EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Sunday, February 10, 2013

ENGLISH PREMIER LEAGUE: CHELSEA 4 vs WIGAN 1 na SUNDERLAND 0 vs ARSENAL 1.

CHELSEA 4 vs WIGAN 1
Frank Lampard kwa mara nyingine tena amedhihirisha kuwa bado angali mmoja wa wachezaji wa kutegemewa wa Chelsea pale alipoiongoza timu yake kuilaza Wigan kwa magoli manne kwa mmoja, na kumaliza ukame wa Chelsea wa kutoshinda katika mechi nne mfululizo.
Ushindi huo sasa umemuondolea kocha wa Chelsea Rafael Benitez mzigo aliokuwa nao.
Lampard alifunga bao la tatu la Chelsea na kwa sasa anakaribia rekodi iliyowekwa na Boody Tambling ambaye aliifungia Chelsea jumla ya magoli 202.
Ramireza aliifungia Chelsea bao lake la kwanza kabla ya Edin Hazard kufunga bao la pili.
Kufikia wakati wa mapunziko Chelsea ilikuwa kifua mbele kwa magoli mawili kwa yai.
Katika kipindi cha pili Shaun Maloney alifufua matumaini ya Wigan kwa kuifungia bao hilo.
Lakini juhudi zao zilionekana kugongwa mwamba pale Lampard alipoongeza la tatu kisha Marko Marin kuongeza la nne.
Ushindi huo sasa umeisukumu Chelsea hadi nafasi ya tatu mbele ya Tottenham.
Ramires Akiifungia Chelsea goli la kwanza dhidi ya WiganRamires akishangilia baada ya kuifunga Wigan
Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya Hazard kuipatia gol.
 SUNDERLAND 0 vs ARSENAL 1
Santi Cazorla ameifungia bao kunako dakika ya hamsini na kuisaidia Arsenal kujizolea alama tatu muhimu dhidi ya Sunderland.
Arsenal iliyokuwa ikicheza na wachezaji kumi pekee sasa inashikilia nafasi ya tano kwenye msururu wa ligi kuu.
Carzola alivurumisha kombora kali iliyowapita walinda lango wa Sunderland pamoja na mlinda lango wao, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Theo Walcott.
Carl Jenkinson alipewa kadi nyekundu baada ya kumfanyia mchezaji wa Sunderland madhambi.
Sunderland hata hivyo haikutumia fursa hiyo kufunga, licha ya mashambulizo makali katika lango la Arsenal.Theo Walcott akikimbizwa na wachezaji wa SunderlandShuti la Theo Walcott likiishia mikononi mwa kipa Simon MignoletOlivier Giroud akikosa nafasi ya wazi kuifunga Sunderland jioni hii
Jack Wilshere akikwatuliwa na mchezaji wa Sunderland midfielder Alfred N'Diaye

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate