EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, March 12, 2013

Muungano wa Cord Kenya kufungua kesi Jumatatu ijayo

Muungano wa Cord umeeleza kwamba unaendelea kukusanya ushahidi wa malalamiko yao ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi mgombea wa Muungano wa Jubilee na utayafikisha kwenye Mahakama ya Rufaa Jumatatu wiki ijayo.

Waziri wa Elimu, Mutula Kilonzo alisema kwamba muungano wao wa Cord uliomsimamisha Waziri Mkuu Raila Odinga ambaye ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Machi 4 umekuwa ukiendelea kukusanya taarifa na maelezo ya ushahidi kutoka vyanzo mbalimbali.
“Tumeomba taarifa kutoka kwa taasisi kadhaa ambazo ni muhimu katika kukamilisha mkakati huu,” alisema.

Kilonzo alionya kwamba shamrashamra za awali za ushindi zi nazoendelea katika maeneo mengi zitabadilishwa na uamuzi wao mara tu watakapokamilisha kukusanya ushahidi na kufungua rasmi kesi mahakamani.

Msimamo huo umetolewa jana, baada ya Jaji Mkuu Dk Willy Mutunga kueleza kwamba yuko tayari kupokea na kuyatolea uamuzi malalamiko yote yanayohusiana na uchaguzi, ikiwamo pingamizi la matokeo ya urais lililokuwa limetarajiwa kuwasilishwa jana.

Mutunga alisema Mahakama ya Rufaa itahakikisha inashughulikia vyema malalamiko hayo na kutoa uamuzi sahihi ndani ya muda uliowekwa na Katiba ya nchi chini ya Majaji sita wa Mahakama ya Rufaa.

Pia aliviomba vyombo vya habari kuwapo mahakani hapo ili kuripoti moja kwa moja mwenendo mzima wa usikilizwaji wa shauri hilo na kuufanya umma kupata picha halisi ya kile kitakachokuwa kikifanyika.

Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Ardhi, James Orengo alisema kwamba Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) ilitangaza matokeo ya uchaguzi ziku ya Jumamosi ambayo kimsingi siyo siku ya kazi hivyo Cord inatarajia kufungua rasmi kesi yake Jumatatu ijayo.

Pia aliituhumu IEBC akisema kwamba imekuwa ikishikilia kwa makusudi baadhi ya nyaraka muhimu ili kuiyumbisha Cord katika kukusanya matokeo halisi ya kura.

“Tumekuwa tukinyimwa haki ya kupitia nyaraka muhimu zilizoko chini ya IEBC. Hivyo inatufanya tushindwe kupata kwa wakati baadhi ya nyaraka muhimu katika ushahidi,” alisema Orengo.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate