HII ni ‘bad news’ kwa staa namba moja wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul
‘Diamond Platnumz’. Mfanyabiashara maarufu nchini Uganda anayefahamika
kwa jina la King Lawrence, ameibuka na kumuita nyota huyo shoga.
ISHU ILIPOIBUKIA
King ambaye ana makazi yake pia
nchini Afrika Kusini, amedaiwa kutoa kauli hiyo juzi, Jumatano kupitia
mtandao wa Facebook akionesha kukerwa na kitendo cha staa wa muziki
Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ kuangukia katika penzi la Diamond.
ATUMIA GIA YA WATOTO
Awali, King ambaye
imeelezwa alikuwa na urafiki na dereva wa aliyekuwa mume wa Zari, Ivan
Semwanga, alianza kwa kumchokonoa Diamond kwa gia ya kujifanya
anawatetea watoto wa Zari ambapo alitupia picha ya Zari akiwa na Diamond
mtandaoni ikiwa na ujumbe wenye kejeli na jeuri ya fedha.
UJUMBE ULIVYOSOMEKA
“As a concerned uncle, Im
offering Zari’s tomboy Diamond Dola 40,000 so as to leave the old mom of
three to take care of her kids. The young boys miss their mom. Please
Diamond do it for the kids.”
(Nikiwa kama mjomba, ninampa jikedume
wa Zari, Diamond, Dola 40, 000 (Sh. Mil 66) ili amuache mama wa watoto
watatu (Zari) awalee vizuri watoto wake. Watoto wanammisi mama yao.”
ABADILISHA GIA
Kuonesha ana mpango mchafu wa
kumchafua Diamond ambaye anaipeperusha vyema bendera ya Afrika kimuziki,
badala ya ishu ya watoto, alibadili upepo na kujinadi eti yeye ndiye wa
kwanza kutembea na Zari.
Pasipo kueleweka kusudi lake, alimpiga
dongo Diamond ambaye usiku wa kuamkia leo alipewa heshima ya kipekee
kutumbuiza kwenye Tuzo za Wanamichezo Bora zilizoandaliwa na Shirikisho
la Afrika (Caf) nchini Nigeria.
HEBU MSIKIE
“Kwa nini utembee na Diamond shoga? Sijui kama anajua kwamba mimi ndiyo
wa kwanza kutembea na wewe (Zari),” aliandika katika mtandao wa
Facebook.
AZIDI KUTAPATAPA
Kama hiyo
haitoshi, kupitia mtandao wa Facebook, King alitupia mawasiliano yake ya
zamani na Zari akidai alikuwa akimuomba fedha.
DIAMOND ANASEMAJE?
Hadi tunakwenda mitamboni,
jitihada za kumpata Diamond ili aweze kujibu tuhuma hizo hazikuzaa
matunda huenda ni kutokana na ubize aliokuwa nao katika maandalizi ya
shoo hiyo kubwa Afrika, simu yake iliita bila kupokelewa na hata
alipotumiwa ujumbe mfupi, hakujibu.
ZARI AMSAFISHA DIAMOND
Kupitia mtandao huo, Zari
naye aliibuka na kumtetea Diamond akimwambia King ana chuki binafsi
kwani hapendi kumuona akiwa na furaha.
“Hatuna muda wa kukujadili, unafikiri Diamond anaweza kuwa shoga?
Unafikiri anaweza kubishana na wewe? Kweli nimeamini, watu wakikuona una
furaha, wanaanza kukuchukia,” alijibu Zari maneno hayo ambayo pia
ameyaweka katika akaunti yake ya mtandao wa Instagram.
DIAMOND NI SHOGA?
Kutokana na madai hayo ya
King, baadhi ya wadau wakubwa wa muziki Bongo walikanusha vikali madai
hayo kwa kudai jamaa huyo ana lengo la kumchafua Diamond kwa kuwa kwa
sasa anafanya vizuri Afrika nzima.
“Hana lolote huyo King, anatafuta
kiki za kipuuzi, atamuitaje Diamond shoga? Amewahi kumuona akifanya
vitendo hivyo? Wivu tu wa maendeleo, aache Diamond na Zari wafanye yao,
apeperushe muziki wetu nje ya Afrika,” alisema mdau mmoja ambaye
hakupenda jina lake liandikwe gazetini.
KING ANATESWA NA WIVU?
Licha ya awali King
kutoonesha kwamba aliwahi kutembea na Zari, katika maelezo yake ya pili
yameonesha dhahiri kwamba anasumbuliwa na wivu wa mapenzi kutokana na
kujinadi kuwa yeye alikuwa wa kwanza kutembea na Zari.
“We huoni
ameanza kwa kujifanya anawatetea watoto, mara akajifanya rafiki wa
dereva wa Ivan mara tena amegeuka anadai alikuwa wa kwanza kutembea na
Zari hana lolote wivu tu unamsumbua atakuwa alimtaka mtoto mzuri
akamchomolea,” aliandika mdau mmoja katika mtandao wa Instagram.
KING NI NANI?
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali,
jamaa huyo ni mfanyabiashara maarufu nchini Uganda na Afrika Kusini na
amekuwa akijinasibu kuwa na uhusiano na mastaa mbalimbali wa Uganda
akiwemo mwanamuziki Julia Kanyomozi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe
No comments:
Post a Comment