EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, March 9, 2013

Serikali yasaini mikataba kupeleka mawasiliano vijijini

WIZARA ya Sayansi na Teknolojia kupitia mfuko wa kusimamia utoaji wa huduma ya Mawasiliano kwa wote nchini (UCSAF) imeingia mkataba na kampuni nne za simu za mkononi kwa lengo la kufikisha huduma ya mawasiliano katika kata 52.
 
                                 Waziri wa Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa
Katika mkataba huo, Serikali imetoa Dola 10 milioni kwa Kampuni  za Tigo, Airtel,Vodacom na TTCL, ili kufanikisha mkakati huo.

Akizungumza katika makubaliano hayo,Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, alisema Watanzania wengi wanaoishi katika maeneo hayo wamekosa huduma za mawasiliano kutokana na changamoto ya kibiashara miongoni mwa kampuni hizo.

Makampuni haya hayako tayari kuwekeza huduma ya mawasiliano huko vijijini kwa sababu ya idadi ndogo ya watumiaji wa simu, ila kwa kutambua changamoto hiyo Serikali ikaamua kuanzisha mkakati wa kuhakikisha kuwa  huduma hiyo inawafikiaîalisema Profesa Mbarawa.


Alisema katika mfuko huo Serikali imepanga kutangaza zabuni nyingine ya kupeleka huduma hiyo katika kata 100 zilizoachwa katika kipindi hiki.
Serikali ilitangaza tenda ya kata 152 lakini zilizofanikiwa ni kata 52 tu, tulikuwa tumelenga idadi ya Watanzania 1.6 milioni waishio vijijini,îalisema Profesa Mbarawa.
Kwa upande wake, Ofisa Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Peter Ulanga, alisema zaidi ya 

Watanzania 700,000 wanatarajiwa kunufaika na mpango huo.
ìSio hao tu ila tuna mpango wa kuwafikia Watanzania wote walioko vijijini, imekuwa ni changamoto sana, shughuli nyingi zinashindwa kufanikiwa kwa sababu ya ukosefu wa mawasiliano,îalisema Ulanga.
Kampuni hizo zitaanza kutekeleza mpango huo muda wowote kuanzia sasa baada ya kusaini kwa makubaliano hayo.

Kampuni ya Tigo imeingia mkataba wa kupeleka huduma hiyo katika vijiji 140 kwa gharama ya Dola za 1,402,150 wakati TTCL itafanya hivyo katika vijiji 119 kwa gharama ya Dola 2,130,698 ,milioni.
Vodacom iliyosaini mkataba wa Dola 102,900 kwa ajili ya kupeleka huduma katika  kata moja na Airtel itatoa huduma hiyo katika  kata 12 kwa gharama ya Dola 2,192,230.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate