EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, July 6, 2012

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAKABIDHI GARI MPYA AINA YA FORD FIGO KWA MSHINDI WAKE ISACK JUVENARY


Meneja wa bia ya Serengeti Lager Bw. Allan Chonjo kulia akikabidhi funguo za gari aina ya Ford Figo kwa mshindi wa gari hiyo katika Promosheni ya "Vumbua Dhahabu chini ya Kizibo" Bw. Isack Juvenary aliyojishindia hivi karibuni kutoka mkoani Morogoro, hafla ya makabidhiano hayo imefanyika kwenye Duka la magari la CMC Motors lililopo katika barabara ya Azikiwe jijini Dar es salaam, katika picha wanaoshuhudia tukio hilo ni maafisa kutoka kampuni ya bia ya Serengeti
Meneja wa bia ya Serengeti Lager Bw. Allan Chonjoakizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kukabidhi gari hilo, kulia ni mshindi wa gari hilo Isack Juvenary
Isack Juvenary akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya bia ya Serengeti, wa tatu kutoka kushoto ni Meneja wa bia ya Serengeti Lager Allan Chonjo
Bw. Isack Juvenary akifurahia gari yake huku akiwa haamini kilichotokea.
Bw. Isack Juvenary akifurahia gari yake huku akiwa amepozi pembeni mwa gari yake.
Isack Juvenary mwenye umri wa miaka 25 mkazi Morogoro ambaye ndiyo mshindi wa gari mpya aina FORD FIGO,Leo asubuhi katika ofisi za CMC zilizopo barabara ya azikiwe mkabala na jengo la maktaba square jijini Dar Es Salaam, amekabidhi wa zawadi yake hiyo ya gari na kushuhudiwa na vyomvo mbalimbali vya habari.
Kampuni ya bia ya Serengeti kupitia vinywaji vyake aina ya Serengeti Premium Lager, Tusker Lager na Pilsner Lager inaendesha promosheni ijulikanayo kama vumbua hazina chini ya kizibo. Promosheni hiyo inaendeshwa nchi nzima kwa wateja mbalimbali wa kampuni hiyo kujishindia zawadi za kila aina zikiwezo Magari. Bajaj, Pikipiki, Jenereta na zawadi zingine kemkem
Akiongea na wandishi wa habari wakati wa kukabidhi zawadi hiyo, meneja wa bia ya Serengeti Premium Lager Bw. Allan Chonjo amesema “Najisikia faraja kubwa sana ninapoona yale tuliyoyapanga kuyatimiza kwa wateja wetu kama SBL na kwamba hii ni sehemu tu ya yale yote tuliyopanga kufanya kwa jamii inayotuzunguka kwa kuthamini mchango wa wateja wetu na pia sisi tumelenga katika kuwapa mabadiliko katika maisha yao kwa kuzingatia mahitaji muhimu ya binadamu siku had siku. 
Ndiyo maana tuna zawadi za magari, Bajaji, majenerata na pikipiki ili ziwasaidie katika shughuli zao za kila siku na pia fedha taslimu kuanzia shilingi elfu kumi, elfu hamsini na laki moja ambazo unaweza kushinda alisema Chonjo huku akisisitiza kuwa promosheni hiyo bado inaendelea kwa wiki takriban saba zijazo na kuwataka watanzania wote wenye sifa zilizoainishwa katika vigezo na masharti vya promosheni hiyo kushiriki kwa wingi ili kuongeza uwezo wakushinda zawadi mojawapo.Via fullshangweblog.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate