EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, August 13, 2012

MEYA JERRY SILAA AWATAKA WANA ILALA KUIFANYA MANISPAA HIYO KUWA CHANZO KIKUU CHA MAPATO YA NCHI.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (katikati) akizungumza wakati alipozindua jarida la ‘SAUTI YA ILALA’ ambapo amesema kwa sasa halmashauri hiyo inajiendesha kisasa sana, wanakusudia kuwa na jarida ambalo kweli litafanya kazi ya kuitangaza Ilala, na kufikisha ujumbe si tu kwa wananchi wa Ilala bali kwa Jamii nzima.
Aidha amewataka wafanyabiashara wa Ilala kujitangaza katika gazeti hilo ili fedha zitakazopatikana sio tu zitalipia gharama za uchapishaji bali fedha zitakazobakia zitatumika kuboresha utoaji wa huduma kwa jamii. Kulia ni  Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Paul Wanga na Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Manispaa ya Ilala Tabu Shaibu, Mkurugenzi wa Kampuni 361 Mustafa Hassanali, Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Kheri Kessy.
Wageni waalikwa wakipitia toleo la zamani la Jarida la Sauti ya Ilala kabla ya uzinduzi rasmi.
Pichani Juu na Chini ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (wa tatu kulia) na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Kheri Kessy wakifungua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa ‘Jarida la Sauti ya Ilala’.  Wanaoshuhudia tukio hilo Kulia ni Mh.Sada Madwangwa, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Paul Wango na kushoto ni Mkurugenzi  wa Kampuni ya 361 Mustafa Hassanali ambao ndio waandaaji wa uzinduzi huo.
                                                Sasa limezinduliwa rasmi.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (katikati), Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Kheri Kessy (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa wakikata keki yenye mfano wa jarida hilo  kwa pamoja mwendelezo wa uzinduzi wa Jarida hilo.
Wageni waalikwa wakisoma jarida hilo.
Baadhi ya Waandishi wa habari wakipitia jarida hilo.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (kulia) akipata picha ya ukumbusho na Mmoja wa wadhamini wa jarida la Sauti ya Ilala Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya GF Trucks & Equipment Ltd. Bw. Imran Karmali (katikati).
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akimshukuru mmoja wa wadhamini wa Jarida hilo Meneja Masoko na Afisa Uhusiano wa Benki ya Exim Linda Chiza.

Manispaa ya Ilala kwa kuelewa umuhimu wa habari na haki ya wananchi wake kupashwa habari na kujua mustakabali mzima Manispaa yao imerejesha na kuzindua upya jarida lake linaloitwa ‘SAUTI YA ILALA’.

Jarida hilo limebuniwa upya na kuongezwa vionjo vipya vya fani na maudhui vitakavyo mvutia msomaji ikiwemo habari za manispaa, habari za biashara ndani ya manispaa nakadhalika.

Akizindua jarida la ‘SAUTI YA ILALA’ katika ukumbi wa Anatoglo leo jijini Dar es Salaam, Meya wa Manispaa ya Ilala Mstahiki Jerry Silaa amesema dhima yake ni kuhakikisha kuwa Ilala inakuwa kitovu cha uchumi wan chi na kufanya maeneo ya katikati ya mji kuwa sehemu safi, nzuri na inayovutia.

Ameongeza kuwa kwa kupitia jarida hilo watu wataweza kuona shughuli mbali mbali za kiuchumi zinazofanyika na pia kuona mafanikio yake.

Naye Afisa Uhusiano wa manispaa ya Ilala Bi. Tabu shibu akizungumzia Jarida hilo amesema ‘SAUTI YA ILALA’ mpya inakwenda kugusa wengi kwa sababu jarida limebuniwa upya kuweza kukidhi matakwa ya watu wa rika, uchumi, elimu na Nyanja mbambali hivyo wananchi watakaopata fursa ya kulisoma  watafurahia ladha tofauti.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate