EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, December 11, 2012

Mandela alazwa hospitali.

PRETORIA, Afrika Kusini
ALIYEKUWA Rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ametumia usiku katika hospitali katika mji mkuu wa Pretoria.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana jana, Mandela mwenye umri wa miaka 94 alilazwa hospitalini Jumamosi iliyopita kwa ajili ya kufanyiwa vipimo.
Msemaji wa Rais Jacob Zuma, alisema atatoa taarifa zaidi kuhusu hali ya Mandela, baada ya madaktari wake kumaliza kumfanyia vipimo na kutoa taarifa yao ya kitaalamu.
 
Katika taarifa hiyo ya awali, Ofisi ya Rais Zuma ilisema Mandela alikuwa akiendelea vizuri na kwamba kulikuwa “hakuna sababu ya kuwa na mashaka”.
Mandela anahitaji matibabu “Mara kwa mara ambayo ni thabiti kutokana na umri wake,” iliongeza taarifa hiyo.
Hakuna taarifa kamili juu ya nini kilichosababisha kufikishwa hospitali na haikuwekwa wazi kuwa ni wakati gani Mandela ataruhusiwa kutoka hospitalini.

Associated Press liliripoti kuwa wanamaombi walikusanyika katika Kanisa Katoliki la Regina Mundi katika eneo la Soweto huko Johannesburg kwa ajili ya kumfanyia maombi Mandela.
Kanisa hilo lilikuwa kitovu cha mikusanyiko ya kiimani na kufanya maziko ya watu waliouawa katika maandamano ya kudai haki wakati wa kipindi cha ubaguzi wa rangi nchini humo.
Mandela alistaafu kutoka shughuli za umma mwaka 2004 na tangu wakati huo imekuwa nadra kuonekana hadharani katika mikusanyiko ya umma.

Aliwahi kuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini kati ya 1994 na 1999, na alipata Tuzo ya Nobel mwaka 1993.
Hiyo ilikuwa baada ya kutumia zaidi ya miongo miwili jela chini ya utawala wa wazungu wachache wa ubaguzi wa rangi.

Kwa mara ya mwisho Mandela alilazwa katika hospitali mwezi Februari mwaka huu, kw aajili ya kumpatia matibabu kutokana na tatizo la tumbo lililokuwa likimkabili.
Januari 2011 alipatiwa pia matibabu makubwa kutokana na tatizo la maambukizi ya ugonjwa wa kifua.
Mandela amekuwa akitumai muda wake mwingi kupumzika katika kijiji cha Qunu, ambacho ndiko alikozaliwa.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate