EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, November 19, 2012

Kikwete akerwa na vita ndani ya CCM.

Rais Kikwete akivishwa skafu na chipukizi wa CCM mjini Dodoma Picha kwa hisani ya Jiachie BlogNaMwandishi Wetu,Dodoma
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete amesema kwamba migogoro ndani ya chama hicho inasababishwa na uroho wa vyeo na madaraka kiasi cha kusababisha vita kubwa ndani ya CCM.
Akizungumza na Wanachama CCM katika Mkutano Mkuu wa Nane wa chama hicho unaoendelea mjini Dodoma alisema, kuna watu  hodari wa kuwachukia wenzao kwa sababu tu wamekataa kuwaunga mkono ama wamekataa kuwaunga watu wao mkono..
“Migogoro ndani ya CCM inasababishwa na uroho wa madaraka,kwanini mgombane kwa kugombea uongozi, kwanini mtu achukiwe kwa kugombea uongozi, kwanini afanyiwe vitimbi, kwanini umchukie mtu aliyeamua kumuunga mkono mgombea mwingine, na kwanini umchukie aliyekataa kukuunga mkono wewe au kwa sababu amekataa kumuunga mkono mtu unayemtaka, tukiacha hayo hakuna mgogoro mwingine ndani ya chama niambieni”alisema Rais Kikwete na kuhoji.Nape akitumbuiza
Alisema “viongozi wenye chuki na bivu kubwa ndani ya Chama hicho ndiyo wenye tabia ya kuwa na andimi mbili na  kiongozi mwenye ndimi mbili hawafai ndani ya CCM kwa sababu akigeuka huku anasema ya CCM akigeuka huku anasema ya wengine, hivyo kuwa viongozi hao ndani ya CCM nisawa na kufuga nyoka ndani ya nyumba au mfukoni ambaye ukiingiza mkono tu mfukoni anakung’ata, bali tunataka kiongozi muadilifu na mwenye kuitendea haki chama na kutetea maslahi ya chama na mwenye uelewa mpana wa mambo ya chama”.
Katika hatua nyingine Rais Kikwete aliongeza kwamba uchaguzi wa viongozi uliopita katika Chama hicho ulikuwa na changamoto zake ambazo hawakuzizoea na wala hawakujiandaa kukutana nazo.
“Uchaguzi wa viongozi uliopita ndani ya CCM ulikuwa na changamoto ambazo hatukuzizoea na hatukujiandaa kukutana na nazo hivyo tukajikuta tuna wakati mgumu wa kufanya maamuzi yetu ya viongozi wetu lakini tumejifunza kutokana na hayo na tusikubali yajirudie katika chaguzi zetu”alifafanua Rais Kikwete.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate