EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, August 15, 2012

ABIRIA AKUTWA AMEFARIKI NDANI YA BASI...UPENDO


Mwandishi wetu, Morogoro Yetu

Abiria mmoja aliyekuwa akisafiri kwa basi la kampuni ya Upendo lililokuwa likitokea jijini Mbeya kuelekea dar es salaam, amegunduliwa kufariki dunia ghafla, baada ya basi hilo kufika mjini Morogoro.

Mwili wa abiria huyo ambaye tiketi aliyokuwa nayo mfukoni imemtambulisha kama Petro Mrenge Sins, anayedaiwa kuwa mwenyeji wa Mkoa wa Tabora, umekutwa umelala katika viti vya chini, nyumba ya basi hilo la abiria, ambapo baada ya upekuzi, amekutwa akiwa na mfuko wa nailoni maarufu kama rambo uliokuwa na nguo zake kadhaa, shilingi elfu nne na tiketi ya basi.

Madereva wa basi hilo la Upendo, Marco Paulo na msaidizi wake Juma Abdul, wamedai wamegundua kufariki kwa abiria huyo, baada ya kufika, kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani cha msamvu mkoani Morogoro, ambapo walitangaza abiria wanaoshuka wafanye hivyo, lakini hakufanya hivyo na kuambiwa abiria huyo alionekana kukosa fahamu, ambapo walitoa taarifa kwa askari waliopo kituoni hapo, na mwili wake kushushwa kituo kikuu cha polisi cha mjini morogoro.

Abiria waliokuwa wakisafiri na mzee huyo aliyepoteza maisha, ambaye kiumri anakadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 60 hadi 70, tangu majira ya saa 12 afajiri kutokea mbeya, Josephat Mahaulane na Winfrida Andrew, wamedai kufahamiana na mzee huyo tangu jumatatu jioni ambapo alisaidiwa kwa kuchangiwa fedha na wauza matunda wa soko kuu la mjini mbeya na abiria waliokuwa kituo kikuu cha mabasi, baada ya kudai hakuwa na uwezo wa kusafiri.

Aidha wamedai abiria huyo alieleza kutaka kuja mjini Morogoro ambako angeweza kuonana na ndugu, jamaa na marafiki zake, ambao wangemuwezesha kuelekea mkoani tabora.

Mwili wa marehemu huyo ambao pia umekutwa na karatasi ya polisi inayoonesha alihitaji kusaidiwa kufika Morogoro, umepelekwa kuhifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, ukisubiri kutambuliwa na taratibu nyingine za kiuchunguzi.

Habari na Morogoro yetu

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate