Msanii wa filamu Bongo, Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ amesema anamtakia mafanikio mema kinda la filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya kujitangaza kuwa amebadilika.
“Kwanza nampongeza na namuombea kwa Mungu atimize malengo yake. Ni
jambo zuri kama ameamua kujikita katika kazi zaidi ya kitu chochote,”
alisema Dk. Cheni.
No comments:
Post a Comment