Ney Lee.
B12 ndio alikua host wa show nzima
Hii picha hapa juu ni upande wa kushoto mwa stage
Juma Nature alikuepo pia
Young Killer wa Mwanza Mwanza
Rich Mavoco
R.I.P kwa wote waliotutangulia kama Langa, Sharo Milionea na Ngwair.
Cassim Mganga
Mwana FA na Ay.
J Martins kutoka Nigeria alikuepo pia… hapa ni wakati alipoamua kumzawadia huyu mtoto cheni aliyokua amevaa pamoja na pesa za kitanzania.
Ay, J Martins na Mwana FA wakicheza bila kukunja goti.
Dully Sykes ni miongoni mwa waliofanya kazi nzuri sana yani…
Maunda Zorro CREDITMillardayo.com
No comments:
Post a Comment