EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, December 21, 2012

Champions League : Ronaldo kurejea Old Traford.

Christiano Ronaldo atarejea na mabingwa mara tisa wa Champions League Real Madrid katika uwanja wa Old Traford kupambana na Manchester United ambako alijitokeza kuwa mshambuliaji hatari kabisa duniani.
Bayern Munich , ambayo ilifanikiwa kuingia katika fainali ya michuano hiyo msimu uliopita na kuambulia patupu dhidi ya Chelsea , London, inapambana mara hii na Arsenal London na Juventus Turin inatiana kifuani na Celtic Glasgow. Paris St Germain ambayo imetumia fedha nyingi msimu huu kununua wachezaji inakabiliana na Valencia ya Uhispania.
 ARCHIV - UEFA-Generalsekretär Gianni Infantino zieht am 20.07.2012 Lose bei der Auslosung für die Champions League in Nyon. Für sieben Bundesliga-Teams wird es am 20.12.2012 spannend: Sie bekommen bei der Auslosung in Nyon ihre Gegner für die nächste Runde in der Champions und Europa League. EPA/LAURENT GILLIERON +++(c) dpa - Bildfunk+++
ARCHIV - Munich's Bastian Schweinsteiger reacts during the penalty shoot-out during the UEFA Champions League soccer final between FC Bayern Munich and FC Chelsea at Fußball Arena München in Munich, Germany, 19 May 2012. Photo: Tobias Hase dpa (zu dpa Jahresrückblick vom 30.11.2012) +++(c) dpa - Bildfunk+++
 
Mchezaji wa Bayern München Bastian Schweinsteiger akitokwa na machozi baada ya mchezo na Chelsea
Lakini majaliwa ya vigogo viwili vya soka la Hispania katika upangaji wa timu zitakavyoshindana leo Alhamis katika makao makuu ya shirikisho la soka barani Ulaya UEFA , umewavutia wapenzi wengi wa soka na wote wamepambanishwa dhidi ya vilabu vikongwe vyenye uzoefu mkubwa katika soka la Ulaya.
Real Madrid , mabingwa wa sasa wa Uhispania , wamekuwa katika hali ya kukatisha tamaa katika ligi ya nchi hiyo msimu huu na wamemaliza wakiwa katika nafasi ya pili katika kundi lao na mabingwa wa Ujerumani Borussia Dortmund katika Champions League.

Real Madrid's coach Jose Mourinho from Portugal checks his watch during a training session at the Valdebebas stadium on the eve of a Champions League Group D soccer match against Manchester City, in Madrid, Monday, Sept. 17, 2012. (Foto:Daniel Ochoa De Olza/AP/dapd)  
                                          Kocha Jose Mourinho katika mazoezi ya Real Madrid
Ronaldo kurejea Old Traford
Lakini Ronaldo, mchezaji wa Manchester United kuanzia mwaka 2003 hadi 2009, atakuwa na hamasa kwa Real kufanya vizuri dhidi ya klabu ambayo alishinda medali ya dhahabu katika ubingwa wa Ulaya mwaka 2008.
Kocha wa Real Madrid , Jose Mourinho, ambaye aliwahi kuifunza Chelsea, pia atapambana na hasimu wake wa zamani Alex Ferguson.
Dortmunds Mario Götze (L) and Real Madrid's Cristiano Ronaldo vie for the ball during the Champions League Group D soccer match between Borussia Dortmund and Real Madrid at BVB Stadium Dortmund in Dortmund, Germany, 24 October 2012. Photo: Kevin Kurek/dpa
 
                                           Mchezo wa kundi D katika ya Real na Dortmund
"Nina hakika litakuwa pambano la pekee kwa Ronaldo" amesema Emilio Butragueno, mkurugenzi wa Real Madrid anayehusika na mahusiano ya taasisi.
"Nafikiri mashabiki watafurahi sana katika pambano hili la kufurahisha.
"Itakuwa kitu cha kufurahisha kwa kila mtu. Ningependa kucheza dhidi ya Manchester United katika sehemu za mwishoni mwa msimu huu wa champions league , lakini mashabiki wasingefurahi hata hivyo."
Manchester United mabingwa wa kombe hilo mara tatu, wamecheza na Real Madrid mara nane na kushinda mara mbili tu. Real , ambayo itaikaribisha Manchester katika mchezo wa kwanza Februari 13, iliweza kushinda mara ya mwisho kombe la Champions League mwaka 2002.
Barcelona inatisha
Barcelona hivi sasa wanapewa nafasi ya juu kulinyakua kombe hilo, licha ya kuwa wasingependa kukutana na timu yenye uzoefu mkubwa katika soka la Ulaya kama mabingwa mara saba wa kombe hilo AC Milan.
Mchezaji bora wa dunia Lionel Messi amepachika wavuni mabao 90 mwaka huu wa 2012 na ameiiwezesha Barcelona kuongoza ligi ya Uhispania kwa points tisa sasa kutoka timu inayofuatia wakati Milan wako points 14 nyuma ya Juventus Turin inayoongoza ligi ya Italia , Serie A.
epa03444072 FC Barcelona's Argentinian striker Lionel Messi (R) vies for the ball with Celtic Glasgow's captain Scott Brown (L) during their UEFA Champions League group G soccer match at Camp Nou in Barcelona, northeastern Spain, 23 October 2012. EPA/ALBERT OLIVE +++(c) dpa - Bildfunk+++  
                                       Messi akichanja mbuga katika mpambano na Celtic
Bayern Munich timu iliyonyang'anywa tonge kinywani nyumbani na Chelsea msimu uliopita inaongoza kwa points tisa katika ligi ya Ujerumani , Bundesliga. Bayern imefurahi kupangwa na Arsenal ikifahamu kuwa wapinzani wao hao wanahangaika kujiweka sawa katika ligi ya Uingereza Premier League.
Mabingwa wa Ujerumani Borussia Dortmund hawajisikii nafuu kukumbana na mabingwa wa Ukraine Shakhtar Donetsk. Mwenyekiti wa Dortmund Hans Joachim Watzke amesema haikuwa timu ambayo tungependa kukumbana nayo wakati huu. Ni timu ngumu sana lakini tumeonyesha katika mtoano katika makundi kuwa tunaweza kushinda hata timu ngumu.
Dortmund's Julian Schieber (C) celebrates with his teammates Kevin Grosskreutz, Ivan Peresic and Felipe Santana after scoring the 1:0 during the UEFA Champions League group D soccer match between Borussia Dortmund and Manchester City at BVB stadium in Dortmund, Germany, 04 December 2012. Photo: Bernd Thissen/dpa
 
Kikosi cha BVB Borussia Dortmund wakirejea baada ya kuweka mpira wavuni kwa Man City
Schalke 04 imepangwa dhidi ya Galatasaray ya Uturuki na Porto ya Ureno inapambana na Malaga ya Uhispania.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate