa wadau wakubwa sana wa filamu nchini, na ni mtu aliyetoa na mchango wa pekee katika kukuza tasnia ya filamu nchini kupitia kipindi chake cha bongo movies kabla hajaanza kutangaza kipindi cha wanawake live kupitia kituo hicho hicho cha EATV
Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Friday, May 24, 2013
STARS YAJAZWA MANOTI KUSAIDIA KUIUWA MOROCCO.
WACHEZAJI wa timu ya Taifa, Taifa Stars jana walikabidhiwa Milioni 30,
ikiwa ni pongezi ya kufanya vizuri dhidi ya Zambia na Morocco, huku
wakiwatakiwa kuhakikisha wanashinda mechi ya marudiano dhidi ya Morocco.
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe


