Msanii wa filamu Bongo ambaye ni mke wa mtu, Chuchu Hans amefunguka
kuwa anatongozwa sana na wanaume kupitia Mtandao wa Kijamii wa
Facebook, kitendo kinachomkosesha amani.
“Mimi kwa
kweli kila nikiingia Facebook nakutana na wanaume ambao wananitongoza,
mtu anajua kabisa una mtu wako lakini bila haya anatangaza dau na
kueleza kuwa, anakutaka, mijitu hii naichukia kweli,” alisema Chuchu.
Credit to Global Publishers
No comments:
Post a Comment