Kupitia info za mashabiki wa sammisago.com,
Shabiki wa Diamond ametuma mtazamo wake kuhusu issue ya Diamond na Zari
kutegemea mtoto na kusema.
“Sijawahi kuona mastaa hawa wakiwa
hospitalini au kwenye kituo chochote wakipima afya zao, ukizingatia ni
watu wakuweka hadharani mambo yao yote basi hata kupima wangeweka
instagram au huko twitter “
” Ni vizuri staa kuzaa na staa mwenzake ila Diamond ana muda wa kuwa baba? mahusiano yake mengi ni kiki au drama a,bazo hata Kwa Zari tuliyedhani itakuwa tofauti kumbe ni yale yale, mimi ni shabiki tu ila nawatakia kila la heri kwenye familia yao wanayoanzisha ”
Shabiki alimaliza hivyo.Upi mtazamo wa juu comment za huyu shabiki ?
No comments:
Post a Comment