EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, June 8, 2013

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amekiri kuwepo kwa vitendo ngono UDOM.

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amekiri kuwepo kwa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na rushwa ya ngono kwa wanafunzi wa kike katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na hivyo kukataa mwongozo wa mbunge akisema hali iko hivyo.

Makinda alitoa kauli hiyo jana mjini hapa wakati Bunge likiwachagua wawakilishi wake katika mabaraza ya vyuo na SADC-PF, ambapo Naibu Waziri wa Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu aliuliza swali hilo la uwepo wa vitendo vya rushwa ya ngono.

Mwalimu alimuuliza mmoja wa wagombea, Murtaza Mangungu (CCM) kuwa UDOM imekithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanafunzi wa kike kuombwa rushwa ya ngono na baadhi ya wahadhiri wasio waadilifu.
Naibu waziri huyo alitaka kujua, Mangungu ataondoshaje kero hiyo kwa wanafunzi wa kike chuoni hapo, endapo atachaguliwa kuwa mjumbe wa baraza.

Katika majibu yake, Mangungu alisema kuwa atashirikiana na wenzake kuhakikisha wanaondosha kero hiyo kwa wanafunzi wanaofanyiwa vitendo hivyo.
Baada ya majibu hayo, Mbunge wa Chakechake, Mussa Haji Kombo (CUF), aliomba mwongozo wa spika, akitaka swali na jibu hilo vifutwe akidai italeta picha mbaya kwa UDOM.

“Mheshimia Spika, aliyeuliza swali ni kiongozi wa serikali, naibu waziri, sasa jibu hili likibakia hivyo italeta sifa mbaya kwa UDOM kuwa kuna vitendo vya rushwa ya ngono, naomba swali na jibu vifutwe,” alisema.

Hata hivyo, katika kujibu mwongozo huo, Spika Makinda alisema kwa kifupi: “Hakifutwi kitu hapa, hali ndivyo ilivyo.”
Kwa miaka ya karibuni, UDOM imekuwa ikitajwa kwa sifa mbaya ya baadhi ya wahadhiri wake kuwaomba wanafunzi wa kike rushwa ya ngono ili wawape upendeleo katika ufaulu wao.

Inaelezwa kuwa wako baadhi ya wanafunzi wa kike waliofelishwa mitihani na kutakiwa kurudia masomo au mwaka baada ya kugoma kutimiza matakwa hayo ya rushwa ya ngono.
Pia wanafunzi kadhaa wa kike wa chuo hicho, wamekuwa wakihusishwa na matukio ya biashara ya ukahaba katika maeneo mbalimbali ya starehe mjini hapa, hasa wakati wa vikao vya Bunge.

Katika hatua nyingine, Spika Makinda alitangaza washindi wa uchaguzi huo wa wawakilishi wa Bunge kwenye mabaraza ya vyuo na SADC-PF.
Alisema kuwa Mangungu anakuwa mjumbe wa baraza UDOM baada ya kumshinda Pudenciana Kikwembe wa Viti Maalum (CCM), huku Jitu Vrajlal Soni akipita bila kupingwa kuwa mjumbe wa Baraza la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro (SUA) baada ya mshindani wake, Dk. Peter Kafumu kujitoa.

Wengine ni Pindi Chana wa Viti Maalum (CCM) ambaye alipita bila kupingwa kuwa mjumbe wa Baraza la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST).
Spika aliongeza kuwa Mbunge wa Kisarawe, Selemani Jafo (CCM) atakuwa mjumbe katika Jukwaa la Kibunge la nchi Wanachama Kusini mwa Afrika (SADC-PF).
Katika mchuano huo, Jafo aliwashinda Leticia Nyerere wa viti maalum (CHADEMA) na Lolesia Bukwimba wa Busanda (CCM).
Via Tanzania Daima

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate