EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, August 24, 2012

Watakao kataa kuhesabiwa kushitakiwa


Kupingana na zoezi la sensa ni kupingana na amri halali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete kutokana na mamlaka aliyopewa, kabla ya kuanza zoezi hilo anatakiwa kutoa Amri kama Rais ya kutangaza kufanyika kwake, muda, mahali na wahusika katika sensa.
 
Hayo yamesemekana katika kikao kati ya madiwani na kamati ya uratibu wa sensa Wilayani Kibaha, ambapo Mwanasheria wa halmashauri ya wilaya ya Kibaha, Bi. Salama Mangara amewaambia madiwani kuwa sheria hii inatamka kufuatana na sheria Namba 1 ya Mwaka 2002 kwa ajili ya zoezi la sensa ya watu na makazi kifungu cha 14.
 
Bi. Mangara ameongeza kuwa makosa ambayo mtu anaweza kujikuta yupo hatiani iwao atakayoyafanya ni pamoja na kumzuia Msimamizi, Mdadisi, Karani wa sensa kutekeleza majukumu yake, kukataa au kuacha kwa makusudi kujaza fomu au nyaraka yoyote iliyokabidhiwa kwake kwa lengo maalum, kukataa kujibu maswali aliyoulizwa, kutoa taarifa za uongo au kukiuka kifungu chochote cha sheria atapata adhabu ya kifungo miezi sita na faini shilingi laki 6 za kitanzania.
 
Bibi . Mangara amesisitiza kwa mantiki hiyo, ni jukumu la kila mmoja kutimiza wajibu wake na kutoa ushirikiano unaostahili katika zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.
 
Mratibu wa sensa ya watu na makazi wilayani Kibaha, Bi. Letti Shuma akizungumza na madiwani amewataka madiwani kwenda kutengeza mazingira kwa kuwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wao wa kushiriki kwao zoezi la sensa ya watu na makazi ambayo inatarajiwa kufanyika tarehe 25 na 26 mwezi huu na kuendelea kwa siku saba.
 
Bi. Shuma amesema malipo yote kwa wahusika wa sensa zimelipwa kiakmilifu tofauti na maeneo mengine ambayo yalikumbwa na mizozo, kilichobakia kwa sasa ni kwa wasimamizi na makarani kulipwa fedha kabla ya kuanza shughuli hiyo,zoezi ambalo limezorota kutokana na matatizo ya kibenki, lakini taarifa za uhakika ambazo anazo mpaka anapoongea na wawakilishi hao wa wananchi kua fedha hizo zimeshafika hazina tayari kwa zoezi hilo.
 Na Ben Komba-Pwani

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate