EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, December 20, 2012

SIRI ZOTE ZA NORA NDANI YA NDOA YAKE HIZI HAPA MME AZIFUNUA.

 
Nuru Nassoro ‘Nora’ na Masoud Ally ‘Luqman’ siku ya ndoa yao.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Luqman ambaye alitumia zaidi ya saa mbili kutoa ufafanuzi kuhusiana na  habari hiyo, alikanusha vikali kuwa wazazi wake ndiyo chanzo cha kufanya ndoa yao ivunjike.
Alisema kuwa mama yake alikuwa akimpenda sana Nora mpaka staa huyo alikiri kuwa mkwewe huyo anampenda, sasa anaumia kumsikia akidai ndoa yake ilivunjwa na wazazi wake.
Luqman alizidi kutiririka kuwa katika maisha yake ya ndoa aliyoishi na Nora, amewahi kuwa na furaha mara mbili tu kutokana na ugomvi wa kila siku ambao mara nyingi ulikuwa ukisababishwa na Nora.
“Kiukweli ndoa yangu nakumbuka imewahi kuwa na furaha mara mbili tu lakini kipindi chote ilikuwa ni ugomvi usioisha,” alisema.
 
Nora.
Aliendelea kusema kuwa kutokana na ugomvi wa kila siku,  kuna siku Nora alishika kiwembe na kumchana nacho mkononi, hali iliyosababisha ashonwe nyuzi tano.
Alisema kuwa alikuwa akijitahidi kujishusha ili kuinusuru ndoa yake kwa sababu bado alikuwa akimpenda sana mke wake huyo lakini hakufanikiwa na kwamba siku nyingine Nora alimshikia kisu kisa kikiwa ni meseji ambayo hakuituma yeye.
Aliendelea kuweka wazi kuwa kutokana na migogoro ya hapa na pale, alishampa talaka zaidi ya mara mbili na kumrudia tena akidhani labda atajirekebisha na kuwa sawa lakini haikuwa hivyo.
“Hii talaka ya mwisho niliyotoa ilikuwa ni ya tatu  lakini yote hayo ni kwa sababu nilimpenda sana mke wangu,” alisema na kuongeza kuwa waliamua kuhamia Zanzibar ambapo Nora mwenyewe alikupenda.
Hata hivyo, walipofika huko bado aliendelea kumsumbua na alijaribu kumtishia kuwa kama ataendelea hivyo ataoa mke mwingine ambapo kauli hiyo ilimkera Nora na kuamua kurudi Dar.
Alisema aliporudi Dar, mara kwa mara alikuwa akimsihi arudi wakaendelee kuishi lakini Nora alikuwa akikataa na ndipo alipoamua kuoa mwanamke mwingine ambaye kwa hivi sasa tayari wamezaa naye mtoto mmoja.
“Nilikuwa nikijaribu sana kumbembeleza Nora arudi ili tuendelee kuishi lakini hakuwa tayari ndipo nilipoamua kuoa mke mwingine,” alimalizia Luqman. 
                          CHANZO CHA HABARI NA GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate