


Wasanii
watakao-perform jukwaa moja na P` Square ni Malkia wa Bongo fleva mwenye
miaka kumi na tatu kwenye gemu Lady Jay Dee a.k.a Anaconda, King wa
R&B Ben Paul, mwamba wa kaskazini Joh Makini na MC shupavu au Heavy
weight Mc au Daddy Joseph Haule wa Mitulinga Mchawi wa Rhymes.
CREDIT: VIJIMAMBO BLOG
No comments:
Post a Comment