EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, July 25, 2012

VodaCom yapunguza gharama za simu kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan

  • Ni Ofa mpya ya kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi wa maneno na kutumia intanet kwa shilingi 250 tu kwa siku.
  • Ofa kuanza kila siku saa tano usiku hadi saa moja asubuhi.
  • Kupata ofa hiyo piga *120*250#

Dar es Salaam 25th Julai 2012 - Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, imeanzisha ofya mpya ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambayo itawawezesha wateja wa mtandao huo kupiga simu bila kikomo, kutuma ujumbe mfupi wa maneno na kupata huduma za intanet kwa shilingi 250/= tu kwa siku.

Ofa hiyo mpya itakuwa ni kwa siku saba za wiki kuanzia saa tano usiku hadi saa moja asubuhi katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhan. Ili mteja ajiunge na huduma hiyo, atatakiwa kupiga *102*250# ambapo ataweza kupiga simu kutoka Vodacom kwenda Vodacom, kutuma ujumbe mfupi wa maneno kwenda mitandao yote ya simu na kutumia intanet bila kikomo.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meza alisema kipindi hiki ni maalum kwa waislamu duniani kote kuwa karibu na Mungu pamoja na ndugu, jamaa na marafiki.

“Tumeona vyema tuwapatie njia rahisi ya kuwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki kwa unafuu na ambayo wataifurahia tukijua kwamba waislamu walio wengi ni miongoni mwa wateja ambao wametuunga mkono kwa miaka mingi sasa. Tunataka nao wajisikie kuwa sehemu ya familia ya Vodacom katika kipindi hiki cha maombi,” alisema Meza.

Ofa hii imekuja wakati Vodacom Foundation inaendelea na kampeni yake ya Care and Share mkoani Tanga inayolenga kutoa misaada ya kifedha na vifaa mbalimbali kwa watoto yatima katika kipindi cha Mwezi wa Ramadhan.

Kampeni ya Care and Share inaadhimisha miaka mitano tangu kuzinduliwa kwake, huku ikitoa fursa ya kipekee kwa Vodacom Foundation kushughulikia changamoto mbalimbali kwa watoto yatima na vituo vya kulelea watoto yatima.

Kupitia kampeni hiyo, mamia ya watoto yatima wameweza kusaidiwa na maisha yao kuboreshwa, suala ambalo jamii nzima na wateja wa Vodacom wanajivunia.

“Tutaendelea kuwapatia wateja wetu kile wanachostahili kwani bila ya mchango wao Vodacom Tanzania isingekuwa hapa ilipo leo. Nawatakia waislamu wote kheri katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan,” alihitimisha Meza.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate